bcsolution
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 394
- 177
Wazinzi ndio wanaweza kukujibu vizuri kuhusu shetani kwani wakifumwa huwa wanadai shetani 'kawapitia'!
Sio kweli ,shetani aka ibilisi hasumbuwani na wale walopotea yaani ambao teyari wanafanya dhambi ,hao hana mda nao ,yeye anataka wale ambao wachamungu ndo anakula nao sahani moja...umeelewa ?