heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 8,019
- 13,270
shetani ni ambaye aliye toa wazo la jF iundwe sasa ndo mna mjadili? Sasa hv yupo bize kidogo
Mtoa mada.
Nenda mithikitini utamuelewa zaidi shetani.
Huko ndiko kwenye makazi yake.
hasa misikite wa mzee wa upakomisikiteen huwa anapatikanaga
!
!
hela ndio sina mkuu ila serious nahitaji kumjua.....kuna hisia nazipata kuwa huenda labda siyo mbaya kama tunavyomfikiria
Amezungumziwa sana kwenye kitabu cha Ayubu na pia katika Mathayo alipomjaribu Yesu ukimsoma utajua yeye ni wa aina gani
shetani ni nafsi yenye ouvu ambayo binadamu yoyote anaweza kua nayo.
hakuna kitu au kiumbe kinachofahamika kama shetani.
mtu jambazi ambaye anaweza kuondoa roho nyngne c shetani huyo.?
mtu akimwekea sumu mwenzake labda kwa tamaa za kidunia ni shetan pia...n.k!
hadisi za zaman znamuonesha shetan kama kiumbe kinachotisha kwa kua ile taswira inalengo la kumuogopesha mtu aachane na nafsi/roho ya kishetan.
miaka 28 umesoma juu shetan umepata majibu gan!!?
!
!
mkuu jina lako sio geni.......kuna sehemu inaitwa hivyo pale chuo cha biashara dodoma (chuchabi)
Unauliza kushoto wanakujibu kulia...
Hii ndo jf
Shetani au Lusifa alikaa mbinguni kipindi cha nyuma akiwa kama kiongozi wa sifa lakini baada ya Muda flani alitaka kuwa mkuu zaidi Mungu.
Ndipo Mungu akachukua Uamuzi wa kumtupa Duniani ndipo jamaa likaweka makazi yake duniani
Mtoa mada.
Nenda mithikitini utamuelewa zaidi shetani.
Huko ndiko kwenye makazi yake.