Jaby'z
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 4,319
- 7,655
MECH wameliwa madogo 15 naskia, mpaka IE wameliwa vichwaMkuu second year nasikia moto unawaka. ...kama department ya MIE ndo nasikia balaa tupu
Nokia ya Torch
MECH wameliwa madogo 15 naskia, mpaka IE wameliwa vichwaMkuu second year nasikia moto unawaka. ...kama department ya MIE ndo nasikia balaa tupu
Nokia ya Torch
Nimesikia Mzee afu me ndo naingia hiyo second year. ..hadii nshaanza kuogopa, nasikia kuna wanaume wawilii Tesha na Msemwa ni hatriii tupuMECH wameliwa madogo 15 naskia, mpaka IE wameliwa vichwa
ukiingia kwa tahadhari huwezi kuliwa kichwa, ukirelax kidogo tu wanakula kichwa, kakaze dogo 15 sio mchezoNimesikia Mzee afu me ndo naingia hiyo second year. ..hadii nshaanza kuogopa, nasikia kuna wanaume wawilii Tesha na Msemwa ni hatriii tupu
Nokia ya Torch
Wala usiwe na stress mkuu. Sa msichana anasoma makinikia unataka awe romantic? Huyo kafeli kwa stress zake sema kakuona chambo. ILa mtoe tuu maana hamna namna.Najua mimi ndo nimesababisha kupata hayo matokeo mabaya chuoni coz alikuwa stressed sana na tabia zangu za ukorofi so sitaki kumdisapoint nataka afanye mambo mengine hasa biashara na naamini anaweza na pia ana asili ya kichaga nataka nimpe mtaji aanzishe biashara.
Naomba mnipe uzoefu waungwana nimpe mtaji wa kiasi gani na afanye biashara gani kwa wakati huu tuliopo itakayomkeep busy ili asiwaze haya yaliyotokea leo.
Naomba michango yenu ya kimawazo wakuu najua hapa hapaharibiki kitu.
Niwatakie jioni njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri mujarabuKanza halalisha mahusiano yenu ikiwa ni Pamoja na kutambulika Nyumbani kwao ikiwezekana Oa kabisa ili Mtaji utakao mpa uwe na tija ya kuendeleza na kuongeza kipato cha Familia.
Pia Muulize kama kweli ana wito wa Biashara? Usije Mpa Mtaji ukaendeleza ukorofi wako mwisho wa siku Biashara ikafaa kwa kuwa umeshasema wewe ulikuwa mkorofi hadi kupelekea akawa na stress mno