Msaada Jinsi ya kumpiga demu wangu kibuti.

Msaada Jinsi ya kumpiga demu wangu kibuti.

Hivi kwa nini wanaume mlio wengi haswa wa vyuoni huwa mnaona kama wanawake ni vyombo vya kuchezea tu "toys"...yaani mwezi mmoja tu tayari umeshafanya ufirauni utakaom-cost mwenzako kwa sijui muda gani ujao! khaaa
 
Wadau,
Nina demu mmoja ambae tunapendana sana kwakweli, na nlipanga awe aje my wife wangu hapo baadae. Demu huyu kwa sasa amesafiri hivyo nimebaki mpweke karibia mwezi mzima.

Sasa nikajikuta katika kutafuta mapozeo, nikanasa mahali ambapo kweli nafikiri itakua ngumu kujinasua. Yaani kwa kipindi kifupi tu hapa nliponaswa nishatambulishwa mpaka kwa wakwe zangu, wakiwemo ndugu, jamaa na marafiki.

Kwakua nimeacha u-playboy, najiona kama siwezi kua nao wote wawili, aliesafiri nampenda sana, but najihis usaliti kwake hivyo sistahili kua nae. Najua ataumia, but sina jinsi.

Sasa kumwambia tuachane ndo sijui pa kuanzia. Nafikiria nimtegeshee kosa ili akijichanganya tu nipate sababu but roho inanisuta. Wadau msaada plz

utamwachaje mtu ndani ya mwezi mmoja?
imekuwaje mwezi hujaisha umeshatambulishwa?
unataka kumpotezea mtoto wa watu muda,
siyo ishu,
me sijapenda unachokifanya.
 
Hivi kwa nini wanaume mlio wengi haswa wa vyuoni huwa mnaona kama wanawake ni vyombo vya kuchezea tu "toys"...yaani mwezi mmoja tu tayari umeshafanya ufirauni utakaom-cost mwenzako kwa sijui muda gani ujao! khaaa
Naomba ujifunze kutofautisha kati ya Mvulana na Mwanaume na tofautisha pia kati ya Mwanamume na mtoto wa kiume.

Hakuna Mwanamume anayeweza kuja hapa na hoja nyepesi na za kitoto kama hizi, haya ni matatizo ya Wavulana, hawajielewi, hawajitambui na wala hawajui wanahitaji nini.
 
Wadau,
Nina demu mmoja ambae tunapendana sana kwakweli, na nlipanga awe aje my wife wangu hapo baadae. Demu huyu kwa sasa amesafiri hivyo nimebaki mpweke karibia mwezi mzima.

Sasa nikajikuta katika kutafuta mapozeo, nikanasa mahali ambapo kweli nafikiri itakua ngumu kujinasua. Yaani kwa kipindi kifupi tu hapa nliponaswa nishatambulishwa mpaka kwa wakwe zangu, wakiwemo ndugu, jamaa na marafiki.

Kwakua nimeacha u-playboy, najiona kama siwezi kua nao wote wawili, aliesafiri nampenda sana, but najihis usaliti kwake hivyo sistahili kua nae. Najua ataumia, but sina jinsi.

Sasa kumwambia tuachane ndo sijui pa kuanzia. Nafikiria nimtegeshee kosa ili akijichanganya tu nipate sababu but roho inanisuta. Wadau msaada plz

Kwa nini unataka kumuumiza mwenzio?
Hebu simama kwenye miguu yake uumizwe wewe ilhali huna kosa lolote?

Tuwe na huruma jamani, maumivu ya kuachwa na kutendwa kimapenzi hasa unapokuwa innocent ni magmu mno, hayamithiliki. Jitafakari upya kama kweli unachotaka kukifanya ni sahihi.
 
Acha umalaya kijana, mwez mmoja 2 unataka kuhamia kabisa?? Siku na yee akisafir utatafuta mwingine tena?? Kwa tabia hiyo si utamaliza mtaa na ngoma juu?? Baki/tulia na unaempenda, huyo mpya mwambie ukwel una uhusiano na m2 mwingine toka kitambo. Then ukome tabia za kizaman, Familia na taifa linakuhitaji sana.!
 
Naomba ujifunze kutofautisha kati ya Mvulana na Mwanaume na tofautisha pia kati ya Mwanamume na mtoto wa kiume.

Hakuna Mwanamume anayeweza kuja hapa na hoja nyepesi na za kitoto kama hizi, haya ni matatizo ya Wavulana, hawajielewi, hawajitambui na wala hawajui wanahitaji nini.

na kweli mkuu, yaani mtu anafanya jambo la kipuuzi halafu anaona kabisa moyo unamsuta na bado anatuletea upuuzi wake hapa eti tumshauri...mi nilidhani atakuwa msikitini au kanisani anatubu sasa hivi...
 
Asikwambie mtu demu mpya mtamu!! Piga chini huyo aliyeenda mwezi mzima safarini...Usikute na yeye anakusaliti huko.
 
Asikwambie mtu demu mpya mtamu!! Piga chini huyo aliyeenda mwezi mzima safarini...Usikute na yeye anakusaliti huko.
Mkuu KK3,
Nahisi nimelogwa aisee. Kila nkikukuruka nijinasue hola.

Watu wanasema tu, hayajawakuta tu. Hii ya sasa ni zaid ya Temeke kwa kweli.
 
Wadau,
Nina demu mmoja ambae tunapendana sana kwakweli, na nlipanga awe aje my wife wangu hapo baadae. Demu huyu kwa sasa amesafiri hivyo nimebaki mpweke karibia mwezi mzima.

Sasa nikajikuta katika kutafuta mapozeo, nikanasa mahali ambapo kweli nafikiri itakua ngumu kujinasua. Yaani kwa kipindi kifupi tu hapa nliponaswa nishatambulishwa mpaka kwa wakwe zangu, wakiwemo ndugu, jamaa na marafiki.

Kwakua nimeacha u-playboy, najiona kama siwezi kua nao wote wawili, aliesafiri nampenda sana, but najihis usaliti kwake hivyo sistahili kua nae. Najua ataumia, but sina jinsi.

Sasa kumwambia tuachane ndo sijui pa kuanzia. Nafikiria nimtegeshee kosa ili akijichanganya tu nipate sababu but roho inanisuta. Wadau msaada plz

there are only two ways to terminate a relationship.
  1. Gradual termination-unatafuta sababu za kuachana kwa amani
  2. Abrupt termination-huna sababu bali unasema "Mama naona uhusiano wetu umefika mwisho-naomba tusijuane".

Kwa kuwa nakuoa wewe Shark ni baradhuli, mjinga, mhuni na usiye na busara; tumia njia ya pili. Kwa hakika nakuhakikishia italipa haraka kwani:
  • Ataamini wewe ni kidume cha mbegu, umempasulia ukweli wako bila kumumunya maneno
  • Kwa mwezi mmoja tu umetambulishwa kwa ndugu wote ilhali huijui tabia yake.
  • Huna msimamo kwani kila ukiona kichaka unataka unye kisa, choo kiko mbali.

Bazazi ana kuomba radhi kwa ukweli huo.


Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
mh! weewe unaonekana hata ukija kuoa mambo yako hayatabadilika na itakuwa worse! jiangalie sana kaka maisha haya yamebadilika na jaribu kuwa na msimamo katika maisha ya mahusiano yako. Kumbuka utamuumiza sana huyo mpenzi wako aliye mbali akija kujua unamuacha kwa sababu ya huyo aliyekukoleza. Machozi yake hayatapotea bure ukae ukijua, na wanasema what goes around, comes back around...yatakukuta na wewe kwa huyo aliyekukoleza itakuwa ndio ile umekumbuka shuka wakati kushakucha...so fikiria sana kabla hujaamua chochote, na zaidi ya yote mshirikishe sana Mungu wako akuongoze maana hali yako si shwari!!!!!!
 
Wadau,
Nina demu mmoja ambae tunapendana sana kwakweli, na nlipanga awe aje my wife wangu hapo baadae. Demu huyu kwa sasa amesafiri hivyo nimebaki mpweke karibia mwezi mzima.

Sasa nikajikuta katika kutafuta mapozeo, nikanasa mahali ambapo kweli nafikiri itakua ngumu kujinasua. Yaani kwa kipindi kifupi tu hapa nliponaswa nishatambulishwa mpaka kwa wakwe zangu, wakiwemo ndugu, jamaa na marafiki.

Kwakua nimeacha u-playboy, najiona kama siwezi kua nao wote wawili, aliesafiri nampenda sana, but najihis usaliti kwake hivyo sistahili kua nae. Najua ataumia, but sina jinsi.

Sasa kumwambia tuachane ndo sijui pa kuanzia. Nafikiria nimtegeshee kosa ili akijichanganya tu nipate sababu but roho inanisuta. Wadau msaada plz

kuwa na huyo mwingine tiyari umeshafanya maamuzi sasa sijui unataka sisi tukushauri nini tena?wewe endelea na roho yako hiyo hiyo ya usaliti.
 
Piga chini wa sasa,msubiri mtu wako arudi,inaamanisha hata kama ungekuwa umeoa ungemuacha wife wako kisa umeshikwa na nje kapu?
 
Piga chini wa sasa,msubiri mtu wako arudi,inaamanisha hata kama ungekuwa umeoa ungemuacha wife wako kisa umeshikwa na nje kapu?
 
kama ungekuwa unataka namna ya kumwacha huyo mpya,ningekufundisha
 
kuwa na huyo mwingine tiyari umeshafanya maamuzi sasa sijui unataka sisi tukushauri nini tena?wewe endelea na roho yako hiyo hiyo ya usaliti.

labda atege pasiwed,naye atasalitiwa tu
 
Piga chini wa sasa,msubiri mtu wako arudi,inaamanisha hata kama ungekuwa umeoa ungemuacha wife wako kisa umeshikwa na nje kapu?
 
hao wote bado ni marafiki fanya maombi na kufunga unaonyeshwa mke mwema
 
Back
Top Bottom