Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,495
- 8,539
Mara nyingi wakistaafu uwezo wa mwili na akili vinastaafu.Kwa nini usiziache ukazichukua siku ukistaafu?
Chukua chako mapema!
Mara nyingi wakistaafu uwezo wa mwili na akili vinastaafu.Kwa nini usiziache ukazichukua siku ukistaafu?
Nilirudisha fomu tarehe 28 April juzi 12 may wakaingiza pesa sawa na mshahara wa mwezi mmoja,nimeenda kuulizia Leo wananiambia kuna shida ya mtandao.Mpaka Sasa sijaelewa wamelipa kitu gani.Habari zenu wakubwa kwa wadogo
Naomba kuuliza, wiki iliyopita nilirudisha fomu yangu ya madai NSSF na baada ya kufanya uhakiki wao wakanambia kwamba siku flani niangalie kwenye akaunti yangu ya benki nitakuta hela imeingia.
Kwakua mpaka natoka pale na akili nayo ilikua imechoka kiasi kwamba nilisahau hata kuuliza kwamba hiyo hela wataniingiza yote kwa pamoja au ndo yale mambo ya kuingiziana kidogo kidogo ambapo huwezi hata kufanya chochote cha kimaendeleo.
Naomba kwa yoyote humu mwenye uzoefu au ambae amechukua pesa zake hivi karibuni anisadie kunielewesha juu ya hili swali langu.
Asanteni.
Acha hearsay ,usidanganye watu.Usitegemee kupata hiyo pesa mwaka huu, nakuhakikishia hilo, usije ukaingia madeni kwakutegemea malipo ya Nssf utaonekana tapeli mtaani.
Nssf hawawezi kukuingizia pesa kwenye akaunti amini ninachokueleza, tarehe waliyokwambia nenda kadai check yako waambie utakwenda kuideposit mwenyewe bank, vna utapigwa kalenda wala check hautopata.
Kama watakuwa wamejirekebisha angalau baada ya miezi 6 ndio utapata hiyo ela, tafuta pesa ya kujikimu kwa sasa usiitegee kabisa hela ya hao mashetani wa Nssf utajuta.
Hapa labda kwa wasio na professions.Shukrani mkuu
Toa pesa upate pesaHabari zenu wakubwa kwa wadogo
Naomba kuuliza, wiki iliyopita nilirudisha fomu yangu ya madai NSSF na baada ya kufanya uhakiki wao wakanambia kwamba siku flani niangalie kwenye akaunti yangu ya benki nitakuta hela imeingia.
Kwakua mpaka natoka pale na akili nayo ilikua imechoka kiasi kwamba nilisahau hata kuuliza kwamba hiyo hela wataniingiza yote kwa pamoja au ndo yale mambo ya kuingiziana kidogo kidogo ambapo huwezi hata kufanya chochote cha kimaendeleo.
Naomba kwa yoyote humu mwenye uzoefu au ambae amechukua pesa zake hivi karibuni anisadie kunielewesha juu ya hili swali langu.
Asanteni.
Wanalipa kila baada ya muda gani?Non professional utapokea zote...
Professional kidogo kidogo...
Mbona nimeomba wenipa mshahara wa mwezi mmoja?Mwenye mpango wa kufungua madai ya mafao yake nssf aje inbox nitamsaidia haraka apate pesa zake kwa muda wa mwezi mmoja
Uko sahihi kabisa....! Na pale sio kiwa ukishapeleka form zako tu basi unapewa next week pana madai mengi tu, watu wanaanza kuchukua pesa wale ww mwanzo kabisa then wanakuja wengine kutegemea na ulileta lini? Haiwezekani wewe wa mwezi wa 5 ukachukua wkt kuna mtu alileta mwezi wa 2.Ndugu pole huko NSSF kuna changamoto kubwa. Haya mashirika hayana ela ela zao zinaingizwa kwenye makusanyo ya TRA. Utasikia TRA wamekusanya kodi kumbe hakuna kitu kabisa. Huwezi kukusanya kodi kubwa Serikali inashindwa kuwalipa watu mafao yao kwa wakati.
NSSF ukienda kudai mafao kwa utaratibu wao kama una professional unalipwa 33% ya mashahara wako kwa miezi sita. Pesa nyingine iliyobakia utasubirie miezi 18 kama haujapata kazi ndipo utaenda kudai
Kama mashahara wako 500,000 kwa mwezi
33/100*500,000=. 165,000 *6 months = 990,000
Pesa utakayo pewa ya mafao yako ni 990,000
Pesa nyingine utaendelea kusubiria. Inauma kweli kukuta watu waliofanya hii sheria mishahara yao ni million 5, 8, 10
Ukishasema unafanya kazi serikalini au popote sahau kuhusu hayo mafao.Funguwa, Nssf ni mfuko wa private sector.
Ajira yako serikalini haina uhusiano na Nssf na hawana uwezo wa kujuwa hilo, chukuwa pesa yako hata kama itachelewa funguwa madai.