Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 310
- 451
Habari zenu,
Nimesikia kwamba inapotokea mwajiri wako hajamaliza kuweka michango yako yote lakini kutokana na shida zako ukaamua kuchukua kwanza michango iliyopo halafu muajiri wako akimaliza kupeleka michango iliyobaki kuna fomu unatakiwa ujaze inayoutwa "fomu ya mapunjo" ili uweze kulipwa michango iliyobakia.
Sasa swali langu ni kwamba je, mfano mimi nina professional lakini nimelipwa michango yangu iliyokuepo baada ya kukaa muda mrefu bila kupata ajira nyingine halafu mwajiri wangu baada ya muda flani akaenda kumalizia kulipa michango yangu ikiyobakia.
Nikishijaza hiyo fomu ya mapunjo NSSF wataniweka hela yangu yote iliyobakia kwa mkupuo au ndo yale mambo ya kulipana asilimia 33.3?
Naomba msaada kufahamishwa juu ya hili hasa wale wenye uzoefu wa haya masuala.
Asanteni
Nimesikia kwamba inapotokea mwajiri wako hajamaliza kuweka michango yako yote lakini kutokana na shida zako ukaamua kuchukua kwanza michango iliyopo halafu muajiri wako akimaliza kupeleka michango iliyobaki kuna fomu unatakiwa ujaze inayoutwa "fomu ya mapunjo" ili uweze kulipwa michango iliyobakia.
Sasa swali langu ni kwamba je, mfano mimi nina professional lakini nimelipwa michango yangu iliyokuepo baada ya kukaa muda mrefu bila kupata ajira nyingine halafu mwajiri wangu baada ya muda flani akaenda kumalizia kulipa michango yangu ikiyobakia.
Nikishijaza hiyo fomu ya mapunjo NSSF wataniweka hela yangu yote iliyobakia kwa mkupuo au ndo yale mambo ya kulipana asilimia 33.3?
Naomba msaada kufahamishwa juu ya hili hasa wale wenye uzoefu wa haya masuala.
Asanteni