Msaada juu ya kaka yangu, nifanyeje?

Msaada juu ya kaka yangu, nifanyeje?

Kama ni kwako afu unaruhusu huo uchafu Dada pole sana, ila timua ukiweza timua woteee una Lea yai au
 
Wala usihofu, hiyo tabia ya kuwabadili wanawake mwisho wake ni ukimwi tuu na ataacha sio mbali. Pili mwambie aondoke akapange chumba na hilo jimama, atakaaje kwa shemeji kubwa zimaaa?
 
Mi nimeolewa miaka miwili iliopita lakini kutokana kutafta maisha mme wangu anaishi nchi za nje kutafta maisha nakweli mungu mwena tunaendelea vyema pamoja kwamba hayuko hapa.

Alimchukuaga kakaangu kamtaftia kazi huko kakaangu kutokana natabia yake nakujingiza katika kazi flani akawa deported

Kutokana kwamba nimtu wastarehe sana hela aliokua nayo ilivyoisha tukakubalina pamoja na mme wangu aje tuishi pamoja hapa Arusha maana hakuna watu wengi sana nyumbani.
Sasa kilichonifanya niandike hii post kakaangu anabadilisha wasichana mpaka naogopa kila siku lazima alete mwanamke napia alishawahi kumleta sister hadi.

Kwaupande wangu naumia jinsi anavyo chezea watoto wawatu wengine wanakua namatumaini kwamba atawaoa kumbe hana huu mpango. Ambao tumezoweana kwa haraka wananipigia cm wakilia juu yake wala hata yy hana habari
Namweshim sana maana he is over 35 kwahyo amenizidi ka miaka 10. Natafta jinsi yakuongea nae nashindwa
Naomba mnisaidie nifanyeje aweze kuwa na msichana moja tu basi hata wawili sio kukutana kwenye corridor na sura mpya kila cku.

Lakini pia tangu j. Mosi iliopita alileta mwanamke moja nimkubwa kama mamayetu kama 45-50 alafu cjawahi kuona akika na mwanamke mda mrefu hivo amejichubua vibaya sema mstarabu alafu anjituma sana jikoni. Pili huyu mama msafi sana pamoja kwamba ni mnene ila anajitahidi kazi hapa napale Sasa naona kakaangu kafika kwamara yakwanza naona akitoka kazini kuwahi nyumbani kumchukua bibie nakwenda Mjini kupooza koo. Sina shida nahuyu mama sema mamaangu mwezi wa10 anakuja nyumbani nahuyu mama naona ndo kafika hadi naona anazungmzia kuweka banda lakuku.

Ebu naomba mnishauri jinsi yakumwambia either aondokena huyu mamaake mlezi maana yetu nae sio habba atokubali kwa jinsi navyo mjua mama pia ana pressure, au huyu mama aondoke mwenyewe maana kaka hata hajigusi wala kumhofia maza. Nifanyeje wakuu
 
shida kubwa ni huyo kaka yako over 35 kuwa anaishi kwako hayo mengine ni yake usimsaidie kuyawaza
 
Anatumika tu (Karma)kukamilisha malipo fulani kwa waja wa hapa duniani, akimaliza kazi yake atatulia
 
Sasa mwanzo ulitaka awe na mmoja, mwenzio amempata huyo mmama shukuru tu mungu katulizwa na kaacha kuchezea wadada wengine
 
Mi nimeolewa miaka miwili iliopita lakini kutokana kutafta maisha mme wangu anaishi nchi za nje kutafta maisha nakweli mungu mwena tunaendelea vyema pamoja kwamba hayuko hapa.

Alimchukuaga kakaangu kamtaftia kazi huko kakaangu kutokana natabia yake nakujingiza katika kazi flani akawa deported

Kutokana kwamba nimtu wastarehe sana hela aliokua nayo ilivyoisha tukakubalina pamoja na mme wangu aje tuishi pamoja hapa Arusha maana hakuna watu wengi sana nyumbani.
Sasa kilichonifanya niandike hii post kakaangu anabadilisha wasichana mpaka naogopa kila siku lazima alete mwanamke napia alishawahi kumleta sister hadi.

Kwaupande wangu naumia jinsi anavyo chezea watoto wawatu wengine wanakua namatumaini kwamba atawaoa kumbe hana huu mpango. Ambao tumezoweana kwa haraka wananipigia cm wakilia juu yake wala hata yy hana habari
Namweshim sana maana he is over 35 kwahyo amenizidi ka miaka 10. Natafta jinsi yakuongea nae nashindwa
Naomba mnisaidie nifanyeje aweze kuwa na msichana moja tu basi hata wawili sio kukutana kwenye corridor na sura mpya kila cku.

Lakini pia tangu j. Mosi iliopita alileta mwanamke moja nimkubwa kama mamayetu kama 45-50 alafu cjawahi kuona akika na mwanamke mda mrefu hivo amejichubua vibaya sema mstarabu alafu anjituma sana jikoni. Pili huyu mama msafi sana pamoja kwamba ni mnene ila anajitahidi kazi hapa napale Sasa naona kakaangu kafika kwamara yakwanza naona akitoka kazini kuwahi nyumbani kumchukua bibie nakwenda Mjini kupooza koo. Sina shida nahuyu mama sema mamaangu mwezi wa10 anakuja nyumbani nahuyu mama naona ndo kafika hadi naona anazungmzia kuweka banda lakuku.

Ebu naomba mnishauri jinsi yakumwambia either aondokena huyu mamaake mlezi maana yetu nae sio habba atokubali kwa jinsi navyo mjua mama pia ana pressure, au huyu mama aondoke mwenyewe maana kaka hata hajigusi wala kumhofia maza. Nifanyeje wakuu
Huyo kaka yako kweli mtu mzima ila akili ya kitoto na hana aibu.
Anawezaje fanya hayo hapo kwako yani kwa shemeji yake mtu mwenye umri mkubwa hivyo.
Mwambie akajitegemee unamlea kwani mtoto na inaelekea ana kipato chake tayari.
Kuna mwanamke alikuwa ananitaka kitambo.
Mimi nilikuwa kwenye early 20s na yeye lwenye 40s.
Kuna rafiki yangu Mkameruni naye alikuwa kwenye 40s aliniambia nisijaribu kujihusisha naye maana nikijaribu kuna jambo mija kati ya haya litatokea
1. Nitaanza kuwa napenda wamama sitopenda tena wanawake ninaoringana nao umri.
2. Nitakuwa kila ninachopata ninampelekea yeye japo mwanzo alikuwa ananiletea mimi vijizawadi na pesa ila nikikolea game litachange.
 
Uzi ujao utakuwa ni wa kumfuma huyo mama akiwawekea sumu kwa msosi, si umesema anajituma sana jikoni ee!?, stay tuned dada angu.
 
Mwambie akapange nyumba si Amekuwa na mji wake? Unaleaje mtu na mke? We nawe unatatizo.
 
lamsingi kaa na mume wako umwambie ajisogeze kwanini anakua tegemezi ajioni kua amekua ...
.
 
Back
Top Bottom