FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,556
Ukiingia tu mkenge jamaa watafumua ile mtandao pendwa wa simu...take extra care!
Min kabang itahusika mkuu
Ukiingia tu mkenge jamaa watafumua ile mtandao pendwa wa simu...take extra care!
Mkuu kuhusu mtoto sijauliza. Ila siwaelewi hasa huyu jamaa. Saa zingine nikikutana nae lunch hua namkwepa nachukua take away. Nabaki najiuliza hivi haya mambo ni kweli ama naota. Nilifikiri kama hana uwezo wa kumpa mkewe mimba basi siko tayari kupoteza damu yangu bure
Tugawane hiyo dola mia nipe 50, mi nakuja nawanangu wawili tunakuwekea ulinzi mkali hata wa obama cha mtoto ukamgegede huyo dem,na mme wake akija kuleta soo tunamgegeda sisi sawa?
Ulinzi ili nikupe $50?? Ha ha ha.
Inawezekana (w)anachohitaji wala hakihitaji Ulinzi wa Mtu
Naweza nikakutana nae hapo na tukabadili kiwanja na simu ya mkewe nikaificha. Ila je ni kweli wako njama moja na mumewe? Au ye hajui anageukwa?
sasa we nae,unaniquote me kwani ndie nilieleta mada?magufuli anawachachafya sana huko site eeh?
Shwain kabisa...... we pumba kabisa..... unataka kumkanyaga mke wa mwenzio kama unakanyaga baiskeli....Naweza nikakutana nae hapo na tukabadili kiwanja na simu ya mkewe nikaificha. Ila je ni kweli wako njama moja na mumewe? Au ye hajui anageukwa?
Sio hivyo mkuu, Kispem kimoja in exchange with what? What might be the use of that kisperm kimoja? And how sure I am that sperm ndio inayohitajika hapa?
Tugawane hiyo dola mia nipe 50, mi nakuja nawanangu wawili tunakuwekea ulinzi mkali hata wa obama cha mtoto ukamgegede huyo dem,na mme wake akija kuleta soo tunamgegeda sisi sawa?
Kesho Tukaokoke Mkuu.Kweli dunian sio mahali salama tena.
Isee!!!Ungeuliza kuwa wana watoto?
nilishawahi kuweka kisa humu cha Ujerumani zamani
kuna alimlipa tu atembee na mkewe ili wapate watoto
kumbe alielipwa nae hawezi pia...na yeye kabambikiwa watoto na mkewe
walienda hadi mahakamani
Hii ni ya ukweli BADILI TABIA,Shark hii ni kiukweli ukweli kabisa sio chai?????
Yaani naitafakari siipatii picha.....
Labda wanataka kukuchuna ngozi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] !!!!!Tugawane hiyo dola mia nipe 50, mi nakuja nawanangu wawili tunakuwekea ulinzi mkali hata wa obama cha mtoto ukamgegede huyo dem,na mme wake akija kuleta soo tunamgegeda sisi sawa?
Sio kwamba mumewe ni Mume-bweg.e au anamuamini sana mkewe? Au nae ananiona mimi ndio bweg.e karibia naingia mkenge? Nimefikiria nimuulize huyu jamaa kama anaaelewa tunachozungushana na mkewe muda wote lakini roho inasita.