Msaada: Hawa mtu na mkewe siwaelewi kabisa

Msaada: Hawa mtu na mkewe siwaelewi kabisa

Shark mzima lakini, siku nyingi hatujaonana !

Safi tu mkuu wangu Malila,
Hatujaonana kweli toka last year kule Shungubweni. Mie nakusoma kila siku kwenye google group mail ya misitu yetu, na pole sana na majanga ya moto yaliyotokea shambani.
 
Last edited by a moderator:
wanataka threesome hao
Kama ndio basi inakula kwako, uzungu huo sina.

Nimejaribu kuwakwepa, hata leo mchana nimepiga deshi na nimetoa agizo kwa receptionist kua jamaa akija kuniulizia amwambie sipo.
 
Kama ndio basi inakula kwako, uzungu huo sina.

Nimejaribu kuwakwepa, hata leo mchana nimepiga deshi na nimetoa agizo kwa receptionist kua jamaa akija kuniulizia amwambie sipo.

mkuu mlupo unakuja wenyewe maliza kazi na siku y game wewe shika cmu na zima no mawasiliano then brake namnani au nje y mji.....ukishindwa nipe no nikusaidie kazi hiyo
 
Kuna viwili apo,either mke wake na jamaa wana ngoma ko wanasambaza au mme wake huyo x mate hafanyi kazi kule,yaan nguvu zishamwishia xo anafanya hvyo kumlidhisha mkewe
 
Au jifungue kiume waulize wakueleweshe,maake unaweza ukawafikilia ndivyo sivyo
 
Hii comment ni mpya na imenishtua sana, kwamba pengine hawana uhusiano na ni wapiga dili wote wawili. Nimewaza blackmail inataka kufanyika. But niliwaona wote pamoja kwenye Family Day ya ofisini kwa Jamaa.

Mkuu nimesoma hii habari and its like this:
Hao watu sidhani kama kuja kwako shida ni mtoto, ingekuwa wanatafuta mtoto huyo mwanamme na mkewe wasingekubali mwanamke abebe mimba ya mtu ambaye anafahamiana nae tena tangu primary, ni kwamba wangekuwa na wazo hilo, huyo mwanamke angesafiri tu kwenda mkoa mwingine na kupiga one night stand siku ambayo anajijua yuko danger and possibly angerudi na mimba bila hata yule mwanaume kufahamu.

Ila pia napatwa na mashaka kwamba huyo mwanamke anakupenda tu kikawaida na huyo mwanaume hajui nini kinaendelea, inawezekana mwanamke kamuambia mumewe kwamba aliomba umtafutie kazi either ofisini kwenu au ofisi nyingine nzuri, na yule mwanaume anajua kwamba mkewe anapofanyia kazi haridhiki na vile vile salary ni ndogo hivyo anajua kama ukimsaidia kupata kazi sehemu nyingine itakuwa jambo jema kwa mkewe. Sababu kama hii inaweza ikamfanya mwanaume hata akipewa bahasha na mke wake akuletee asiwaze hata kwamba itakuwa ni ishu ya mapenzi.

Cha kufanya kabla hujamuuliza huyo mwanaume kama anajua nini mkewe anamtuma kwako, muulize huyo mwanamke akikupigia simu, kama mume wake anaelewa nini juu ya kinachoendelea, baada ya hapo sasa unaweza ku confirm kwa mumewe kutokana na aina ya jibu utakalopewa.
 
Is this true...kama ni kweli wanataka kukutoa kafara aiseee usikubaliiii
 
Back
Top Bottom