Msaada: Hawa mtu na mkewe siwaelewi kabisa

Msaada: Hawa mtu na mkewe siwaelewi kabisa

Shwain kabisa...... we pumba kabisa..... unataka kumkanyaga mke wa mwenzio kama unakanyaga baiskeli....

Sheikh ushamzimikia huyo na kifuatacho ITV ni wewe kubanduliwa Big G uliyokalia
Mkuu,
Ningekua nimeshakata shauri la kumkanyaga nisingekuja hapa kuomba ushauri. By the way yeye mke wa mtu ndio anaetaka kukanyagwa na mimi!!
 
Hii ni ya ukweli BADILI TABIA,
Hapa kuna mawili, either wako plan moja wote wawili au Mume ni Zoba hajui plan za mkewe. Lakini huyu mdada anaweza kufikiri kumchuna ngozi mtu ambae alikua nae primary??

Mpendwa watu wanawatoa hadi watoto wao wa kuwazaa wauwawe kisa pesa, sembuse wewe uliyesoma naye primary. Em jaribu kumuuliza huyo mumewe kama anajua kinachoendelea
 
Last edited by a moderator:
Mpendwa watu wanawatoa hadi watoto wao wa kuwazaa wauwawe kisa pesa, sembuse wewe uliyesoma naye primary. Em jaribu kumuuliza huyo mumewe kama anajua kinachoendelea
Nataka nimchukue ndugu au rafiki yangu mmoja nimhadithie hii issue, pili nichunguze wanakaa wapi hawa watu sna nimuonyeshe huyo ndugu yangu, Kisha ndio nifikirie kama naweza kukutana na huyu mdada huku jamaa yangu akiwa anafuatilia kimya kimya.
 
Kwel amuulize huyo mumewe kama anajua yy na mke nini kinachoendelea au kutaka kutokea
Hicho ndo cha muhimu. Me nahisi huyo mumewe anajua kinachoendelea. Mume gani ambaye atapewa ujumbe na mkewe uende kwa mwanaume mwingine kila siku na hata asiufungue? Kuna kitu wamekipanga juu yake
 
Nataka nimchukue ndugu au rafiki yangu mmoja nimhadithie hii issue, pili nichunguze wanakaa wapi hawa watu sna nimuonyeshe huyo ndugu yangu, Kisha ndio nifikirie kama naweza kukutana na huyu mdada huku jamaa yangu akiwa anafuatilia kimya kimya.
Kwa kweli fanya hivyo, usije ukaingia kichwa kichwa kuonana nao. watakutenda vibaya kama sio kukubambikizia kitu
 
Mawasiliano watakata sahv kwenye huo mtandao wetu pendwa 0714....,take care!
 
Ungeuliza kuwa wana watoto?
nilishawahi kuweka kisa humu cha Ujerumani zamani
kuna alimlipa tu atembee na mkewe ili wapate watoto
kumbe alielipwa nae hawezi pia...na yeye kabambikiwa watoto na mkewe
walienda hadi mahakamani
mwenyewe nimehisi kitui kama hicho-nazani angeuliza bint kaolewa lini na kama wana watoto au la then ajaribu ku.connect dots hapo-inawezekana wameoana lakini hawana watoto na mwanaume ndo mwenye shida so walishafanya maridhiano kivyao ikawa hajapatikana wa accomplish hio deal-so far kwa kuwa binti alikuwa na feeling na Shark akapresent kwa mumewe akakubalika ili waokoe ndoa-ILA HUU NI MTIZAMO WANGU TU-INAWEZA KUWA HUO NI MTEGO.cha muhimu Shark akikupangia hoteli kubali lakini mkiwa njiani badili nenda kiwanja unachotaka wewe na kataa mechi siku ya kwanza-na mpeleke mazingira ya kawaida ili umsome kwanza
 
Last edited by a moderator:
Shark Mbegu zako kwa $100 !! hao wanatafuta mwenye alama fulani (mganga kawatuma)!!
Wajua kujirusha na mke/mme wa mtu sio mbaya, but why mawasiliano yapitie kwa mumewe? Nina uhakika mumewe hua hafunguagi bahasha za mkewe?
Kuna mtu kaniambia sheria inasema mtu akifumaniwa inabidi alipe hela kiasi fulani, haiwezi kua napangiwa kufumaniwa ili nilipe fidia??
 
Dah,mkuu achana nae,hizo jumbe anazokutumia pamoja na pesa zitunze,we endelea kumkwepa mpaka uone mwisho wake.
Jumbe za simu naweza kuzihifadhi, ila hela ukweli nimekula. Ikiwezekana kama ni hoteli nitampeleka hoteli za vichochoroni kwa bei rahisi, pia kubadili hoteli itakua ni salama zaidi.
 
katika hali ya kawaida, mwanaume huwez tumwa tumwa kwa mwanaume mwenzako tena kupeleka bahasha unless unajua kinachoendelea (au hata hisia)!
Kwa kifupi nina wasiwasi na huyo jamaa, possibly ni bwabwa
 
Achna nao kbsa, kuna mchezo wanataka kukuchezea. Tena usikute ht huyo m'mke analazimishwa na mumew akutumiage hivyo viujumbe, ili ajue km unamtaman mkewe au lah!! Ukiingia mkenge umekwishaaa!!
 
Huwezi jua ati.....

Duniani hapa usikiamini hata kivuli chako...



Hii ni ya ukweli BADILI TABIA,
Hapa kuna mawili, either wako plan moja wote wawili au Mume ni Zoba hajui plan za mkewe. Lakini huyu mdada anaweza kufikiri kumchuna ngozi mtu ambae alikua nae primary??
 
Last edited by a moderator:
Usiwe mjinga.... Akikupigia simu mwambie naamini unanipenda..... Ila mi nampenda zaid mume wako kuliko wew........ Umuone atajibu nn......
 
Back
Top Bottom