Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 18,438
- 42,547
Hapana,soma vizuri hiyo Scott hairuhusiwi kumpa mtoto chini ya 12month.Nimeshaualiwa nimpatie infacol na mafuta ya samaki (scotts), ni sahihi?
Hapana,soma vizuri hiyo Scott hairuhusiwi kumpa mtoto chini ya 12month.Nimeshaualiwa nimpatie infacol na mafuta ya samaki (scotts), ni sahihi?
Mtoto wa miezi miwili,unampaje uji mtoto mdogo huku ananyonya?!Mtoto hashibi kwa maana maziwa ya mama yake hayamtoshi. Chemsha uji mwembamba uchemke kweli yaani kwa muda mrefu. Mpe vijiko vichache anywe, kesho rudi na mrejesho.
Kabla ya kulala muogeshe maji ya vuguvugu yaliyochanganywa na chumvi kiasi hilo tatizo litakwisha na hata mama yake pia anaweza kuogeaHabari.
Nina mtoto wa miezi miwili. Kuna changamoto aliyonayo ya kutolala karibia usiku mzima yaani analala kimagepu huku akiwa hayuko comfortable.
Na akiwa macho hatulii na mama yake pia akimuweka kitandani hataki kukaa peke yake anaanza kulia. Akimpatia pia nyonyo muda mwingine anakataa muda mwingine ananyonya.
Hali hii inatokea pia na mchana.
Msaada kudhibiti hii hali kama umeshawahi kuipitia na mwanao.
Wa pili mkuuMtoto wa ngapi huyo mkuu
Acha masihala dogoHuyo mtoto atakuwa na shida ya kiafya mpelekekwa Dr Sameer (Dr wa watoto) ampe tiba mkuu
Mhhh,acha utoto,hayo ni mambo ya tiba afya usilete utotoAnasumbuliwa na jina, mpe jina la bibi yake kizaa baba
Wewe unadhani hana shida yoyote mkuu? Kwa hiyo akae naye nyumbani aendelee kuteseka?Acha masihala dogo
Hili ndiyo la kuzingatia.Gesi inamsumbua
Pole kwa shida anayopata mtoto.Habari.
Nina mtoto wa miezi miwili. Kuna changamoto aliyonayo ya kutolala karibia usiku mzima yaani analala kimagepu huku akiwa hayuko comfortable.
Na akiwa macho hatulii na mama yake pia akimuweka kitandani hataki kukaa peke yake anaanza kulia. Akimpatia pia nyonyo muda mwingine anakataa muda mwingine ananyonya.
Hali hii inatokea pia na mchana.
Msaada kudhibiti hii hali kama umeshawahi kuipitia na mwanao.
Oyaaaaa usimdharau Kwa wasukuma nimeikuta hiii na inafanya KAZI (kwao) na wanaiamini ungemuomba atoe ufafanuzi ungejifunza kitu kipya Leo.Mhhh,acha utoto,hayo ni mambo ya tiba afya usilete utoto
umlaze kwa tumbo???? !!!@Jitahid kumbeba began yaan mkumbatie kichwa chake kilale juu ya kufua ili apumue kutoa ges,na ukimlaza kitandan mlaze kwa tumbo,gesi inamsumbua ndo maana anashindwa kulala na kunyonya vizur,kila akimaliza kunyonya acheulishwe ndo alale
Jaribu inaweza msaidia...wtt wa kwanza mtasumbuka mnoo yani kila dawa utampa...ni gas na unyonyeshaji...ukiweza kucontrol hyo gas basi kila kitu kitakua vzr..tumbo la mtt bado halija adapt mazingira mapya...Nimeshaualiwa nimpatie infacol na mafuta ya samaki (scotts), ni sahihi?