Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,105
- 4,635
Habari wa JF,
Kuna msiba wa ndugu mmoja jirani hapa. Sasa siku ya msiba walikuja watoto 2 wana umri wa miaka 5 na mama yao wanafanana sana na watoto mapacha wa kiume aliyozaa na mkewe wake ambao wana umri wa miaka 6. Ina maana jamaa alizaa nje watoto wamefanana na Baba yao ukiwaona ni kama watoto 2 wa ndani ya ndoa aliyezaa na mkewe.
Mkewe marehemu hajui nini cha kufanya hapo msiba ushaisha mpaka sasa. Familia wanajua hao watoto wanahitajika kutuzwa na kuishi. Marehemu kaacha nyumba moja aliyokuwa anaishi na mkewe na gari moja Toyota ICT na duka la madawa ya binadamu aliyokuwa anasimia mkewe, pesa za benk sijajua.
Sasa familia imeingia na kiwewe kuhusu hawa watoto 2 wa nje maana ni watoto wa ndugu yao kabisa. Kuna mtu mmoja amesema kama mama wa hao watoto anatafuta kusaidiwa malezi ya watoto aende ustawi wa jamii au akafungue shauri mahakamani, sasa inawezekana hio kweli.
Vipi kuhusu hapo watoto nani awapokee na ni nani awahudumie? Mke wa marehemu yeye ana kazi yake japo ni ya kawaida. Msaada jamani.
Kuna msiba wa ndugu mmoja jirani hapa. Sasa siku ya msiba walikuja watoto 2 wana umri wa miaka 5 na mama yao wanafanana sana na watoto mapacha wa kiume aliyozaa na mkewe wake ambao wana umri wa miaka 6. Ina maana jamaa alizaa nje watoto wamefanana na Baba yao ukiwaona ni kama watoto 2 wa ndani ya ndoa aliyezaa na mkewe.
Mkewe marehemu hajui nini cha kufanya hapo msiba ushaisha mpaka sasa. Familia wanajua hao watoto wanahitajika kutuzwa na kuishi. Marehemu kaacha nyumba moja aliyokuwa anaishi na mkewe na gari moja Toyota ICT na duka la madawa ya binadamu aliyokuwa anasimia mkewe, pesa za benk sijajua.
Sasa familia imeingia na kiwewe kuhusu hawa watoto 2 wa nje maana ni watoto wa ndugu yao kabisa. Kuna mtu mmoja amesema kama mama wa hao watoto anatafuta kusaidiwa malezi ya watoto aende ustawi wa jamii au akafungue shauri mahakamani, sasa inawezekana hio kweli.
Vipi kuhusu hapo watoto nani awapokee na ni nani awahudumie? Mke wa marehemu yeye ana kazi yake japo ni ya kawaida. Msaada jamani.