Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Dar es Salaam

Msaada: Maeneo mazuri ya kuishi Dar es Salaam

Toa specifications za nyumba kama vyumba vingapi, kuwe na nini, house rent Tsh kwa mwezi, kama unataka geti, njia ya gari, n.k.
Hao wanaokuambia Goba, Ubungo, na kwingineko bila kutaja Goba ipi ubungo ipi watakuingiza chaka.

Kila Sehemu kuna pazuri na pabaya isipokuwa Masaki na Oyster Bay tu hakuna pabaya ila gharama ndiyo kubwa.
Goba gan unaijua ni uswazi..?
 
Goba gan unaijua ni uswazi..?
Mkuu Goba Matosa kuna sehemu ipo vizuri sana na kuna sehemu wamejenga kama Manzese viwanda vya 20x20 wamekata katikati na kuuziana, nyumba zimebanana.

Kinachofanya hapo paonekane afadhali ya Manzese nyumba zao ni mpya tupu. Maji machafu ya jirani yanapita kwa mwingine.

Kuna sehemu wanaita uzaramoni nako uswazi tu.

Goba kubwa sana kuliko unavyoijua, huenda hujazunguka mitaani hata nusu yake.
 
Habari wana JF,

Kwa wale Wana-Ndugu ambao wanaifahamu Dar es Salaam vizuri, ni Maeneo au Mitaa gani ya kuishi (kupanga nyumba/chumba) ambayo yanalandana na sifa zifuatazo?

1. Sio maeneo ya uswazi/uswahilini
2. Sio pakishua sanaa/Expensive estate
3. Hayana matukio makubwa ya wizi na vibaka
4. Hakuna tatizo la maji tiririka
5. Upatikanaji wa karibu wa huduma za kijamii na kiuchumi. (maji, kiosk, etc)
6. Inaweza kuwa nje ya mji ila isiwe mbali sanaa na mjini kivile
7. Haikumbwi na mafuriko wakati wa mvua

Ahsante.
kijichi pako bomba sana
 
Habari wana JF,

Kwa wale Wana-Ndugu ambao wanaifahamu Dar es Salaam vizuri, ni Maeneo au Mitaa gani ya kuishi (kupanga nyumba/chumba) ambayo yanalandana na sifa zifuatazo?

1. Sio maeneo ya uswazi/uswahilini
2. Sio pakishua sanaa/Expensive estate
3. Hayana matukio makubwa ya wizi na vibaka
4. Hakuna tatizo la maji tiririka
5. Upatikanaji wa karibu wa huduma za kijamii na kiuchumi. (maji, kiosk, etc)
6. Inaweza kuwa nje ya mji ila isiwe mbali sanaa na mjini kivile
7. Haikumbwi na mafuriko wakati wa mvua

Ahsante.

Nenda Tandale kwa Tumbo. Pako pouwa sana
 
Mkuu Goba Matosa kuna sehemu ipo vizuri sana na kuna sehemu wamejenga kama Manzese viwanda vya 20x20 wamekata katikati na kuuziana, nyumba zimebanana.

Kinachofanya hapo paonekane afadhali ya Manzese nyumba zao ni mpya tupu. Maji machafu ya jirani yanapita kwa mwingine.

Kuna sehemu wanaita uzaramoni nako uswazi tu.

Goba kubwa sana kuliko unavyoijua, huenda hujazunguka mitaani hata nusu yake.
Hyo Uzaram unayoisemea iko kimara mpakan na Goba
Hakuna sehem uswaz goba, unazoleta ni porojo
 
Huo uswaz upo kimara sio goba
Note
Kimara na Goba zinapakana hapohapo matosa kuna mpaka
Mkuu mpaka wa Goba na Kimara unajulikana wazo haina utata.
Hapa hatutafikia muafaka, wewe baki na msimamo wako nami nabaki na wangu.
 
Kaaa Sinza Kwa usalama wako, huko goba utachinjwa mchana kweupeeee, Sinza Hakuna wizi utarud hata saaa tisa usiku utatembea Kwa mguuu kila mahali taa zinawaka hakuna vibaka na sio uswahilini na kuna raha Sana Sinza kuliko eneo lolote la dar kwa wale wenye starehe za Kati na maisha ya Kati
we unaijua sinza vizuri
 
Back
Top Bottom