Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

Msaada kwa anayemjua vizuri Shetani

Sidhani kama kuna kitu/mtu anaitwa shetani, hii ni abstract concept tu ambayo binadamu wanayo ili kujistfy maovu yao.

Ndo maana mtu akikosea hukimbilia kusema shetani wakati ni yeye mwenyewe ndo kakosea
 
Mtoa mada.
Nenda mithikitini utamuelewa zaidi shetani.
Huko ndiko kwenye makazi yake.
Shetani anakaa katika roho za wanaomini biblia soma (Ayubu 1:6)
Na ni ndugu na Yesu
Mzaliwa wa Kwanza ni Yesu,Wakolosai 1:15
Mzaliwa wa pili wa Mungu (Ayubu 38:4-7),ni malaika,mmoja kati ya malaika hao akaja kuwa shetani.
 
shetani hapendi nguruwe ukitaka asifike kwako fuga huyo mnyama au umpike daily home
 
Mkuu sababu hii ni kitu ya kiimani inabidi uchague kuelezewa kwa imani ipi.., sababu umemuongelea Mungu basi kuhusu shetani soma vitabu vilevile vilivyomuelezea Mungu
 
Back
Top Bottom