Msaada: Girlfriend wangu ka disco chuo

Msaada: Girlfriend wangu ka disco chuo

Najua mimi ndo nimesababisha kupata hayo matokeo mabaya chuoni coz alikuwa stressed sana na tabia zangu za ukorofi so sitaki kumdisapoint nataka afanye mambo mengine hasa biashara na naamin anaweza na pia ana asili ya kichaga
Nataka nimpe mtaji aanzishe biashara
Naomba mnipe uzoefu waungwana nimpe mtaji wa kiasi gani na afanye biashara gani kwa wakati huu tuliopo itakayomkeep busy ili asiwaze haya yaliyotokea leo.

Naomba michango yenu ya kimawazo wakuu najua hapa hapaharibiki kitu
Niwatakie jioni njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha adisco tu sasa kama wewe kila siku ni kumuomba papuchi badala ya kumsihi asome unategemea nini?
 
Hivi vitu mbona ni vya kukaa chini wenyewe na kupangilia mambo yenu

Hivi nikikuambia mpe bilion 1 akajenge hotel kubwa utampatia?
 
sasa unauliza umpe kiasi gani ili afanye biashara gani. Kwa nini msiulizane huko kuwa anataka kufanya nini ili mtengeneze mchanganuo ujue anatakiwa apewe kiasi gani. Naona wewe na demu wako wote mmekumbwa na disco la chuo akili zenu hazijielewi. Sijui unanielewa nachomaanisha?
 
sasa unauliza umpe kiasi gani ili afanye biashara gani. Kwa nini msiulizane huko kuwa anataka kufanya nini ili mtengeneze mchanganuo ujue anatakiwa apewe kiasi gani. Naona wewe na demu wako wote mmekumbwa na disco la chuo akili zenu hazijielewi. Sijui unanielewa nachomaanisha?
Shukrani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani mkuu kwa ushahuri uliotukuka
Naahidi kufanyia kazi mawazo na ushahuri wenu wote na nitaleta mrejesho hapa vyovyote itakavyokuwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ushauri Wako huo mkuu Mungu akubariki.. Nimesoma me wakaida nimeona unakitu kizuri ndani kama akiuchukua vizuri.. Ubarikiwe sana ndugu yangu
Heshima kwenu Wakuu.

Shukrani kwa kunitegea sikio. Barikiwa sana.
 
Mmmmh mimi nilikuwaga na boyfriend mkorofi mchaga yule, ila sijawahi kupata hata SUP

Anakusingizia tu, si angekuacha kama unampa stress hawez kusoma
 
Mmmh....makubwa haya! Mkuu kama hukuhitaji msaada wowote ulivokuwa ukimnyanyasa na kumpa stress binti wa watu basi nadhani hustahili kupewa msaada how to make things right.

As a hint: Muulize anatamani nini then umtekelezee kwa maana wewe ndiye umemharibia future yake. Shame on you!!
 
Muoe tu ndio mtaji wake wa maisha utakuwa. Au kama nini mpe mtaji afungue duka analotaka mwenyewe baada ya muda uje na mada humu "demu wangu nimempa mtaji wa biashara lakini anachepuka na jamaa" upewe ushauri mwengine
 
Sio kila mchaga afunguliwe duka. Mwambie aje na plan na mchanganuo wa biashara umpe mtaji. Ndio mkome kujitia wababe kwa wapenzi wenu.

Ha ha ha ha ha. Duh!!!mean while nae hana akili,ana disco kisa stress za mwanaume atiii mkorofi!!!!chaaaa!!!wonders can never end. Au unacho cha dhahabu kaka??
hahahahahahahhahaah (bold) hahahahahahah
 
Najua mimi ndo nimesababisha kupata hayo matokeo mabaya chuoni coz alikuwa stressed sana na tabia zangu za ukorofi so sitaki kumdisapoint nataka afanye mambo mengine hasa biashara na naamini anaweza na pia ana asili ya kichaga nataka nimpe mtaji aanzishe biashara.

Naomba mnipe uzoefu waungwana nimpe mtaji wa kiasi gani na afanye biashara gani kwa wakati huu tuliopo itakayomkeep busy ili asiwaze haya yaliyotokea leo.

Naomba michango yenu ya kimawazo wakuu najua hapa hapaharibiki kitu.

Niwatakie jioni njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nae huyo hafai
 
Ulimshauri vibaya wewe ni chanzo cha tatizo, ungempa moyo amalize kisha biashara baadae. Angemaliza na ukampa mtaji angekua na nyongeza ya mtaji kwenye upstairs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua mimi ndo nimesababisha kupata hayo matokeo mabaya chuoni coz alikuwa stressed sana na tabia zangu za ukorofi so sitaki kumdisapoint nataka afanye mambo mengine hasa biashara na naamini anaweza na pia ana asili ya kichaga nataka nimpe mtaji aanzishe biashara.

Naomba mnipe uzoefu waungwana nimpe mtaji wa kiasi gani na afanye biashara gani kwa wakati huu tuliopo itakayomkeep busy ili asiwaze haya yaliyotokea leo.

Naomba michango yenu ya kimawazo wakuu najua hapa hapaharibiki kitu.

Niwatakie jioni njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
mnafanya ujinga na maisha nyie, penzi kitovu cha uzembe.
 
kama ni CoET mwaka wa pili umekaza kimtindo hutakiwi kujilaumu mkuu, kuliwa kichwa mwaka wa pili ni kama wema kupimwa mkojo tu
ha ha ha sicheki kwa mazuri ila jamani masomo ya science ni magumu mno...ukiingia kuyasoma ujipange haswaa.

Eyoo mtoa mada kila mwanamke ana interest zake kabla hujafungua biashara yoyote inabidi umuulize kwanza anaweza nini..mwingine unakuta ana mkono wa ufugaji au ukulima na si biashara ya frame.Kingine kama anaweza mwambie apply hata certificate level ya course ya fani anayoipenda inaweza kumsaidia.Alafu upunguze ubabe,Mapenz kudekezana atii.
 
Back
Top Bottom