Msaada: Kupiga simu nje ya nchi

Msaada: Kupiga simu nje ya nchi

P value

Member
Joined
Sep 7, 2017
Posts
25
Reaction score
24
Wataalamu, naomba kufahamishwa namna ya kupiga simu nje ya nchi kwa bei nafuu kwa contacts ambazo haziko linked na call apps au sociaL media apps(whatsapps, line, viber..).

MItandao ya simu ina vifurushi vya kimataifa ambavyo ni bei ghali, haviendani na uhalisia, na vina mawasiliano ya nchi chache. Mtandao wa sImu ninaotumia kwa sasa, wanakifurushi cha kimataifa cha World ambacho hakisadifu jina lake bali utapiga sImu kwa nchi kama nane tu. Na ukijiunga vocha ya sh 5000 unapata kama dakika 5 tu.
 
Zamani tulikua tunatumia Skype, bei ilikua rahisi sana, sema Microsoft kaiua.

Trick hapa ni kutafuta app ambayo wewe na hio app munawasiliana online ila hio app na namba unayoipigia wanawasiliana kawaida ili kuondoa Online Factor kwa unayempigia.

Kila app inakua na rate tofauti tofauti kutegemea na nchi

Hizi rate za Google Voice

Rate za Mytello

Mara nyingi hio app inapobase basi simu zinakua bei rahisi sana kwa nchi husika.
 
Zamani tulikua tunatumia Skype, bei ilikua rahisi sana, sema Microsoft kaiua.

Trick hapa ni kutafuta app ambayo wewe na hio app munawasiliana online ila hio app na namba unayoipigia wanawasiliana kawaida ili kuondoa Online Factor kwa unayempigia.

Kila app inakua na rate tofauti tofauti kutegemea na nchi

Hizi rate za Google Voice

Rate za Mytello

Mara nyingi hio app inapobase basi simu zinakua bei rahisi sana kwa nchi husika.
Mtaalam Chief Mkwawa, baada ya ushauri wako, nimesubscribe kwenye hii app, hakika imeleta unafuu Sana . Inakupatia dakika nyingi na unaccess karibia nchi zote. Appreciation kwako na narecommend kwa watu wengine.
 
Back
Top Bottom