Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

Ukimchinja Mbuzi katoriki nadhani utamkuta tu maana Bwana Yesu aliyaingiza ayo mashetani kwa hao manguruwe so kayatafute ukouko kwenye hizo mboga zenu SIE WASABATO NA WAISLAMU AKHA HATUYATUMII AYO MASHETANI
 
habari wadau!
kwa muda wa takribani miaka 28 nimekuwa najifunza kuhusu Mungu huyu muumba wa vitu vyote. Na nimekuwa najifunza pia uwepo jba uwezo wa bwana Shetani.
Ili kumwelewa zaidi Mungu nadhani ni muhimu kumuelewa shetani pia. Yoyote mwenye taarifa zitakazonisaidia kumjua shetani anisaidie.

Hakuna ushahidi wowote nje ya habari za kufikirika tu za imani kwamba shetani au mungu yupo.

Wote wanaonekana kuwa ni hadithi za mapokeo tu.

Kama mtu ana uthibitisho wowote anakaribishwa kuuleta hapa tuuchambue.

Dhana ya shetani na mungu imeweza kusaidia primitive societies ku maintain order, lakini mwanadamu wa leo ambaye anatakiwa kuwa anaelewa mambo zaidi ya hizo primitive societies, hahitaji hadithi zisizo na uhalisi za mungu na shetani ili kuweza ku maintain order.

In fact, katika dunia ya leo, order yoyote itakayojengwa katika hadithi za uongo itakuwa fragile na prone to crumbling at anytime.Kwa sababu dunia ya leo ni dunia ya uchambuzi na uhakiki.

Dunia ya watu kuambiwa vitu na kuamini tu imepitwa na wakati.
 
Kwanza, wapaswa kuelewa maana ya neno shetani. Kisha tafiti huyo shetani alitoka wapi. Utu wake ukoje, je Ana mwili wa aina gani. Je shetani ni uovu tu, au ni zaidi ya uovu. Je maoni ya Mungu katika biblia yanasema nini kumhusu huyo shetani. Unaweza pia kunitumia private message kwa majadiliano
 
Swali lipeleke Lumumba. Usisahau kuandika very urgent please na sisi tunasubiri jibu.
 
Shetani sio kiumbe ni cheo cha ualifu, uwasi, cheo hiki anapewa Jini au mwanaadamu mualifu kwa mfano " rudi nyuma yangu shetani we ukikwazo kwangu. haya ni maneno ya Yesu akimwambia mwanafunzi wake. Jini mualifu ndio anayeitwa shetani akiongozwa na Ibilisi
 
habari wadau!
kwa muda wa takribani miaka 28 nimekuwa najifunza kuhusu Mungu huyu muumba wa vitu vyote. Na nimekuwa najifunza pia uwepo jba uwezo wa bwana Shetani.
Ili kumwelewa zaidi Mungu nadhani ni muhimu kumuelewa shetani pia. Yoyote mwenye taarifa zitakazonisaidia kumjua shetani anisaidie.

Ni kitabu gani ulikuwa unatumia ulipo kuwa unajifunza kuhusu Mungu?
 
Hakuna ushahidi wowote nje ya habari za kufikirika tu za imani kwamba shetani au mungu yupo.

.
Hata kukataa Mungu kuwa hayupo ni imani. Kwasabau huwezi saidia madai ya kukataa kwako zaidi ya kuamini kuwa hayupo kwasababu huna uwezo wa kufikiri zaidi ya hapo.
 
Hata kukataa Mungu kuwa hayupo ni imani. Kwasabau huwezi saidia madai ya kukataa kwako zaidi ya kuamini kuwa hayupo kwasababu huna uwezo wa kufikiri zaidi ya hapo.

Kukosa imani hakuwezi kuwa imani.

Kama kukosa nywele (kipara) kusivyoweza kuwa mtindo wa kusuka nywele.

Sitaki imani, nataka ujuzi.

Anayekataa kuwapo kitu hahitaji kufanya chochote zaidi ya kuuliza. The burden of proof is on the one saying there is something, not the one challenging.

Kama umesoma maneno yangu yamekuwa very carefully written.
 
Kukosa imani hakuwezi kuwa imani.

Kama kukosa nywele (kipara) kusivyoweza kuwa mtindo wa kusuka nywele.

Sitaki imani, nataka ujuzi.

Anayekataa kuwapo kitu hahitaji kufanya chochote zaidi ya kuuliza. The burden of proof is on the one saying there is something, not the one challenging.

Kama umesoma maneno yangu yamekuwa very carefully written.

Nini basi maana unakuja na historia ndeefu lakini huna ushaidi wa kusaidia imani yako.

Kukosa imani kuhusu Mungu ni imani.

SASA TUMIA UJUZI WAKO NA TUPE USHAIDI KUWA HAKUNA MUNGU.

Kumbuka sina muda na longa longa zisizo na maana.
 
Nini basi maana unakuja na historia ndeefu lakini huna ushaidi wa kusdaidi imani yako.

Kukosa imani kuhusu Mungu ni imani.

SASA TUMIA UJIZI WAKO NA TUPE USHAIDI KUWA HAKUNA MUNGU.

Kumbuka sina muda na longa longa zisizo na maana.

"Kukosa imani kuhusu mungu ni imani" is an oxymoron.

Kitu ambacho hakipo hakina ushahidi kwamba hakipo.

Kwa sababu hakipo.

Kama ushahidi ni fingerprint, haupo. Kwa sababu kitu hakipo.

Kama ushahidi ni kivuli, haupo. Kwa sababu kitu hakipo.

Unataka nitoe ushahidi gani wakati kitu chenyewe cha kutolea ushahidi hakijathibitishwa kuwepo?
 
Ukimchinja Mbuzi katoriki nadhani utamkuta tu maana Bwana Yesu aliyaingiza ayo mashetani kwa hao manguruwe so kayatafute ukouko kwenye hizo mboga zenu SIE WASABATO NA WAISLAMU AKHA HATUYATUMII AYO MASHETANI

palipo ns nguruwe shetani hasogei
 
habari wadau!
kwa muda wa takribani miaka 28 nimekuwa najifunza kuhusu Mungu huyu muumba wa vitu vyote. Na nimekuwa najifunza pia uwepo jba uwezo wa bwana Shetani.
Ili kumwelewa zaidi Mungu nadhani ni muhimu kumuelewa shetani pia. Yoyote mwenye taarifa zitakazonisaidia kumjua shetani anisaidie.

Mbona the same bibe imemuongelea shetanI kwa uzito mkubwa sana

kwa uchache pitia hapa

Isaiah 14:12
How art thou fallen from heaven, O Lucifer, son of the morning! how art thou cut down to the ground, which didst weaken the nations!
Isaiah 14:11-13 (in Context) Isaiah 14 (Whole Chapter)

1 Chronicles 21:1
And Satan stood up against Israel, and provoked David to number Israel.
1 Chronicles 21:1-3 (in Context) 1 Chronicles 21 (Whole Chapter)
Job 1:6
Now there was a day when the sons of God came to present themselves before the LORD, and Satan came also among them.
Job 1:5-7 (in Context) Job 1 (Whole Chapter)
Job 1:7
And the LORD said unto Satan, Whence comest thou? Then Satan answered the LORD, and said, From going to and fro in the earth, and from walking up and down in it.
Job 1:6-8 (in Context) Job 1 (Whole Chapter)
Job 1:8
And the LORD said unto Satan, Hast thou considered my servant Job, that there is none like him in the earth, a perfect and an upright man, one that feareth God, and escheweth evil?
Job 1:7-9 (in Context) Job 1 (Whole Chapter)
Job 1:9
Then Satan answered the LORD, and said, Doth Job fear God for nought?
Job 1:8-10 (in Context) Job 1 (Whole Chapter)
Job 1:12
And the LORD said unto Satan, Behold, all that he hath is in thy power; only upon himself put not forth thine hand. So Satan went forth from the presence of the LORD.
Job 1:11-13 (in Context) Job 1 (Whole Chapter)
Job 2:1
Again there was a day when the sons of God came to present themselves before the LORD, and Satan came also among them to present himself before the LORD.
Job 2:1-3 (in Context) Job 2 (Whole Chapter)
Job 2:2
And the LORD said unto Satan, From whence comest thou? And Satan answered the LORD, and said, From going to and fro in the earth, and from walking up and down in it.
Job 2:1-3 (in Context) Job 2 (Whole Chapter)
Job 2:3
And the LORD said unto Satan, Hast thou considered my servant Job, that there is none like him in the earth, a perfect and an upright man, one that feareth God, and escheweth evil? and still he holdeth fast his integrity, although thou movedst me against him, to destroy him without cause.
Job 2:2-4 (in Context) Job 2 (Whole Chapter)
Job 2:4
And Satan answered the LORD, and said, Skin for skin, yea, all that a man hath will he give for his life.
Job 2:3-5 (in Context) Job 2 (Whole Chapter)
Job 2:6
And the LORD said unto Satan, Behold, he is in thine hand; but save his life.
Job 2:5-7 (in Context) Job 2 (Whole Chapter)
Job 2:7
So went Satan forth from the presence of the LORD, and smote Job with sore boils from the sole of his foot unto his crown.
Job 2:6-8 (in Context) Job 2 (Whole Chapter)
Psalm 109:6
Set thou a wicked man over him: and let Satan stand at his right hand.
Psalm 109:5-7 (in Context) Psalm 109 (Whole Chapter)
Zechariah 3:1
And he shewed me Joshua the high priest standing before the angel of the LORD, and Satan standing at his right hand to resist him.
Zechariah 3:1-3 (in Context) Zechariah 3 (Whole Chapter)
Zechariah 3:2
And the LORD said unto Satan, The LORD rebuke thee, O Satan; even the LORD that hath chosen Jerusalem rebuke thee: is not this a brand plucked out of the fire?
Zechariah 3:1-3 (in Context) Zechariah 3 (Whole Chapter)
Matthew 4:10
Then saith Jesus unto him, Get thee hence, Satan: for it is written, Thou shalt worship the Lord thy God, and him only shalt thou serve.
Matthew 4:9-11 (in Context) Matthew 4 (Whole Chapter)
Matthew 12:26
And if Satan cast out Satan, he is divided against himself; how shall then his kingdom stand?
Matthew 12:25-27 (in Context) Matthew 12 (Whole Chapter)
Matthew 16:23
But he turned, and said unto Peter, Get thee behind me, Satan: thou art an offence unto me: for thou savourest not the things that be of God, but those that be of men.
Matthew 16:22-24 (in Context) Matthew 16 (Whole Chapter)
Mark 1:13
And he was there in the wilderness forty days, tempted of Satan; and was with the wild beasts; and the angels ministered unto him.
Mark 1:12-14 (in Context) Mark 1 (Whole Chapter)
Mark 3:23
And he called them unto him, and said unto them in parables, How can Satan cast out Satan?
Mark 3:22-24 (in Context) Mark 3 (Whole Chapter)
Mark 3:26
And if Satan rise up against himself, and be divided, he cannot stand, but hath an end.
Mark 3:25-27 (in Context) Mark 3 (Whole Chapter)
Mark 4:15
And these are they by the way side, where the word is sown; but when they have heard, Satan cometh immediately, and taketh away the word that was sown in their hearts.
Mark 4:14-16 (in Context) Mark 4 (Whole Chapter)
Mark 8:33
But when he had turned about and looked on his disciples, he rebuked Peter, saying, Get thee behind me, Satan: for thou savourest not the things that be of God, but the things that be of men.
Mark 8:32-34 (in Context) Mark 8 (Whole Chapter)
Luke 4:8
And Jesus answered and said unto him, Get thee behind me, Satan: for it is written, Thou shalt worship the Lord thy God, and him only shalt thou serve.
Luke 4:7-9 (in Context) Luke 4 (Whole Cha
 
"Kukosa imani kuhusu mungu ni imani" is an oxymoron.

Kitu ambacho hakipo hakina ushahidi kwamba hakipo.

Kwa sababu hakipo.

Kama ushahidi ni fingerprint, haupo. Kwa sababu kitu hakipo.

Kama ushahidi ni kivuli, haupo. Kwa sababu kitu hakipo.

Unataka nitoe ushahidi gani wakati kitu chenyewe cha kutolea ushahidi hakijathibitishwa kuwepo?


Ulijuaje kama hakipo. Lete ushaidi kusaidia madai yako kuwa hakipo. Maneno matupu hayasaidii kitu.

Lete formula uliyo tumia mpaka ukafikia kuwa kitu hicho hakipo. Si hitaji ayamkini katika majibu yako.

TUMIA UJUZI KATIKA MAJIBU YAKO.

Unapo tumia "KAMA" katika majibu yako inamaanisha hujui wala huna ushaidi zaidi ya kuhisi tu kwa kutumia imani yako.

Nasubiri ushaidi usio na "KAMA"
 
habari wadau!
kwa muda wa takribani miaka 28 nimekuwa najifunza kuhusu Mungu huyu muumba wa vitu vyote. Na nimekuwa najifunza pia uwepo jba uwezo wa bwana Shetani.
Ili kumwelewa zaidi Mungu nadhani ni muhimu kumuelewa shetani pia. Yoyote mwenye taarifa zitakazonisaidia kumjua shetani anisaidie.


Ezekiel 28
Proclamation Against the King of Tyre

28 The word of the Lord came to me again, saying, [SUP]2 [/SUP]"Son of man, say to the prince of Tyre, ‘Thus says the Lord God:
"Because your heart is lifted up,
And you say, ‘I am a god,
I sit in the seat of gods,
In the midst of the seas,'
Yet you are a man, and not a god,
Though you set your heart as the heart of a god
[SUP]3 [/SUP](Behold, you are wiser than Daniel!
There is no secret that can be hidden from you!
[SUP]4 [/SUP]With your wisdom and your understanding
You have gained riches for yourself,
And gathered gold and silver into your treasuries;
[SUP]5 [/SUP]By your great wisdom in trade you have increased your riches,
And your heart is lifted up because of your riches),"

[SUP]6 [/SUP]‘Therefore thus says the Lord God:
"Because you have set your heart as the heart of a god,
[SUP]7 [/SUP]Behold, therefore, I will bring strangers against you,
The most terrible of the nations;
And they shall draw their swords against the beauty of your wisdom,
And defile your splendor.
[SUP]8 [/SUP]They shall throw you down into the Pit,
And you shall die the death of the slain
In the midst of the seas.

[SUP]9 [/SUP]"Will you still say before him who slays you,
‘I am a god'?
But you shall be a man, and not a god,
In the hand of him who slays you.
[SUP]10 [/SUP]You shall die the death of the uncircumcised
By the hand of aliens;
For I have spoken," says the Lord God.'"

Lamentation for the King of Tyre

[SUP]11 [/SUP]Moreover the word of the Lord came to me, saying, [SUP]12 [/SUP]"Son of man, take up a lamentation for the king of Tyre, and say to him, ‘Thus says the Lord God:
"You were the seal of perfection,
Full of wisdom and perfect in beauty.
[SUP]13 [/SUP]You were in Eden, the garden of God;
Every precious stone was your covering:
The sardius, topaz, and diamond,
Beryl, onyx, and jasper,
Sapphire, turquoise, and emerald with gold.
The workmanship of your timbrels and pipes
Was prepared for you on the day you were created.

[SUP]14 [/SUP]"You were the anointed cherub who covers;
I established you;
You were on the holy mountain of God;
You walked back and forth in the midst of fiery stones.
[SUP]15 [/SUP]You were perfect in your ways from the day you were created,
Till iniquity was found in you.

[SUP]16 [/SUP]"By the abundance of your trading
You became filled with violence within,
And you sinned;
Therefore I cast you as a profane thing
Out of the mountain of God;
And I destroyed you, O covering cherub,
From the midst of the fiery stones.

[SUP]17 [/SUP]"Your heart was lifted up because of your beauty;
You corrupted your wisdom for the sake of your splendor;
I cast you to the ground,
I laid you before kings,
That they might gaze at you.

[SUP]18 [/SUP]"You defiled your sanctuaries
By the multitude of your iniquities,
By the iniquity of your trading;
Therefore I brought fire from your midst;
It devoured you,
And I turned you to ashes upon the earth
In the sight of all who saw you.
[SUP]19 [/SUP]All who knew you among the peoples are astonished at you;
You have become a horror,
And shall be no more forever."'"
 
Ulijuaje kama hakipo. Lete ushaidi kusaidia madai yako kuwa hakipo. Maneno matupu hayasaidii kitu.

Lete formula uliyo tumia mpka ukafikia kuwa kitu hicho hakipo. Si hitaji ayamkini katika majibu yako.

TUMIA UJUZI KATIKA MAJIBU YAKO.

Unatopo tumia "KAMA" katika majibu yako inamaanisha hujui wala huna ushaidi zaidi ya kuhisi tu kwa kutimia imani yako.

Nasubiri ushaidi usio na "KAMA"

First thing first, unaposema mungu unamaanusha mungu gani?

Marduk, Apollo, Zeus Jehovah, Allah au mungu gani?

Na tabia zake kuu ni zipi?

Maana tusije kuanza kubishania "mungu" kabla hatujakubaliana mungu ni nini na tabia zake zikoje.
 
habari wadau!
kwa muda wa takribani miaka 28 nimekuwa najifunza kuhusu Mungu huyu muumba wa vitu vyote. Na nimekuwa najifunza pia uwepo jba uwezo wa bwana Shetani.
Ili kumwelewa zaidi Mungu nadhani ni muhimu kumuelewa shetani pia. Yoyote mwenye taarifa zitakazonisaidia kumjua shetani anisaidie.

Pia umejifunza vibaya hakuna mahali popote kwenye biblia takatifu au katika mahubili ambapo shetan ametajwa kama Bwana.
 
Back
Top Bottom