lisbon eliado tibeliado
Member
- Jun 7, 2020
- 40
- 10
Habari za wakati huu ndugu zangu,naombeni hints za mbinu za kuweza kwanza kupata hamu ya kujisomea,pia kujisomea sana na kwa muda mrefu mno, natamani nisome hata 24hrs/7 ila tatizo kubwa ni usingizi na najikuta nakosa kabisa hamu ya kujisomea baada ya kutoka vipindi.
Mimi ni mwanafunzi wa diploma in tropical animal health and productions mwaka wa kwanza,semester iliyopita nilikuwa na GPA ya 4.1 nina mpango wa kufanya vizuri zaidi semester hii ila najikuta napoteza kabisa studying appetite ukicompare na ilivyokuwa semester ya kwanza.
NB;sababu ya kutokusoma sana semester hii kusihusishwe na matokeo ya semester iliyopita,kiukweli sijaridhika kabisa maana nishafeli sana level zilizopita kwa hiyo nataka nifanye vema sana level hii ya diploma.
Msaada tafadhali🙏
Mimi ni mwanafunzi wa diploma in tropical animal health and productions mwaka wa kwanza,semester iliyopita nilikuwa na GPA ya 4.1 nina mpango wa kufanya vizuri zaidi semester hii ila najikuta napoteza kabisa studying appetite ukicompare na ilivyokuwa semester ya kwanza.
NB;sababu ya kutokusoma sana semester hii kusihusishwe na matokeo ya semester iliyopita,kiukweli sijaridhika kabisa maana nishafeli sana level zilizopita kwa hiyo nataka nifanye vema sana level hii ya diploma.
Msaada tafadhali🙏