Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

Wazinzi ndio wanaweza kukujibu vizuri kuhusu shetani kwani wakifumwa huwa wanadai shetani 'kawapitia'!

Sio kweli ,shetani aka ibilisi hasumbuwani na wale walopotea yaani ambao teyari wanafanya dhambi ,hao hana mda nao ,yeye anataka wale ambao wachamungu ndo anakula nao sahani moja...umeelewa ?
 
Mkuu ungenijuza mwanzo wala tusingefika hapa tulipo...........kumbe huamini katika mambo haya.........Ok baki na msimamo wako lakini ni heri ukafuata hata kama hutakuta hayo hutapoteza chochote kuliko kuacha na kukuta ni kweli utajuta sana........Nimeujua msimamo wako..........Una hiyari ya kukaa upande gani...........

Sitaki kuamini, nataka kujua.

Maswali yangu hujajibu.
 
!
!
kwa hiyo kaka kuna Mungu au miungu kibao tu, au? Je hii ina maana pia kuna Shetani wengi pia?

Hakuna ushahidi kwamba kuna mungu yeyote nje ya mawazo ya watu.

Na hivyo hakuna shetani.

Mungu na shetani nikimaanisha kama anavyoainishwa katika vitabu kama Quran na Biblia, kuna watu wanaamini mti au jua ni mungu, in which case huwezi kusema mti haupo au jua halipo, ila unaweza kubisha finer points. All the more reason we should establish what is god and what are god's characteristics beforehand.
 
!
!
hapa ndipo sehemu na mimi nilikuja kujiuliza mno na kutaka kumjua shetani pia......may be shetani pia ana nguvu mno na "hawezekaniki"?sijui lakini ngoja niendelee kujifunza

Shetani, so far, per evidence based verification, ni story tu, hayupo kiuhalisi.

The same goes for god.
 
!
!
kaka mbona unamuuliza mwenzio maswali ya kukomoa namna hiyo, duh

Si maswali ya kukomoa.

Ni.maswali deep, yanaenda kwa kina zaidi kuliko vidimbwi vya maji vya vitabu vya dini.

Ukiuliza sana haya maswali hujibiwi, sanasana utaambiwa unakufuru.

Au "god works in mysterious ways".

Which means that this is a "deus ex machina" na wanaosema kuna mungu hata hawamuelewi huyo mungu vizuri kumuelezea.
 
!
!
mkuu unatisha mbaya......



Hakuna ushahidi kwamba kuna mungu yeyote nje ya mawazo ya watu.

Na hivyo hakuna shetani.

Mungu na shetani nikimaanisha kama anavyoainishwa katika vitabu kama Quran na Biblia, kuna watu wanaamini mti au jua ni mungu, in which case huwezi kusema mti haupo au jua halipo, ila unaweza kubisha finer points. All the more reason we should establish what is god and what are god's characteristics beforehand.
 
Kwenye maelezo yako umesema huyu Mungu ila shetani umemwita bwana. Hii inamaana wewe ni wa dini ya shetani unakuja humu JF kuangalia kama kuna wenzio wangapi!
 
Hakuna anayeweza kuthibitisha kuwepo kwa shetani wala mungu.

Mkuu unamaanisha huamini yalimo either ndani ya Biblia Takatifu ama Qur'an Tukufu ambazo zote zimeeleza mafundisho ya Imani za Kiroho zikimuhusisha Mungu kwenye Mema na Shetani kwenye Ubaya. Imani ni Fumbo ambalo hakuna binadamu anaeweza kulifumbua kama ilivyo maisha baada ya kifo ilivyo siri kibinaadam.
 
Si maswali ya kukomoa.

Ni.maswali deep, yanaenda kwa kina zaidi kuliko vidimbwi vya maji vya vitabu vya dini.

Ukiuliza sana haya maswali hujibiwi, sanasana utaambiwa unakufuru.

Au "god works in mysterious ways".

Which means that this is a "deus ex machina" na wanaosema kuna mungu hata hawamuelewi huyo mungu vizuri kumuelezea.

!
!
dah wewe ni noma
 
Mkuu unamaanisha huamini yalimo either ndani ya Biblia Takatifu ama Qur'an Tukufu ambazo zote zimeeleza mafundisho ya Imani za Kiroho zikimuhusisha Mungu kwenye Mema na Shetani kwenye Ubaya. Imani ni Fumbo ambalo hakuna binadamu anaeweza kulifumbua kama ilivyo maisha baada ya kifo ilivyo siri kibinaadam.

Deleted.Duplicate.
 
Mkuu unamaanisha huamini yalimo either ndani ya Biblia Takatifu ama Qur'an Tukufu ambazo zote zimeeleza mafundisho ya Imani za Kiroho zikimuhusisha Mungu kwenye Mema na Shetani kwenye Ubaya. Imani ni Fumbo ambalo hakuna binadamu anaeweza kulifumbua kama ilivyo maisha baada ya kifo ilivyo siri kibinaadam.

Sitaki kuamini, nataka kujua.

As long as Quran na Biblia zinajiwekea wigo katika kuamini na haziendi kwenye uchunguzi wa kutaka kujua, naviona vitabu hivi havina tofauti na vile vya hadithi za watoto.
 
Shetani nilisoma nae shule ya msingi songea,alikua anakua wa mwisho darasani.
Baadae alihamia mbamba bay,nasikia alikua anakua wa kwanza huko

kwa sasa sijui yuko wapi,mara nasikia watu wanasema anaishi makaburini,mara baharini,mara mbinguni,sijui kwa kweli yuko wapi ila ni mtu mzuri sana.

Ni mshauri wa rais yupo ikulu
 
Sitaki kuamini, nataka kujua.

As long as Quran na Biblia zinajiwekea wigo katika kuamini na haziendi kwenye uchunguzi wa kutaka kujua, naviona vitabu hivi havina tofauti na vile vya hadithi za watoto.

Hakuna binadamu anaejua au anaeweza kuprove kuwa Mungu yupo ni "above our scope"!! kama tumeshindwa kutibu cancer au kufufua mfu hakika kamwe Hatutaweza kutengeneza "dimensions/Magnitude" ya uwepo wa Mungu zaidi tu ya kuamini au kutoamini uwepo wake maana ni Fumbo kuu kama siku ya kurudi Kristo.
 
habari wadau!
kwa muda wa takribani miaka 28 nimekuwa najifunza kuhusu Mungu huyu muumba wa vitu vyote. Na nimekuwa najifunza pia uwepo jba uwezo wa bwana Shetani.
Ili kumwelewa zaidi Mungu nadhani ni muhimu kumuelewa shetani pia. Yoyote mwenye taarifa zitakazonisaidia kumjua shetani anisaidie.

Nenda pale Club Ambience Afrika kuanzia saa 2 utamkuta akiuza au kununua. Anakuwa amevaa nguo zilizoacha mapaja wazi ama pengine akiwa kwenye gari anaenda kununua.
 
habari wadau!
kwa muda wa takribani miaka 28 nimekuwa najifunza kuhusu Mungu huyu muumba wa vitu vyote. Na nimekuwa najifunza pia uwepo jba uwezo wa bwana Shetani.
Ili kumwelewa zaidi Mungu nadhani ni muhimu kumuelewa shetani pia. Yoyote mwenye taarifa zitakazonisaidia kumjua shetani anisaidie.


Hivi wewe ulishawahi kujiuliza ni kwa vipi kuna matendo mema na maovu. Kwa nini ukifanya jambo jema hauoni aibu watu wakikushangilia, na ukitenda maovu watu wanakushangaa na kukuzomea?
 
Hakuna binadamu anaejua au anaeweza kuprove kuwa Mungu yupo ni "above our scope"!! kama tumeshindwa kutibu cancer au kufufua mfu hakika kamwe Hatutaweza kutengeneza "dimensions/Magnitude" ya uwepo wa Mungu zaidi tu ya kuamini au kutoamini uwepo wake maana ni Fumbo kuu kama siku ya kurudi Kristo.

Sasa kama hakuna binadamu anayeweza ku prove kwamba mungu yupo, utajuaje kwamba yupo?

Utajuaje kwamba ni "above our scope" na si hadithi tu ambayo haina uhalisi?
 
Back
Top Bottom