Msaada: Gharama za nyumba ya vyumba viwili

Msaada: Gharama za nyumba ya vyumba viwili

Yaani milioni mbili isijenge hata chumba kimoja? Hebu msikuze mambo kupita kiasi.
Chumba kimoja inaweza kujenga ila hapo inabid uongezee vi-laki kadhaa.
*Kuchimba msingi
*Mchanga
*matofali
*mifuko ya cement
*Maji
*Bati
*Hela ya mafundi kupiga plaster, kuchimba msingi, kupiga bati, kuweka floor ndani na kujenga nyumba. Hawa wote inabidi uwape hela
 
Kama ni kiwanja chako ,wewe kaanze hata chumba kimoja na choo. Mengine yatajileta,hiyo 2 mil ukikaa nayo kama huzalishi inaisha jioni.
yes ni kiwanja changu mkuu ntafanya ivyo najua mil2 si kitu kabsa mtaan
 
Duuuh kweli kujenga ni gharama kila nikisoma comment zenu sion matumain ya kuishi kwenye nyumba yangu kwa milion mbili
 
Kama kiwanja ni tambarare, kwa makisio ni kama ifuatavyo;
1. Tofali 1,260 X 1,200
2. Cement 50 X 14,500
3. Mchanga lori 5 X 70,000
4. Kokoto lori 2 X 140,000
5. Nondo 12
6. Maji pipa 70
7. Fundi ongea nae kiswahili kirefu

Nina uhakika kwa vitu hivyo vyumba viwili vinasimama, kwenye paa sasa ndo sijajua bado kukisia; bei ni za zamani kidogo.
Hizi bei za Dunia ipi ndugu? Dar tofari ni sh.1000 tu hadi site,kokoto Lori Moja laki mbili na nusu,mchanga wa kibaha Lory laki na nusu.hizo bei wewe umezipata wapi?
 
Kama kiwanja ni tambarare, kwa makisio ni kama ifuatavyo;
1. Tofali 1,260 X 1,200
2. Cement 50 X 14,500
3. Mchanga lori 5 X 70,000
4. Kokoto lori 2 X 140,000
5. Nondo 12
6. Maji pipa 70
7. Fundi ongea nae kiswahili kirefu

Nina uhakika kwa vitu hivyo vyumba viwili vinasimama, kwenye paa sasa ndo sijajua bado kukisia; bei ni za zamani kidogo.
Hizi bei za Dunia ipi ndugu? Dar tofari ni sh.1000 tu hadi site,kokoto Lori Moja laki mbili na nusu,mchanga wa kibaha Lory laki na nusu.hizo bei wewe umezipata wapi?
 
Wahi kapige slope tafuta fundi wa kawaida tu. Kwako ni kwako,hiyo kodi ya mwezi wa sita itamalizia,usisahau kuweka matoleo ya Matofali
sawa mkuu ntaleta mrejesho humu ntaweka hata mabat mlangon na madirishan ili mrad niitwe baba mwenye nyumba
 
Habari zenu wakuu,,
kwenye shughuli zangu za hapa na pale nimepiga bingo nna milion mbili cash ndan nataka kuondokana na maisha ya kupanga nna kiwanja Goba-Mbezi je ntaweza kujenga vyumba viwil nikaamia kwa gharama ya mill2,,, msaada wenye uzoefu please
Zinatosha sana. Zingatia tu design, isiwe ya kifahari. Simple house.

-Floor design iwe mraba (rectangle) ya 7m × 2.5m. Hii itakupa vyumba viwili vya ukubwa wa 3.3m × 2.5m. Chumba kimoja unaweza kukifanya sebule na kingine cha kulala.
- Ezeka kwa mtindo wa slope.
- Choo kiwe cha nje prefarably cha shimo, bafu na jiko pia la nje.

Nyumba hiyo itakugharimu:
Tofali 19×10 courses × sh 1000 = Sh 190,000/ (hii bila kutoa nafasi itakayoachwa na madirisha na milango.
Bati 9 za 3m × sh 15000 = Sh 135,000/
Mbao za 3 by 2 za kuezekea slope = 18m × 3000 = Sh 54,000/

Jumla kuu hadi hapo ni Sh 379,000/ ya vifaa vya ukuta na paa la bati.

Hivyo hela iliyobaki kutoka hiyo sh 2m itatosha sana kulipa fundi, ujenzi wa msingi, sakafu, madirisha, milango ya kawaida, wiring za umeme na kuweka ceiling bord, kupiga lipu, kupaka rangi na ujenzi wa bafu, choo na mahali pa kupikia chakula! Ukisimamia vizuri utashangaa unaweza baki na chenji ya laki 5.
 
Hapo umethibitisha msemo PAMBANA NA HALI YAKO.

tayari unayo tshs 2,000,000/= (hii ndiyo hali yako)
Mapambano (itoshe kujenga vyumba 2)

600×1,000/= = tshs 600,000/=

Fundi mtengee tshs 250,000/=

Bila shaka tshs 1,200,000/= hapa PAMBANA boma litasimama.
 
Zinatosha sana. Zingatia tu design, isiwe ya kifahari. Simple house.

-Floor design iwe mraba (rectangle) ya 7m × 2.5m. Hii itakupa vyumba viwili vya ukubwa wa 3.3m × 2.5m. Chumba kimoja unaweza kukifanya sebule na kingine cha kulala.
- Ezeka kwa mtindo wa slope.
- Choo kiwe cha nje prefarably cha shimo, bafu na jiko pia la nje.

Nyumba hiyo itakugharimu:
Tofali 19×10 courses × sh 1000 = Sh 190,000/ (hii bila kutoa nafasi itakayoachwa na madirisha na milango.
Bati 9 za 3m × sh 15000 = Sh 135,000/
Mbao za 3 by 2 za kuezekea slope = 18m × 3000 = Sh 54,000/

Jumla kuu hadi hapo ni Sh 379,000/ ya vifaa vya ukuta na paa la bati.

Hivyo hela iliyobaki kutoka hiyo sh 2m itatosha sana kulipa fundi, ujenzi wa msingi, sakafu, madirisha, milango ya kawaida, wiring za umeme na kuweka ceiling bord, kupiga lipu, kupaka rangi na ujenzi wa bafu, choo na mahali pa kupikia chakula! Ukisimamia vizuri utashangaa unaweza baki na chenji ya laki 5.
Hii labda koromije,,,,,darslamu hili ni Banda la kuku.Milioni mbili nilijenga Banda la kuku na bati nilichukua Tazara veterinary.
 
Habari zenu wakuu,,
kwenye shughuli zangu za hapa na pale nimepiga bingo nna milion mbili cash ndan nataka kuondokana na maisha ya kupanga nna kiwanja Goba-Mbezi je ntaweza kujenga vyumba viwil nikaamia kwa gharama ya mill2,,, msaada wenye uzoefu please
Kama kiwanja chako ni kikubwa kipo pazuri tukubaliane, nikujengee kamjengo ka hali yako/ka kishikaji maeneo ya Chanika halafu wewe nipe hicho cha Goba, halafu kila mtu abakie kiroho mubashara.Kama hutojali lakini!
 
Zinatosha sana. Zingatia tu design, isiwe ya kifahari. Simple house.

-Floor design iwe mraba (rectangle) ya 7m × 2.5m. Hii itakupa vyumba viwili vya ukubwa wa 3.3m × 2.5m. Chumba kimoja unaweza kukifanya sebule na kingine cha kulala.
- Ezeka kwa mtindo wa slope.
- Choo kiwe cha nje prefarably cha shimo, bafu na jiko pia la nje.

Nyumba hiyo itakugharimu:
Tofali 19×10 courses × sh 1000 = Sh 190,000/ (hii bila kutoa nafasi itakayoachwa na madirisha na milango.
Bati 9 za 3m × sh 15000 = Sh 135,000/
Mbao za 3 by 2 za kuezekea slope = 18m × 3000 = Sh 54,000/

Jumla kuu hadi hapo ni Sh 379,000/ ya vifaa vya ukuta na paa la bati.

Hivyo hela iliyobaki kutoka hiyo sh 2m itatosha sana kulipa fundi, ujenzi wa msingi, sakafu, madirisha, milango ya kawaida, wiring za umeme na kuweka ceiling bord, kupiga lipu, kupaka rangi na ujenzi wa bafu, choo na mahali pa kupikia chakula! Ukisimamia vizuri utashangaa unaweza baki na chenji ya laki 5.

Aisee!
 
Habari zenu wakuu,,
kwenye shughuli zangu za hapa na pale nimepiga bingo nna milion mbili cash ndan nataka kuondokana na maisha ya kupanga nna kiwanja Goba-Mbezi je ntaweza kujenga vyumba viwil nikaamia kwa gharama ya mill2,,, msaada wenye uzoefu please
haah ..huyu jamaa ni mzee wa kubet alikuwepo kwenye uzi wa kubet au ndo amekula hiyo bingo!!!
 
Jenga nyumba ya miti ,unanunua miti unakandika kwa tope unapiga plasta kitu kinang'aa kama cha tofali.
Mafundi wa nyumba za miti nenda Bagamoyo au Kisarawe utawapata.
Choo chimba cha shimo la kawaida dogo.
Ukipata fedha nyingine unaanza kununua tofali unaanza kujenga kidogo kidogo ukiwa kwako .
Hakuna atakayekucheka cha muhimu utakuwa haulipi kodi.
Ulaya huko kuna nyumba za kontena,mbao nk.
Magereza na Polisi wana nyumba za mabati na wanaishi uamuzi ni wako.
 
Back
Top Bottom