Edo kissy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 4,854
- 12,756
Ni kweli.Ukipiga hesabu bora mkaa , labda gesi uchukue tu kwa vile vyakula vya kupika haraka na kuwahi kazini🤔
Kama una familia unachukua vyote,
Ila gesi muhimu sana mkuu.
Ni kweli.Ukipiga hesabu bora mkaa , labda gesi uchukue tu kwa vile vyakula vya kupika haraka na kuwahi kazini🤔
Ni 6000Mkuu,yani uhame mji kisa elfu mbili?
Wanajipangia itakuwa.. kila mtu anajificha kwenye kichaka cha kupanda bei kwa mafuta na vita za wengine 😂Huko kwa kuhamia sasa😂🙌🏾
Bei wanajipangia au Kuna utaratibu?
Watajua waoo😂😂Wanajipangia itakuwa.. kila mtu anajificha kwenye kichaka cha kupanda bei kwa mafuta na vita za wengine 😂
Ingekuwa ni bei inapangwa wangekuwa na. bei moja wote..
Mabus yalipandisha nauli ile April.. May mafuta yalipozidi bei mbona hawajapandisha tena? Ila hiace ndo zimebaki kutukomoa
Kabla hata ya vita, gari ilikua ishazama , sema mbuzi kafia kwa muuza supu tu,Naona watu wanalaumu Serikali sasa tuongee ukweli tu kupanda vitu bei tuilaumu serikali ya Tz au trump na serikali yake waloanzisha vita visivyo na kichwa wala miguu hlf kuna watu humu walikua wakifurahia kile kinachoendelea kule Iran hya sasa ndo matokeo yake
Mpaka tuhamie Burundi kwa hiyari 😂Watajua waoo😂😂
Kuna post hapo imeonesha bei mpya.
Ukihama tunashusha bei,halafu huko ulipohamia tunapandisha bei.Ni 6000
Ni utani tu mkuu😂🙌🏾
Sasa gesi ya mtwara vpShida uchumi wa dunia unategemea sana nishati ya mafuta hasa petrol,diesel na ya ndege. So usafirishaji wa bidhaa yeyote unahtaji mafuta, so huwezi kusafirisha bidhaa kwa gharama alafu wewe ukauze kwa hasara hiyo never. Serikali iweke ruzuku kupunguza ugumu wa maisha.
Wacha tunywe supu sasaKabla hata ya vita, gari ilikua ishazama , sema mbuzi kafia kwa muuza supu tu
Umemaliza Kila kitu😂🙌🏾Mpaka tuhamie Burundi kwa hiyari 😂
Wananchi wenyewe tunakulaga wali na maini unavipika kwa muda mchache. Gas ghetoo zinakaa miezi 6 ndo zinaisha 😂😂😂
Chuga bei ipo pale pale. Labda tuone km kesho kuna mabadilikoHapo line ya 3 mbona nimesema kabisa kwamba sijajua kwa mwezi huu May 😂
Maana sijajaza bado