Msaada: Gesi ya kupikia imepanda bei au napigwa?

Msaada: Gesi ya kupikia imepanda bei au napigwa?

Tunasemaga Dar maisha mepesi kumbe michezo tu. Mtungi mdogo Arusha ni 22,000, mkubwa 45,000 sijajua kwa mwezi huu May

Tutarudi kupikia umeme.. zile induction cooker wanadai zinatumia umeme kidogo
 
Shida uchumi wa dunia unategemea sana nishati ya mafuta hasa petrol,diesel na ya ndege. So usafirishaji wa bidhaa yeyote unahtaji mafuta, so huwezi kusafirisha bidhaa kwa gharama alafu wewe ukauze kwa hasara hiyo never. Serikali iweke ruzuku kupunguza ugumu wa maisha.
 
Back
Top Bottom