Unayoyajua na usiyoyajua kuhusu wanyama wakufugwa..

Its Pancho

JF-Expert Member
Sep 21, 2018
14,238
22,661
Wakuu
Tumekuwa tukifuga sana wanyama majumbani mwetu kwa miaka mingi hasa jamii za kiafrika.
Ingawaje tumekuwa tukiwatendea unyama uhuni wanyama tuwafugao.

Hapa nitaeleza kwa ufupi niliyoyajua na kuyaona kwa wanyama wa nyumbani hasa wafugwao na tabia zao ambazo ni very rare kuziona ..!

PUNDA.
Kwanza huyu hafugwi. Ndiyo HAFUGIKI. Why? Twende taratibu.
Panda amekuwa akifugwa kwa muda mrefu sana na binadamu
Akitumika kwa shughuli mbalimbali kama kulima.na kubeba mizigo mbalimbali.

Ingawaje kuna tabia zake ambazo ni rare sana kuziona utazijua tu punde ukimtendea vizuri yaani usiwe mkatili kwake.

Kwanza ana akili kuliko ng'ombe na wanyama wengine

Kuna kipindi wakati nipo mdogo kijijini kwetu Punda wetu baada ya kuona kazi nyingi sana mtindo mmoja na viboko vingi sana
Akaona bhana eeh! Chakufia nini? Akasepa zake kama miezi miwili hatumuoni.

Kumbe alikuwa kaenda tu nyumba nyengine usiku karuka zizi kaingia kukaa na ng'ombe katulia!
Mwenye mifugo kaamka asubuhi wala hajauliza sanaaa. Kampa chakula kidogo then kamuacha maana anajua wazi kabisa ukimpa kazi nyingi huyo punda anasepa zakeee..!

Baada ya miezi miwili usiku tena punda yule akarudi maskani kwa mtindo ule ule wa kuruka zizi asubuhi mnamkuta katulia zake ...!

Alipokuwa na ujauzito tulitegemea atazaa tu vizuri guess what??
Tuliona tu punda karudi kutokea porini hana tumbo kubwa tena na hana mtoto! Kamuacha wapi??

Ikabidi wazee wamzunguke na kuanza kumtandika viboko mfululizo mpaka punda yule alipoenda kuonesha alipomuacha mtoto ambapo tungechelewa tungekufa kajifia zake.

Najua unajua au hujui lakini punda anakula sana ukoko ukitaka ahamie kwako mazima mpe kila siku!

Next time nilipokuwa nimekaa tu kariba na zizi nikaona punda wetu mwengine aliyekuwa na mimba , anahangaika sana yaani hatulii !

Ukweli mimi yule punda alinipenda sana na hata nikiwa nimetulia alikuwa akinifuata na kuanza kusugua shingo yake miguuni mwangu , it was my best friend..!

Akanifuata mbio mbio then anageuka ananionesha mbususu yake, nikajua moja moja kwa huyu punda anataka kusaidiwa kujifungua na mimi bwana mdogo sikujua how to do it, ikabidi niwaite wajuzi waje kumsaidia mtoto atoke.. kwa kweli nilishuhudia namna wanyama wakizaa ni tabu tupu wanapata..!

Unatakiwa ujue kuwa punda ni mchungaji mzuri wa mifugo hasa ng'ombe na mbuzi, anaongoza njia na kuwaelekeza pa kupita mifugo sababu anakariri sana njia.

Pia anafukuza sana wanyama pori hasa fisi wanaokamata mbuzi [shughuli yake wanaijua vizuri]

NG'OMBE..

Huyu ni mnyama ambaye tuseme anashika nafasi ya pili kwa kuchinjwa akiongozwa na nguruwe!

Ng'ombe ni mnyama ambaye yuko so friendly na binadamu.
Iwapo tu ukimpenda na kumjali sio kila mara viboko noo

Kwa wasukuma.ni kawaida kukuta ng'ombe mmoja kavunjika pembe kwa viboko

Ng'ombe hawezi kujifungua mwenyewe au akiweza atazaa kwa tabu sana au ndama kufa!

Kama akikuozea sana atakufuata then atakeukia kukuonesha "bwana eeh mwanangu anataka kutoka nisaidie" then utatakiwa kumsaidia kumvuta ndama atoke [hili nimeshuhudia personal]

Watu wa dar kuleni nyama tu hivi hivi tu lakini mngejua namna wafugaji wanavyopata tabu.

Ndama anapotoka inatakiwa mmoja anyonye haraka kwenye pua'mdomo' maskio ili ndama asife otherwise mtampoteza..!

MBUZI
Huyu yeye anafugwa sana sana kwa kitoweo au biashara unakuta mtu kakwama anauza chap mbuzi mmoja kama 70k kutatua kamzozo fulani.

Mbuzi yeye ni muoga sana Hali inayopelekea kuwa na akili
Mara nyingi mbuzi hukaa zizini na mifugo mingine ili kusudi kutoa alert iwapo litatokea tatizo mfano fisi ameingia zizini ama lah
Yeye akiona tu labda kondoo amedakwa na fisi [fisi anapenda kondoo kuliko mbuzi] basi atapiga yowe "jamani baba mwenye nyumba eeh huku kuna muujiza tumevamiwa"

Na kikawaida mbuzi ana Saudi tofauti tofauti ndani ya mlio mmoja! Ndiyo' skia mzee iko hivi.

Mbuzi anatoa Sauti tofauti kabisa ikiwa kuna hatari' either akiona kitu ama akidakwa hata na fisi utajua tu.


Ana sauti ya maumivu, nk
Shida ya kondoo huwa nj jeuri hata akidakwa anataka kufa kiume halipigi kelele, ndio maana unasked watu wanasema kufa kikondoo hence muweke mbuzi na kondoo wakae zizi moja..

PAKA...
Huyu anafugwa sehemu nyingi sana sanaaa
Anatumika kama urembo pia kama mlinzi dhidi ya wadudu waharibifu kama panya,
Kiufupi hili beef Lao halitokuja kuisha hata iweje..

Paka naye ni kiumbe anayepends starehe sana, asilimia kubwa ya maisha yake anayatumia kulala tu .
Jamaa hana mambo mengi akishiba analala zake.

Shida ya paka anapenda kudeka sana utakuta kalala juu ya kitanda chako au Kanyea unga hasa wakiwa bado watoto..

Hii nimeshuhudia personal...
In our childhood, mzee aliletaga paka mkubwa kabisa akiwa kwenye mfuko,yule.paka alikuwa ni tofauti kabisa na hawa wa kwetu mitaani mkia wenye manyoya mengi, uzito mkubwa, manyonya mengi mwilini! Alipendeza kumuangalia for sure..

Shida yake alikuwa jeuri wa kiwango cha kutupwa na alikuwa na urafiki na mimi na mzee wangu tu!
Wengine lilikuwa linawapa chechi sanaaa..!

Sikumoja bibi yetu yeye alikuwa ametoka akaacha mkeka wake chini then akaenda zake, kurudi anakuta paka hilo letu limelala kwenye mkeka wake lime relax...!

Ikabidi achuukue mfagio alitandike guess what!

Nilishuhudia paka akituna kama mpira unavyojazwa upepo then akamrukia mzee yule kifuani!
Bibi wa watu mpaka chini akaenda anabaki anapiga yowe tu mpaka mzee akaja anasema "acha acha"ndipo akaacha yule paka then likaondoka kijeuri taratibu kabisa.

Paka yeye kamwe hutamuona akizaa However mimi nimeshuhudia kwa macho yangu, na wala hahitaji msaada wa mtu anatafuta palipo na privacy atazaa
Kitu kama hicho kwa paka ni very rare kwahiyo nikajifunza kitu tangu that day.

Ingawaje yule paka alipotelea tu mtaani hakuonekana tena maskani I think alishakufa huko ..

Remember kucha za paka ni sumu kwa mwili wa binadamu hivyo usipende kucheza michezo na paka maana tabia zake ni ngumu kujua hata ukiamuangalia usoni ngumu sanaaa.

MBWA..
Mbwa amekuwa akitumika kwa miaka mingi sana kama mlinzi wa Mali na usalama wetu majumbani mwetu .

Ingawaje pia amekuwa mistreated sana na wamiliki wanaomfuga but let me tell you that mbwa ni kiumbe loyal sana kwa binadamu hasa ukimtreat vizuri ndipo utajua tabia zake haswa .

Binafsi kijijini tuliwahi kuwa na mbwa ambaye kwa kweli sikuwahi kumskia akibweka tangu akiwa mdogo mpaka anakua mkubwa! Never seen that!

Hata wazee hawakujua shida ilikuwa nini? Ingawaje tulimpenda sana maana alikuwa stadi sana wakati wa kuwinda!

Binafsi mbwa wetu yule nilimpenda sana naye alikuwa beneath sana na mimi muda mwingi kiasi kwamba asiponiona atanitafuta mpaka nilipo either porini au lah atanitafuta au kunisubiri , licha ya yote hayo sikuwahi kumuona akibweka bado..!

But siku moja jioni kidogo nikiwa nimekaa sehemu karibu na kama kichuguu yule mbwa amekaa pembeni yangu nikiwa napuliza filimbi [ ni zile filimbi kama zenye matobo matobo ipo kama bomba then huwa zinatumika sana madrasa ninapenda sana na nadhani mbwa yule pia alikuwa anapenda nikipuliza maana alikuwa anatulia sana na kuniangalia akiwa pembeni yangu]


Sasa nilipoendelea kupuliza zaidi filimbi yangu akawa ananiangalia sana na kama anahema kwa nguvu dizaini kama mapafu yanambana then akasimama anahangaika nikajiuliza huyu vipi tena .!

Guess what for the first time ever mbwa yule alibweka kwa nguvu sana akiwa mpaka anaruka ruka kwa furaha sana!

Binafsi nikabaki nimepigwa na butwaa kubwa sana maana hakuwahi kubweka popote pale ..!

Tukarudi nyumbani ilipofika usiku nikiwa ndani moyo ukawa unawazia sana tukio lile, kwamba mbona simskii akibweka tena? Ana shida gani huyu huko nje?

Usiku sana kama saa 8 usiku nikastuka usingizini baada ya watu kuamka kwenda nje haraka, tuliskia mbwa anabweka nje! Huyu huyu ambaye huwa habweki ..!

Lakini kilio kile kilikuwa ni cha maumivu means ishara ya maumivu , maana mbwa hubweka kwa namna mbalimbali ili bwana wake ajue ..

Kutoka nje tunaona kwa mbaaaali fisi wawili wanasepa huku bado akilia kilio kile ambacho binafsi mpaka leo bado nakumbuka sana..!

Na huo ndio ukawa mwisho wake ...!

Tujifunze kitu

Unajua nini kuhusu wanyama?
 
Wakuu
Tumekuwa tukifuga sana wanyama majumbani mwetu kwa miaka mingi hasa jamii za kiafrika.
Ingawaje tumekuwa tukiwatendea unyama uhuni wanyama tuwafugao.

Hapa nitaeleza kwa ufupi niliyoyajua na kuyaona kwa wanyama wa nyumbani hasa wafugwao na tabia zao ambazo ni very rare kuziona ..!

PUNDA.
Kwanza huyu hafugwi. Ndiyo HAFUGIKI. Why? Twende taratibu.
Panda amekuwa akifugwa kwa muda mrefu sana na binadamu
Akitumika kwa shughuli mbalimbali kama kulima.na kubeba mizigo mbalimbali.

Ingawaje kuna tabia zake ambazo ni rare sana kuziona utazijua tu punde ukimtendea vizuri yaani usiwe mkatili kwake.

Kwanza ana akili kuliko ng'ombe na wanyama wengine

Kuna kipindi wakati nipo mdogo kijijini kwetu Punda wetu baada ya kuona kazi nyingi sana mtindo mmoja na viboko vingi sana
Akaona bhana eeh! Chakufia nini? Akasepa zake kama miezi miwili hatumuoni.

Kumbe alikuwa kaenda tu nyumba nyengine usiku karuka zizi kaingia kukaa na ng'ombe katulia!
Mwenye mifugo kaamka asubuhi wala hajauliza sanaaa. Kampa chakula kidogo then kamuacha maana anajua wazi kabisa ukimpa kazi nyingi huyo punda anasepa zakeee..!

Baada ya miezi miwili usiku tena punda yule akarudi maskani kwa mtindo ule ule wa kuruka zizi asubuhi mnamkuta katulia zake ...!

Alipokuwa na ujauzito tulitegemea atazaa tu vizuri guess what??
Tuliona tu punda karudi kutokea porini hana tumbo kubwa tena na hana mtoto! Kamuacha wapi??

Ikabidi wazee wamzunguke na kuanza kumtandika viboko mfululizo mpaka punda yule alipoenda kuonesha alipomuacha mtoto ambapo tungechelewa tungekufa kajifia zake.

Najua unajua au hujui lakini punda anakula sana ukoko ukitaka ahamie kwako mazima mpe kila siku!

Next time nilipokuwa nimekaa tu kariba na zizi nikaona punda wetu mwengine aliyekuwa na mimba , anahangaika sana yaani hatulii !

Ukweli mimi yule punda alinipenda sana na hata nikiwa nimetulia alikuwa akinifuata na kuanza kusugua shingo yake miguuni mwangu , it was my best friend..!

Akanifuata mbio mbio then anageuka ananionesha mbususu yake, nikajua moja moja kwa huyu punda anataka kusaidiwa kujifungua na mimi bwana mdogo sikujua how to do it, ikabidi niwaite wajuzi waje kumsaidia mtoto atoke.. kwa kweli nilishuhudia namna wanyama wakizaa ni tabu tupu wanapata..!

Unatakiwa ujue kuwa punda ni mchungaji mzuri wa mifugo hasa ng'ombe na mbuzi, anaongoza njia na kuwaelekeza pa kupita mifugo sababu anakariri sana njia.

Pia anafukuza sana wanyama pori hasa fisi wanaokamata mbuzi [shughuli yake wanaijua vizuri]

NG'OMBE..

Huyu ni mnyama ambaye tuseme anashika nafasi ya pili kwa kuchinjwa akiongozwa na nguruwe!

Ng'ombe ni mnyama ambaye yuko so friendly na binadamu.
Iwapo tu ukimpenda na kumjali sio kila mara viboko noo

Kwa wasukuma.ni kawaida kukuta ng'ombe mmoja kavunjika pembe kwa viboko

Ng'ombe hawezi kujifungua mwenyewe au akiweza atazaa kwa tabu sana au ndama kufa!

Kama akikuozea sana atakufuata then atakeukia kukuonesha "bwana eeh mwanangu anataka kutoka nisaidie" then utatakiwa kumsaidia kumvuta ndama atoke [hili nimeshuhudia personal]

Watu wa dar kuleni nyama tu hivi hivi tu lakini mngejua namna wafugaji wanavyopata tabu.

Ndama anapotoka inatakiwa mmoja anyone haraka kwenye pua'mdomo' maskio ili ndama asife otherwise mtampoteza..!

Unajua nini kuhusu wanyama?
Endelea kushusha madini
 
Sikujua hii ya ng'ombe kusaidiwa, au kunyonywa pua, maana mtaalamu mmoja aliniambia sio wote wanahitaji kusaidiwa, juzi usiku a.k.a Sabrina ikiwa ni mimba ya kwanza kwake akajifungua usiku, hatukusikia kelele zozote, only in the morning tukakuta ndama hatunaye. She was devastated to say the least.
 
Sikujua hii ya ng'ombe kusaidiwa, au kunyonywa pua, maana mtaalamu mmoja aliniambia sio wote wanahitaji kusaidiwa, juzi usiku a.k.a Sabrina ikiwa ni mimba ya kwanza kwake akajifungua usiku, hatukusikia kelele zozote, only in the morning tukakuta ndama hatunaye. She was devastated to say the least.
Then hapo ndipo tunarudi kwenye maneno yangu mkuu
Ng'ombe punde ulipogundua ana mimba ulitakiwa kum monitor sana sana yule sio binadamu ajifungue mwenyewe.

Ungekuwa naye kariba ungejua naye angekuonesha kuwa sasa anataka kujifungua msaidie lakini ukamuacha.ndama mwenyewe anazaliwa mkubwa sometime kichwa kinakwama ndani juu wakati mikono imetokeza anasukumizaje?

Next time kuwa kariba na wakipata mimba
 
Sikujua hii ya ng'ombe kusaidiwa, au kunyonywa pua, maana mtaalamu mmoja aliniambia sio wote wanahitaji kusaidiwa, juzi usiku a.k.a Sabrina ikiwa ni mimba ya kwanza kwake akajifungua usiku, hatukusikia kelele zozote, only in the morning tukakuta ndama hatunaye. She was devastated to say the least.
Unamnyonya pua ndama mkuu vyote vilivyopo usoni punde ndama anapotoka otherwise anakufa
 
Nimekumbuka mbali sana. Bibi yangu alikuwa mfugaji, ng’ombe akitaka kuzaa sijui alikuwa anajuaje anaamka (walikuwa wanazaa usiku) anaenda kumsaidia asubuhi tunakutana na ndama tu.
Mazoea
Aliwapenda mifugo wake nao wakampenda pia
Walitengeneza bond
Kuna namna anajua lakini ng'ombe akikaribia kujifungua unaona njia [mbususu] inakuwa imelegea na kuwa loose sana na maji maji fulani yanakuwa nje nje .
Hapo inabidi um monitor sana soon anajifungua
 
Wakuu
Tumekuwa tukifuga sana wanyama majumbani mwetu kwa miaka mingi hasa jamii za kiafrika.
Ingawaje tumekuwa tukiwatendea unyama uhuni wanyama tuwafugao.

Hapa nitaeleza kwa ufupi niliyoyajua na kuyaona kwa wanyama wa nyumbani hasa wafugwao na tabia zao ambazo ni very rare kuziona ..!

PUNDA.
Kwanza huyu hafugwi. Ndiyo HAFUGIKI. Why? Twende taratibu.
Panda amekuwa akifugwa kwa muda mrefu sana na binadamu
Akitumika kwa shughuli mbalimbali kama kulima.na kubeba mizigo mbalimbali.

Ingawaje kuna tabia zake ambazo ni rare sana kuziona utazijua tu punde ukimtendea vizuri yaani usiwe mkatili kwake.

Kwanza ana akili kuliko ng'ombe na wanyama wengine

Kuna kipindi wakati nipo mdogo kijijini kwetu Punda wetu baada ya kuona kazi nyingi sana mtindo mmoja na viboko vingi sana
Akaona bhana eeh! Chakufia nini? Akasepa zake kama miezi miwili hatumuoni.

Kumbe alikuwa kaenda tu nyumba nyengine usiku karuka zizi kaingia kukaa na ng'ombe katulia!
Mwenye mifugo kaamka asubuhi wala hajauliza sanaaa. Kampa chakula kidogo then kamuacha maana anajua wazi kabisa ukimpa kazi nyingi huyo punda anasepa zakeee..!

Baada ya miezi miwili usiku tena punda yule akarudi maskani kwa mtindo ule ule wa kuruka zizi asubuhi mnamkuta katulia zake ...!

Alipokuwa na ujauzito tulitegemea atazaa tu vizuri guess what??
Tuliona tu punda karudi kutokea porini hana tumbo kubwa tena na hana mtoto! Kamuacha wapi??

Ikabidi wazee wamzunguke na kuanza kumtandika viboko mfululizo mpaka punda yule alipoenda kuonesha alipomuacha mtoto ambapo tungechelewa tungekufa kajifia zake.

Najua unajua au hujui lakini punda anakula sana ukoko ukitaka ahamie kwako mazima mpe kila siku!

Next time nilipokuwa nimekaa tu kariba na zizi nikaona punda wetu mwengine aliyekuwa na mimba , anahangaika sana yaani hatulii !

Ukweli mimi yule punda alinipenda sana na hata nikiwa nimetulia alikuwa akinifuata na kuanza kusugua shingo yake miguuni mwangu , it was my best friend..!

Akanifuata mbio mbio then anageuka ananionesha mbususu yake, nikajua moja moja kwa huyu punda anataka kusaidiwa kujifungua na mimi bwana mdogo sikujua how to do it, ikabidi niwaite wajuzi waje kumsaidia mtoto atoke.. kwa kweli nilishuhudia namna wanyama wakizaa ni tabu tupu wanapata..!

Unatakiwa ujue kuwa punda ni mchungaji mzuri wa mifugo hasa ng'ombe na mbuzi, anaongoza njia na kuwaelekeza pa kupita mifugo sababu anakariri sana njia.

Pia anafukuza sana wanyama pori hasa fisi wanaokamata mbuzi [shughuli yake wanaijua vizuri]

NG'OMBE..

Huyu ni mnyama ambaye tuseme anashika nafasi ya pili kwa kuchinjwa akiongozwa na nguruwe!

Ng'ombe ni mnyama ambaye yuko so friendly na binadamu.
Iwapo tu ukimpenda na kumjali sio kila mara viboko noo

Kwa wasukuma.ni kawaida kukuta ng'ombe mmoja kavunjika pembe kwa viboko

Ng'ombe hawezi kujifungua mwenyewe au akiweza atazaa kwa tabu sana au ndama kufa!

Kama akikuozea sana atakufuata then atakeukia kukuonesha "bwana eeh mwanangu anataka kutoka nisaidie" then utatakiwa kumsaidia kumvuta ndama atoke [hili nimeshuhudia personal]

Watu wa dar kuleni nyama tu hivi hivi tu lakini mngejua namna wafugaji wanavyopata tabu.

Ndama anapotoka inatakiwa mmoja anyonye haraka kwenye pua'mdomo' maskio ili ndama asife otherwise mtampoteza..!

Unajua nini kuhusu wanyama?
Punda huwa alimi Mraba mpya ata siku Moja ipo ivi ukiwa unamlimisha punda utakiwa kuongeza eno lingene maana akiona anakaribia kumaliza huwa anaongeza kasi ya kuvuta lkn ukijaribu kumpeleka kwenye eneo lingine huwa analala chini apo ata upige vipi asimami
 
Punda huwa alimi Mraba mpya ata siku Moja ipo ivi ukiwa unamlimisha punda utakiwa kuongeza eno lingene maana akiona anakaribia kumaliza huwa anaongeza kasi ya kuvuta lkn ukijaribu kumpeleka kwenye eneo lingine huwa analala chini apo ata upige vipi asimami
Kwa kiasi ukweli kwa kiasi umeongeza chumvi mkuu
Punda anafanya kazi ukimlisha vizuri ana nguvu lakini kiusalia ni mvivu sana

Akilala utachapa sana ndiyo haamki lakini ukichukua majani makavu muwekee mgongoni yawashe moto anaamka fasta then hapo ndio atalima fasta fasta amalize kumbuka ana akili sana
 
Kwa kiasi ukweli kwa kiasi umeongeza chumvi mkuu
Punda anafanya kazi ukimlisha vizuri ana nguvu lakini kiusalia ni mvivu sana

Akilala utachapa sana ndiyo haamki lakini ukichukua majani makavu muwekee mgongoni yawashe moto anaamka fasta then hapo ndio atalima fasta fasta amalize kumbuka ana akili sana
Hapana Mkuu nipo sahihi Mimi nipo Singida natumia punda kulima na kubebea Mkaa ipo ivi punda akiiona nakaribia kufika au kumaliza kazi huwa anaongeza kasi ya kufanya kazi au kutembea jaribu kuchunguza icho kitu Mkuu
 
FB_IMG_17041073531650984.jpg
 
Kuku mimi sifugi hawana ishu
Hawawezi kustahimili mazingira magumu
Wepesi sana kushikwa na magonjwa kama mdonde
Wakinyeshewa tu na maji sana hata kufa anakufa ..!
Siwezi kuhimili hiyo pressure
Kuku inabidi uwe na banda zuri na ujue aina ya kuku unayotaka kufuga wanahitaji mazingira ya namna gani.
Ukiweza kuwazingatia chanjo wala hawasumbui. Pia hakikisha hawanyeshewi watapata mafua
 
Mazoea
Aliwapenda mifugo wake nao wakampenda pia
Walitengeneza bond
Kuna namna anajua lakini ng'ombe akikaribia kujifungua unaona njia [mbususu] inakuwa imelegea na kuwa loose sana na maji maji fulani yanakuwa nje nje .
Hapo inabidi um monitor sana soon anajifungua
Na akitaka kupandwa mbususu inabadilika pia😂😂. Ila Mungu huyu.
 
Back
Top Bottom