kzba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,355
- 790
- Thread starter
- #21
Degree mwaka wa pili engineering mkuuAlikua chuo gani!?
Alikua mwaka wa ngapi!?
Alikuwa anasoma course gani!??
Level ipi!?? Certificate!?Dip!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Degree mwaka wa pili engineering mkuuAlikua chuo gani!?
Alikua mwaka wa ngapi!?
Alikuwa anasoma course gani!??
Level ipi!?? Certificate!?Dip!??
Shukran mkuuHaya maneno ulitakiwa ukawambie wazazi wake na sio uje kuomba ushauri huku
*You get what you work for not What you wish for*
Asante mkuuAmedisco vipi tena wakati analo papuchi angeikodisha kwa walimu asingepatwa na hayo yote
Duh..course nyingine inabidi ujikane Mkuu...
Shukrani mkuuJaaribu kwanza kuchunguza interest zake. Si kila mtu ana mkono wa biashara, lakini vile vile kama issue ndo imetokea sahivi sidhani kama ni muda muafaka wa kufanya uamuzi kama huo..unaweza kuwa uamuzi wa kukurupuka na wewe ukaingiza hela huko mambo yakafeli akaja kukuambia kipindi kile bwana akili haikuwa imetuliza kwa hiyo sikuweza kuwaza vizuri nachotaka kufanya. Otherwise wewe inabidi umsikilize kwanza mawazo yake yana uelekeo gani kabla ya kutoa wazo la nini afanye..Pole sana, its not the end of the road..tunatakiwa kuwasupport kwa wanachofanya siyo kuwa stress factor hadi mtu anadisco chuo
Huyo nae zwazwa kudisco au?Sio kila mchaga afunguliwe duka. Mwambie aje na plan na mchanganuo wa biashara umpe mtaji. Ndio mkome kujitia wababe kwa wapenzi wenu.
Ha ha ha ha ha. Duh!!!mean while nae hana akili,ana disco kisa stress za mwanaume atiii mkorofi!!!!chaaaa!!!wonders can never end. Au unacho cha dhahabu kaka??
Hujaona???au umechabo nilipoandika....zwazwa tu huyo..Huyo nae zwazwa kudisco au?
kama ni CoET mwaka wa pili umekaza kimtindo hutakiwi kujilaumu mkuu, kuliwa kichwa mwaka wa pili ni kama wema kupimwa mkojo tu
Jisaidie kitu kimoja , acha mbwembwe , afu usijitie mapana umFungulie biashara gani , kama hela anayo kama unavyo unesha mjengee nyumba awe anapangisha atakushukuru sana ,Najua mimi ndo nimesababisha kupata hayo matokeo mabaya chuoni coz alikuwa stressed sana na tabia zangu za ukorofi so sitaki kumdisapoint nataka afanye mambo mengine hasa biashara na naamin anaweza na pia ana asili ya kichaga
Nataka nimpe mtaji aanzishe biashara
Naomba mnipe uzoefu waungwana nimpe mtaji wa kiasi gani na afanye biashara gani kwa wakati huu tuliopo itakayomkeep busy ili asiwaze haya yaliyotokea leo.
Naomba michango yenu ya kimawazo wakuu najua hapa hapaharibiki kitu
Niwatakie jioni njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimechekaaàaaa sanaaaaMimba itakuwa mtaji mkubwa kwake