Kiongozi
Hilo ni bomu la kujitoa muhanga, mke wa mtu ni hatari sana. Tena kuna wanawake siku hizi wametawala waume zao usipime. Wanaume wanaendeshwa kwa remote. Yaweza kuta mwanaume hajui kinachoendelea yeye anadanganywa ni issue nyingine kabisa.
Kuna kama hilo limemtokea jamaa yangu mmoja, mke wa mtu kampenda akamtongoza na ukicheki binti analipa.. Ila jamaa yake kamweka kiganjani.
Jamaa kampakua weee kanogewa, alipokuja kushtuka mwenye mali akamvukia maji akaenda Pemba akamletea popobawa. Jamaa alikonda kama ana kansa ya moyo, kwa kuto kulala kila akisinzia jamaa wanashughulika na mtandao pendwa 0713. Nakuambia jamaa mpaka alipoenda kuomba msamaha na kuvushwa maji kwenda Pemba tena ndio mchezzo ukastop. so nilijifunza sana.
OGOPA MKE WA MTU,NI SUMU KWELI KWELI USIDANGANYWE NA PESA.