colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,926
unasoma chuo kipi?
Asante da chartyha ha ha sicheki kwa mazuri ila jamani masomo ya science ni magumu mno...ukiingia kuyasoma ujipange haswaa.
Eyoo mtoa mada kila mwanamke ana interest zake kabla hujafungua biashara yoyote inabidi umuulize kwanza anaweza nini..mwingine unakuta ana mkono wa ufugaji au ukulima na si biashara ya frame.Kingine kama anaweza mwambie apply hata certificate level ya course ya fani anayoipenda inaweza kumsaidia.Alafu upunguze ubabe,Mapenz kudekezana atii.
dooh fanya namna yoyote arudi shule mkuu,tafuta chuo kingine...hiyo course sio ya kulala njaa
kama ulisababisha akafeli nadhani hata hiyo biashara itafeli.. muhimu badilika wewe kwanzaNajua mimi ndo nimesababisha kupata hayo matokeo mabaya chuoni coz alikuwa stressed sana na tabia zangu za ukorofi so sitaki kumdisapoint nataka afanye mambo mengine hasa biashara na naamini anaweza na pia ana asili ya kichaga nataka nimpe mtaji aanzishe biashara.
Naomba mnipe uzoefu waungwana nimpe mtaji wa kiasi gani na afanye biashara gani kwa wakati huu tuliopo itakayomkeep busy ili asiwaze haya yaliyotokea leo.
Naomba michango yenu ya kimawazo wakuu najua hapa hapaharibiki kitu.
Niwatakie jioni njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ndg yanguKatoe posa kwanza Mzee af urud hapa nikwambie biashara ya kufanya Shem eji yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mwenyewe kashasema hataki shule kwa sasa labda hapo baadaedooh fanya namna yoyote arudi shule mkuu,tafuta chuo kingine...hiyo course sio ya kulala njaa
Asante mkuu nitafanya hivyokama ulisababisha akafeli nadahnai hata hiyo biashara itafeli.. muhimu badilika wewe kwanza
we umemuandalia sh.ngapi mkuu?Mkuu mwenyewe kashasema hataki shule kwa sasa labda hapo baadae
Anataka kufanya mambo mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnasababishia watoto wa wenzenu matatizo halafu mnakuja kuomba msaada,kwanini hukujali hisia zake mapema kapata matatizo ndo unatafuta msaada!Najua mimi ndo nimesababisha kupata hayo matokeo mabaya chuoni coz alikuwa stressed sana na tabia zangu za ukorofi so sitaki kumdisapoint nataka afanye mambo mengine hasa biashara na naamini anaweza na pia ana asili ya kichaga nataka nimpe mtaji aanzishe biashara.
Naomba mnipe uzoefu waungwana nimpe mtaji wa kiasi gani na afanye biashara gani kwa wakati huu tuliopo itakayomkeep busy ili asiwaze haya yaliyotokea leo.
Naomba michango yenu ya kimawazo wakuu najua hapa hapaharibiki kitu.
Niwatakie jioni njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii dhambi itachukua muda kukuachia..Najua mimi ndo nimesababisha kupata hayo matokeo mabaya chuoni coz alikuwa stressed sana na tabia zangu za ukorofi Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu second year nasikia moto unawaka. ...kama department ya MIE ndo nasikia balaa tupukama ni CoET mwaka wa pili umekaza kimtindo hutakiwi kujilaumu mkuu, kuliwa kichwa mwaka wa pili ni kama wema kupimwa mkojo tu