Sigonella Island
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 13,471
- 40,829
Mabwe pande panafaa sana
Walikuwa wanavunja dirisha? Au walikuwa wanawapulizia dawa?Sikushauri kuna wezi wa tv balaa nliibiwa tv Tatu ndani ya mwezi lbd tabata segerea na kinyerezi ila uku barakuda ni balaa
Naona unatafutwa kurogwa bila sababu za msingi..Hapo si ndio kwa wandengereko na wamatumbi? Bora usogee kijichi aisee.
Goba sio tu wezi, bali unaingiliwa ndani mwako usiku umelala
Walikuwa wanavunja dirisha? Au walikuwa wanawapulizia dawa?
Labda siku hizisiku hizi kuna pitika mkuu
ConnectionKurasini mkuu, hasa maeneo ya Kota za Bandari. Nyumba nzuri zenye service zote, mjini unakwenda hata Kwa miguu, karibu na bahari upepo mzuri, na kodi Kawaida tu.
Gali moja -Gari mojanjoo mbezi ya kimara pako powa kwanza maisha yapo nomo sana suala la wizi sio sana but kwenda touni gali moja tu chap kwa haraka yani hutojutia
Gali moja -Gari moja
Umeongea vzr ila vyote porojo kisa tu ulemavu wa kuharibu lugha daah nyie wakurya mnaboa sana
Ukonga Moshi barHabari wana JF,
Kwa wale Wana-Ndugu ambao wanaifahamu Dar es Salaam vizuri, ni Maeneo au Mitaa gani ya kuishi (kupanga nyumba/chumba) ambayo yanalandana na sifa zifuatazo?
1. Sio maeneo ya uswazi/uswahilini
2. Sio pakishua sanaa/Expensive estate
3. Hayana matukio makubwa ya wizi na vibaka
4. Hakuna tatizo la maji tiririka
5. Upatikanaji wa karibu wa huduma za kijamii na kiuchumi. (maji, kiosk, etc)
6. Inaweza kuwa nje ya mji ila isiwe mbali sanaa na mjini kivile
7. Haikumbwi na mafuriko wakati wa mvua
Ahsante.
Sema tu jina mbagala Ila maeneo Kama chamazi mpk mbande Ni mazuri kuanzia Hali ya hewa (joto utalisikia kwenye radio) Huduma za kijamii, gharama za kimaisha.
Usafiri wa kwenda kariakoo na town Ni shling 600
Wakikamilisha mwendokasi patakua hot cake
NB.
Watu wa mikoani wakisikia mbagala Huwa wamejenga mentality vichwani kwao Ni sehemu ya ajabu ajabu
Kama diamond platnum alivyo imbaga.
Pia ubungo, tabata some how
Haahaa nimekaa huko alaf hata maji ya kunywa Ni free goods...hayana chumvi kabisa Ni pureMkuu we utakuwa jirani yangu mpk mbande unapafahamu?basi tumlete msongola au mvuti
Mikocheni BHabari wana JF,
Kwa wale Wana-Ndugu ambao wanaifahamu Dar es Salaam vizuri, ni Maeneo au Mitaa gani ya kuishi (kupanga nyumba/chumba) ambayo yanalandana na sifa zifuatazo?
1. Sio maeneo ya uswazi/uswahilini
2. Sio pakishua sanaa/Expensive estate
3. Hayana matukio makubwa ya wizi na vibaka
4. Hakuna tatizo la maji tiririka
5. Upatikanaji wa karibu wa huduma za kijamii na kiuchumi. (maji, kiosk, etc)
6. Inaweza kuwa nje ya mji ila isiwe mbali sanaa na mjini kivile
7. Haikumbwi na mafuriko wakati wa mvua
Ahsante.
Mikocheni B
sasa hivi uko wapWakati nipo dar nliishi mbezi beach ni pazuri Sana pia nlikaa kidogo sinza pia pazuri ata usafiri sio washida Kama unaenda kupanga nyumba angalia sehem isiwe mbali na mji wala mbali na barabara pia zingatia usafiri na Kama panafikika kirahisi