Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

First thing first, unaposema mungu unamaanusha mungu gani?

Marduk, Apollo, Zeus Jehovah, Allah au mungu gani?

Na tabia zake kuu ni zipi?

Maana tusije kuanza kubishania "mungu" kabla hatujakubaliana mungu ni nini na tabia zake zikoje.

Unaanza kuogopa mara hii. Kumbe unapinga Mungu ambaye hata humjui!!! Aiseeeh

Jibu swali langu hapo juu.

Vipi matumizi ya "KAMA" yanakufikisha pabaya. Maana hio teyari ni imani yako ambayo ni tegemzi kwenye "KAMA.
 
Unaanza kuogopa mara hii. Kumbe unapinga Mungu ambaye hata humjui!!! Aiseeeh

Jibu swali langu hapo juu.

Vipi matumizi ya "KAMA" yanakufikisha pabaya. Maana hio teyari ni imani yako ambayo ni tegemzi kwenye "KAMA.

Mungu yeyote utakayemtaja kwa a commonly accepted definition ni hogwash.

Sianzi kuogopa, nakubana unipe mungu gani unayemkubali ili niweze kujikita katika kumvunjavunja vizuri.

Kwa maandiko na references.

Wewe ambaye hata huwezi kumtaja mungu unayemkubali ndiye unayeogopa.

Unaogopa kumtaja mungu wako kwa sababu unajua kwamba kwa kumtaja unaongeza exposure ya mungu wako kuvunjwa vunjwa kama sanamu.

Obviously huna confidence kwamba mungu wako anaweza kusimama under scrutiny.

Ungekuwa na confidence ungemtaja na kutuambia sifa zake ni zipi tuzipime vizuri.
 
Mungu yeyote utakayemtaja kwa a commonly accepted definition ni hogwash.

Sianzi kuogopa, nakubana unipe mungu gani unayemkubali ili niweze kujikita katika kumvunjavunja vizuri.

Kwa maandiko na references.

Wewe ambaye hata huwezi kumtaja mungu unayemkubali ndiye unayeogopa.

Unaogopa kumtaja mungu wako kwa sababu unajua kwamba kwa kumtaja unaongeza exposure ya mungu wako kuvunjwa vunjwa kama sanamu.

Obviously huna confidence kwamba mungu wako anaweza kusimama under scrutiny.

Ungekuwa na confidence ungemtaja na kutuambia sifa zake ni zipi tuzipime vizuri.

Nilikwambia mapema. Sina muda wa longa longa. Kama huwezi kutetea unacho dai. Basi elewa kuwa wewe ni mfuta mkumbo wa imani inayo pinga Mungu.

Huna jipya kijana.

Umeshindwa hata kutetea unacho futa? Are you that low?
 
Nilikwambia mapema. Sina muda wa longa longa. Kama huwezi kutetea unacho dai. Basi elewa kuwa wewe ni mfuta mkumbo wa imani inayo pinga Mungu.

Huna jipya kijana.

Umeshindwa hata kutetea unacho futa? Are you that low?

Kati yangu mimi niliyekwambia mungu yeyote utakayemtaja ni hogwash na wewe ambaye umeshindwa hata kumtaja mungu wako ni mungu gani, nani kashindwa kutetea anachofuata?

I mean wewe hata kumtaja mungu wako na kutupa sifa zake tumjadili zaidi umeshindwa.

Utasemaje lolote kuhusu kutetea unacho fuata?
 
Kati yangu mimi niliyekwambia mungu yeyote utakayemtaja ni hogwash na wewe ambaye umeshindwa hata kumtaja mungu wako ni mungu gani, nani kashindwa kutetea anachofuata?

I mean wewe hata kumtaja mungu wako na kutupa sifa zake tumjadili zaidi umeshindwa.

Utasemaje lolote kuhusu kutetea unacho fuata?

Haimaanishi kitu kusema bila ya ushaidi zaidi ya kuonyesha upungufu wa kufikiria kwenye fikra yako dhaifu.

Jifunze kutafiti kabla ya kupayuka. Ndio maana nilikwambia sina muda na longalonga kwasabau wewe umejaa longa kichwani mwako ambazo hazina ushaidi.

Umeshindwa hata kutetea IMANI yako ya kuto amini na umebakia na bayana za kitamthilia. Huo ndio UTAFITI wa kwenu Tanzania. Kupayuka na kubwabwaja tu bila ya Ushaidi halafu unasikia rahaa mwenyewe. Lakini umaskini wa kuelewa unacho dai ndio umejaza akili na fikra zako. Hapo nakupa ongera.

Jibu swali langu la mwanzo kwa ushaidi na sio kutumia "KAMA". Sina muda na "KAMA" zilizo jaa udhaifu na zisizo na uhakikisho zaidi ya bayana za kitamthilia. Pole sama mfuasi wa Imani ambayo imekushinda kuitetea.
 
Haimaanishi kitu kusema bila ya ushaidi zaidi ya kuonyesha upungufu wa kufikiria kwenye fikra yako dhaifu.

Jifunze kutafiti kabla ya kupayuka. Ndio maana nilikwambia sina muda na longalonga kwasabau wewe umejaa longa kichwani mwako ambazo hazina ushaidi.

Umeshindwa hata kutetea IMANI yako ya kuto amini na umebakia na bayana za kitamthilia. Huo ndio UTAFITI wa kwenu Tanzania. Kupayuka na kubwabwaja tu bila ya Ushaidi halafu unasikia rahaa mwenyewe. Lakini umaskini wa kuelewa unacho dai ndio umejaza akili na fikra zako. Hapo nakupa ongera.

Jibu swali langu la mwanzo kwa ushaidi na sio kutumia "KAMA". Sina muda na "KAMA" zilizo jaa udhaifu na zisizo na uhakikisho zaidi ya bayana za kitamthilia. Pole sama mfuasi wa Imani ambayo imekushinda kuitetea.

this time nataka niwe observer tu nyie endeleeni kushusha nondo
 
Saa nane za usiku kunako kama dakika 2 au 3, usiku Tulivu kuna kunakuwa na kaupepo usiovuma..........ukiwa uchi wa Mnyama (mtupu) toka nje ya Nyumba yako pekee yako bila kusema chochote kasimame mbele ya uwanja wenu wa nyumba usawa na mlango(Hatua kati ya 3 hadi 5)..........haitachukua Dakika 5 nakuhakikishia utakiona kiumbe cha ajabu.........Tahadhali ukikiona kiumbe hicho ondoka taratibu bila ya kusema chochote ingia ndani, usipofanya hivyo huo utakuwa mwisho wa uhai wako..........
 
Saa nane za usiku kunako kama dakika 2 au 3, usiku Tulivu kuna kunakuwa na kaupepo usiovuma..........ukiwa uchi wa Mnyama (mtupu) toka nje ya Nyumba yako pekee yako bila kusema chochote kasimame mbele ya uwanja wenu wa nyumba usawa na mlango(Hatua kati ya 3 hadi 5)..........haitachukua Dakika 5 nakuhakikishia utakiona kiumbe cha ajabu.........Tahadhali ukikiona kiumbe hicho ondoka taratibu bila ya kusema chochote ingia ndani, usipofanya hivyo huo utakuwa mwisho wa uhai wako..........

nitajaribu leo!
 
Haimaanishi kitu kusema bila ya ushaidi zaidi ya kuonyesha upungufu wa kufikiria kwenye fikra yako dhaifu.

Jifunze kutafiti kabla ya kupayuka. Ndio maana nilikwambia sina muda na longalonga kwasabau wewe umejaa longa kichwani mwako ambazo hazina ushaidi.

Umeshindwa hata kutetea IMANI yako ya kuto amini na umebakia na bayana za kitamthilia. Huo ndio UTAFITI wa kwenu Tanzania. Kupayuka na kubwabwaja tu bila ya Ushaidi halafu unasikia rahaa mwenyewe. Lakini umaskini wa kuelewa unacho dai ndio umejaza akili na fikra zako. Hapo nakupa ongera.

Jibu swali langu la mwanzo kwa ushaidi na sio kutumia "KAMA". Sina muda na "KAMA" zilizo jaa udhaifu na zisizo na uhakikisho zaidi ya bayana za kitamthilia. Pole sama mfuasi wa Imani ambayo imekushinda kuitetea.

Wewe mtu umeshindwa hata kunitajia mungu wako ni mungu gani kwa woga wa huyo mungu wako kubomolewa!

Taja jina la mungu wako na tabia zake hapa tumbomoe.

Otherwise umeshindwa mjadala.

Huwezi kuniambia nitoe ushahidi wa kutowapo kwa mungu kabla ya kuthibitisha kwamba.mungu.yupo kwa ushahidi.

Kwa sababu ishahidi ni tabia ya vitu vilivyopo, si tabia ya vitu visivyopo.

Leo hii nikitunga kitu tu, kitu ambacho hakipo, kama kikombe cha dhahabu kinachoelea juu ya mloma Kilimanjaro, nikakwambia kikombe hiki kipo, na kama unabisha toa ushahidi kwamba hakipo. Hutaweza kunipa ushahidi kwamba hakipo, sio kwa.sababu kipo, bali kwa sababu hakipo.

Utaanzia wapi kunipa ushahidi kwamba kikombe hakipo kama hakipo?


On the other hand, kama kikombe kipo, kutoa ushahidi kwamba kipo ni rahisi tu. Watu watakiona, watakipiga picha, satellite zitakiona, television crews zitakiona et cetera et cetera.

Kwa hiyo, kazi ya uthibitisho ipo kwa.wale wanaosema mungu yupo.

Wanaobisha hawana kazi ya kuthibitisha.

Kwa sababu, visivyopo havithibitiki.
 
habari wadau!
kwa muda wa takribani miaka 28 nimekuwa najifunza kuhusu Mungu huyu muumba wa vitu vyote. Na nimekuwa najifunza pia uwepo jba uwezo wa bwana Shetani.
Ili kumwelewa zaidi Mungu nadhani ni muhimu kumuelewa shetani pia. Yoyote mwenye taarifa zitakazonisaidia kumjua shetani anisaidie.

Acording to Qoran , anaitwa ibilisi ,ameumbwa kwa moto na alikuwa malaika pia ,na pia inasemekana ni mzuri sana ,sio kama tunavyozani kwamba anatisha kama vile picha za horror ,ni mzuri mzuri ajabu ,ila alikataa kumsujudia binadamu apipoamrishwa na mungu kufanya ivo , na ndo akatolewa heaven na kuwa ibilisi ,I hope sijakosea.. wenyewe elimu zaidi watanikosoa...
 
Acording to Qoran , anaitwa ibilisi ,ameumbwa kwa moto na alikuwa malaika pia ,na pia inasemekana ni mzuri sana ,sio kama tunavyozani kwamba anatisha kama vile picha za horror ,ni mzuri mzuri ajabu ,ila alikataa kumsujudia binadamu apipoamrishwa na mungu kufanya ivo , na ndo akatolewa heaven na kuwa ibilisi ,I hope sijakosea.. wenyewe elimu zaidi watanikosoa...

Bora wewe umetaja framework ya mungu wako.Unajulikana unaongelea mungu wa Quran.

Wengine wanaogopa hata kusema mungu wao ni mungu gani.

Swali moja kwako.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao ibilisi anawezekanika kuwepo?

Especially because mungu wako anatakiwa kuwa anajua yote, pamoja na viumbe watakavyokuwa kabla hawajawa, na hana kinachomzuia kubadilisha.

This goes for the god of the bible as well, because there is no significant difference between the bible and the quran in this matter.
 
nitajaribu leo!
Nakukaribisha kwenye Ulimwengu huo mpana .........mkuu Viumbe vipo vingi sana kwenye huu ulimwengu.....walio wengi wanaogopa kukutana na viumbe hivi kwa uoga wao tu, kitu ambacho ni kosa kubwa sana kwani viumbe hivyo vina uwezo mkubwa sana wa kuyarahisisha maisha yetu hapa duniani kwa sababu Technology yote unayoiona leo hii imetoka kwao........lakini ukianza kushirikiana nao basi watu watakutenga na kukuona mchawi......Simple mind sana....!!!!!!
 
Bora wewe umetaja framework ya mungu wako.Unajulikana unaongelea mungu wa Quran.

Wengine wanaogopa hata kusema mungu wao ni mungu gani.

Swali moja kwako.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao ibilisi anawezekanika kuwepo?

Especially kama mungu anajua yote, pamoja na viumbe watakavyokuwa kabla hawajawa, na hana kinachomzuia kubadilisha.
Mkuu ili uwe mtihani kwa viumbe vyote......shetani kwa makubaliano aliyoyafanya na mungu mojawapo ni kuwa awe wa mwisho kufa......
 
Mkuu ili uwe mtihani kwa viumbe vyote......shetani kwa makubaliano aliyoyafanya na mungu mojawapo ni kuwa awe wa mwisho kufa......

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote ahitaji kuwatahini viumbe wake?

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote ahitaji kufanya makubaliano na kiumbe chake?

Hususan kama kiumbe chake hicho kimeonyesha uasi?

Ina maana huyu mungu alikiogopa?

Na kama mungu ni muweza wa yote na mjuzi wa yote, na hakuna kinachotokea bila ruhusa yake, na yeye ndiye kaanzisha ulimwengu na kuupa tabia zake zote, shetani anaweza kulaumiwa kwa kuwa alivyokuwa au ametokea hivyo kwa sababu ya kukamilisha mpango wa mungu tu na hivyo hawezi kulaumiwa?
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote ahitaji kuwatahini viumbe wake?

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote ahitaji kufanya makubaliano na kiumbe chake?

Hususan kama kiumbe chake hicho kimeonyesha uasi?

Ina maana huyu mungu alikiogopa?

Na kama mungu ni muweza wa yote na mjuzi wa yote, na hakuna kinachotokea bila ruhusa yake, na yeye ndiye kaanzisha ulimwengu na kuupa tabia zake zote, shetani anaweza kulaumiwa kwa kuwa alivyokuwa au ametokea hivyo kwa sababu ya kukamilisha mpango wa mungu tu na hivyo hawezi kulaumiwa?
Mkuu Mungu anapenda sana Kuabudiwa na anachukia wanaomuasi ingawa yote hayo huyapanga yeye......kwa wale wanaomchukia shetani ni wivu wao tu.......Mungu alifanya makubaliano na shetani baada ya ''Shetanga'' kumuomba Mungu na kwa kuwa mungu humsikiliza kila aombae basi ndiyo ikawa hivyo........
 
Mkuu Mungu anapenda sana Kuabudiwa na anachukia wanaomuasi ingawa yote hayo huyapanga yeye......kwa wale wanaomchukia shetani ni wivu wao tu.......Mungu alifanya makubaliano na shetani baada ya ''Shetanga'' kumuomba Mungu na kwa kuwa mungu humsikiliza kila aombae basi ndiyo ikawa hivyo........

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote apende sana kuabudiwa?

Huyu mungu hana vitu vikubwa zaidi vya kufanya kuliko kupoteza attention yake kufuatilia jinsi anavyoabudiwa na binadamu?

Huyu mungu ana inferiority complex gani mpaka awe addictive na kuabudiwa hivi?

Mimi ninavyojua kupenda kuabudiwa ni tabia ya binadamu madikteta na megalomaniacs kama kina Idi Amin na Joseph Stalin, kwa nini mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote apende kuabudiwa?

Kuabudiiwa na binadamu kutamuongezea nini mungu huyu ambaye kila kitu ni mali yake?

Huyu mungu muweza yote kwa nini yuko needy sana na ana weakness ya kupenda kuabudiwa kiasi cha kushurutisha watu wamswalie mara tano kwa siku?

Halafu hujajibu swali langu, kama mungu anapanga kila kitu, ina maana hata shetani kuwepo kwake kulipangwa na mungu.

Shetani anaweza kulaumiwa kwa kuishi kama alivyopanga mungu?
 
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote apende sana kuabudiwa?

Huyu mungu hana.vitu vikubwa zaidi vya kufanya kuliko kupoteza attention.yake kufuatilia jinsi anavyoabudiwa na binadamu?

Huyu mungu ana inferiority complex gani mpaka awe addictive na kuabudiwa hivi?

Mimi ninavyojua kupenda kuabudiwa ni tabia ya binadamu madikteta na megalomaniacs kama kina Idi Amin na Joseph Stalin, kwa nini mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote apende kuabudiwa?

Kuabudiiwa na binadamu kutamuongezea nini mungu huyu ambaye kila kitu ni mali yake?

Huyu mungu muweza yote kwa nini yuko needy sana na ana weakness ya kupenda kuabudiwa kiasi cha kushurutisha watu wamswalie mara tano kwa siku?

Halafu hujajibu swali langu, kama mungu anapanga kila kitu, ina maana hata shetani kuwepo kwake kulipangwa na mungu.

Shetani anaweza kulaumiwa kwa kuishi kama alivyopanga mungu?
Mkuu Kiranga sasa nikutaje kwa jina.....nasema shetani hawezi kulaumiwa kwa lolote kwa wajuzi wa mambo ya dini kwani ni sehemu ya mtihani na kulipangwa na mungu.........swala la Mungu kupenda kuabudiwa ni siri (Mipaka ya Mungu na Viumbe vyake) aliyoiweka yeye mwenyewe hakuna ajuwae na kuhoji sana ni kukiuka misingi ya mipaka......na hilo ni kati ya mambo yaliyomfanya Shetani apingwe bani na Sir God............wewe Kiranga weweeeeee..........
 
Mkuu Kiranga sasa nikutaje kwa jina.....nasema shetani hawezi kulaumiwa kwa lolote kwa wajuzi wa mambo ya dini kwani ni sehemu ya mtihani na kulipangwa na mungu.........swala la Mungu kupenda kuabudiwa ni siri (Mipaka ya Mungu na Viumbe vyake) aliyoiweka yeye mwenyewe hakuna ajuwae na kuhoji sana ni kukiuka misingi ya mipaka......na hilo ni kati ya mambo yaliyomfanya Shetani apingwe bani na Sir God............wewe Kiranga weweeeeee..........

Kwa hiyo unamuabudu mungu usiyemuelewa wala kuweza kumuelezea.

Kama shetani hawezi kulaumiwa, habari nzima ya dhambi inakosa msingi.

Kama habari ya dhambi inakosa msingi, kwa sababu shetani na zao lake, dhambi ni mpango wa mungu tu, binadamu wote wanaofanya dhambi wanatekeleza mpango wa mungu tu.

Sasa kwa nini tunaambiwa mungu atawahukumu binadamu.kwa kufanya dhambi, wakati kila kitu ni mpango wa mungu na hivyo hakiepukiki?

Unawezaje kuhalalisha hukumu ya moto kwa wanadamu kama kisa cha wanadamu kufanya dhambi ni shetani, na shetani alikuwa anatekeleza mpango wa mungu tu, na hivyo habari nzima ya dhambi ni mpango wa mungu tu?

Mungu anaweza kuwahukumu binadamu kwa kufanya dhambi aliyoipanga ifanyike yeye mungu mwenyewe kabla dunia na viumbe havijaumbwa?
 
Kwa hiyo unamuabudu mungu usiyemuelewa wala kuweza kumuelezea.

Kama shetani hawezi kulaumiwa, habari nzima ya dhambi inakosa msingi.

Kama habari ya dhambi inakosa msingi, kwa sababu shetani na zao lake, dhambi ni mpango wa mungu tu, binadamu wote wanaofanya dhambi wanatekeleza mpango wa mungu tu.

Sasa kwa nini tunaambiwa mungu atawahukumu binadamu.kwa kufanya dhambi, wakati kila kitu ni mpango wa mungu na hivyo hakiepukiki?

Unawezaje kuhalalisha hukumu ya moto kwa wanadamu kama kisa cha wanadamu kufanya dhambi ni shetani, na shetani alikuwa anatekeleza mpango wa mungu tu, na hivyo habari nzima ya dhambi ni mpango wa mungu tu?

Mungu anaweza kuwahukumu binadamu kwa kufanya dhambi aliyoipanga ifanyike yeye mungu mwenyewe kabla dunia na viumbe havijaumbwa?
Hayo ndiyo maandiko ya vitabu vya Dini tumevikuta na tunaamini katika hilo ni jukumu lako sasa kukubali au kuacha.......kuhusu swala la dhambi nani kakueleza ya kuwa Shetani ndiye wa kulaumiwa........?come on mkuu........usinibebeshe yaliyopo kichwani mwako.....hayo ni wewe umeyapokea ulipaswa umuulize aliyekueleza hayo.....
 
Back
Top Bottom