KIDOLEGUMBA
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 498
- 110
Kwanza hujathibitisha kwamba walitokewa na Maria au walikuwa na njaa tu wakapata hallucination.
mkuu , ujumbe wa Fatima unahusisha maagizo,utabiri, maonyo na ahadi kuhusu imani na dunia ambavyo vililetwa na Mama Bikira Maria kwa hao watoto kwa matukio tofauti kuanzia Mei hadi Oktoba 1917, haya ni matukio ya kutukumbusha sisi wanadamu tusijisahau kiimani juu ya M'Mungu.