Msaada Jinsi ya kumpiga demu wangu kibuti.

Msaada Jinsi ya kumpiga demu wangu kibuti.

sikuzote kama ni mdada anataka uckumbuke uliko toka anakupa mambo mengi adimu kwako michezo mpaka ya judo! ambako uliko toka hakika anaamini! hujawahi na ukifikiria ni kweli hujawahi pata! lazima unate! hembu geuzia kwako demu wako anafanya ivyo utafanya nn? we umejisahau bro!
 
Duh wewe ni noma, yaani unamtengenezea kosa mtu asienakosa ili umwache, we mkaka una matatizo sana sema hujitambui.mwezi mmoja ushakuwa na mwingine hadi umetambulishwa? bora dada wa watu akajua mapema tabia zako chafu usije mharibia maisha yake, pole sana kwa matatizo yanayokukabili. utajibeba.
 
ha ha ha ha umenifurahisha sana shark,hivi tangu unatongoza,ukakubaliwa,ukala chakula na kukiona kitamu,ukafikia hadi kwenda mbele zaidi kwa kukubali hadi kutambulishwa ukweni bado tu ulikuwa una mawazo na mwanamke wako wa zamani?mbona inaonekana matendo yako yanaonesha kuwa ulikwishamsahau na kuamua kuwa na huyo ambaye unaye sasa?

Kuna jambo zito limetokea na hujataka kutuambia maana haiwezekani ukawa na mahusiano na mwanamke mwingine kiasi kwamba ukatambulishwa hadi kwao leo useme humtaki tena na unataka kutoka.

Wanaume wenzako tukipatwa na masaibu kama hayo hatujengi kibanda kama ulivyofanya wewe na hata siku moja kama una malengo na mwanamke wako basi fanya uwezalo usije penda zaidi nje kuliko unavyompenda mwenzi wako kwani kuna matatizo makubwa na ndio kama hayo yaliyokutokea,bahati nzuri kwako kutoka huwezi na umeshikwa pabaya mkuu hata ukimtegeshea bado kakushika na umekwishakuwa mtumwa wa mapenzi kwake.



mkuu joseph receive my appriciations,,
for your words of wisdom,,
 
Wadau,
Nina demu mmoja ambae tunapendana sana kwakweli, na nlipanga awe aje my wife wangu hapo baadae. Demu huyu kwa sasa amesafiri hivyo nimebaki mpweke karibia mwezi mzima.

Sasa nikajikuta katika kutafuta mapozeo, nikanasa mahali ambapo kweli nafikiri itakua ngumu kujinasua. Yaani kwa kipindi kifupi tu hapa nliponaswa nishatambulishwa mpaka kwa wakwe zangu, wakiwemo ndugu, jamaa na marafiki.

Kwakua nimeacha u-playboy, najiona kama siwezi kua nao wote wawili, aliesafiri nampenda sana, but najihis usaliti kwake hivyo sistahili kua nae. Najua ataumia, but sina jinsi.

Sasa kumwambia tuachane ndo sijui pa kuanzia. Nafikiria nimtegeshee kosa ili akijichanganya tu nipate sababu but roho inanisuta. Wadau msaada plz

refer above red text: yani tayari mpenzi mpya na tayari umempata mpya na kutamburishwa kwengine; time limit, true story or wrong story
 
usiache kupenda pale unapopata unapotamani, what goes around.......................................
  • :majani7:
.............
 
Nipe Namba Ya Wa Zamani!!..Watu Tunatapatapa Huku, Kumbe Wengine Mnakamata Dabo?
Naomba Namba Ili Nikunasae Dhidi Ya Huyo King'ang'anizi!
 
Wadau ahsanteni sana,

Ushauri nimeupata, na naufanyia kazi. Kwa kifupi ngoja nigeuze kibao kwa wasasa, naombeni mbinu ya kumchenga basi
 
Huna msimamo na hujui unachokosa ktk mahusiano. Mimi si mtabiri, ila naona hata huyu mpya utamtafutia sababu za kumuacha mda si mrefu. Tulizana bana.
 
Sasa wacha nikusaidie ndugu, nipm details za demu wako na zakwako full names, phones, domicile, mnapenda kutemebelea wapi, unafanya kazi au bado unasoma then this will be sorted smoothly.
 
Mkuu umechemsha kwa hili onyesha uume wako.

He, Makubwa!!!!

"Uume" wangu hapa unahusikaje bibie MadameX??
Nimuonyeshe nani sasa huu "Uume"??
Akishauona ndio itakuaje??
 
hey brooo unatakiwa kuwa na msimamo na maamuzi yako apart frm zat itakucost
:confused2:
 
unaacha mtu anaekufaa na unaenda na alie kudhibiti simply sababu huwezi jinasua
 
Back
Top Bottom