Nina mtaji wa Milioni 1.5, Biashara ya Chips Njombe inalipa?

Nina mtaji wa Milioni 1.5, Biashara ya Chips Njombe inalipa?

raisi wa dar

New Member
Joined
Jan 21, 2025
Posts
2
Reaction score
5
Habari za muda wana JF,

Katika harakati zangu za maisha nimejikuta tu nadondokea Njombe.

Nina wiki mpaka sasa. Maisha yamenichapa balaa. Mfukoni nina kama 1.5M, nikawa nawaza biashara ya viazi, kwa maana ya chips.

Naomba wazoefu wa mkoa huu wanaoujua vizuri wanielekezee. Hii biashara inalipa kwa hapa? Na kama inalipa, ni location gani nitafute eneo naweza kukimbiza sana?

Nimewaza hii biashara kutokana na mtaji wangu. Pia nimesikia kuna chuo cha UDOM kinataka kufunguliwa, kwa hiyo wanafunzi watakuwa wengi.

Ila kikubwa, wazoefu naombeni mnipe ABC za hiyo biashara kwa hapa Njombe. Nitashukuru sana. Pia hata kwa biashara nyingine mnaweza kunishauri, maana sina mtu sahihi wa kunishika mkono.
 
Habari za muda wana jf
Katika harakat zangu za maisha nimejikuta tu nadondekea njombe.
Nina wiki mpka sasa. Maisha yamenichapa balaa mfukoni Nina kama 1.5M nikawa nawaza biashara ya viazii kwa maana chips.
Naomba wazoefu wa mkoa huu wanaujua vizurii wanielekezee hii biashara INALIPA kwa hapa. 2 na kama INALIPA ni location gani nitafute eneo naweza kukimbiza sana.
Nimewaza hii biashara kutokana na mtaji wangu pia nimesikia Kuna chuo Cha udom kinataka kufunguliwa kwaiyo wanafunzii watakuwa wengi

ILA KIKUBWA WAZOEFU NAOMBENII MNIPE ABC ZA HIYO BIASHARA KWA HAPA NJOMBE NITASHKURU SANA PIA HATA KWA BIASHARA NYINGNE MNAWEZA NISHAURI MAANA SINA MTU SAHIHI WAKUNISHIKA MKONO
 
Habari za muda wana JF,

Katika harakati zangu za maisha nimejikuta tu nadondokea Njombe.

Nina wiki mpaka sasa. Maisha yamenichapa balaa. Mfukoni nina kama 1.5M, nikawa nawaza biashara ya viazi, kwa maana ya chips.

Naomba wazoefu wa mkoa huu wanaoujua vizuri wanielekezee. Hii biashara inalipa kwa hapa? Na kama inalipa, ni location gani nitafute eneo naweza kukimbiza sana?

Nimewaza hii biashara kutokana na mtaji wangu. Pia nimesikia kuna chuo cha UDOM kinataka kufunguliwa, kwa hiyo wanafunzi watakuwa wengi.

Ila kikubwa, wazoefu naombeni mnipe ABC za hiyo biashara kwa hapa Njombe. Nitashukuru sana. Pia hata kwa biashara nyingine mnaweza kunishauri, maana sina mtu sahihi wa kunishika mkono.
rais wa manzese nasikia watu wa njombe wakiwa na jero anaweza kupata sahani kumi za chips kavu
 
Kabla hujaanza hiyo biashara jaribu kuomba kazi kwa hao wauza chipsi hasa mtaa wa dhambi ( national, mgendera, kwivaha ) piga kazi kama wiki hivi ndiyo utajua mwenendo mzima wa biashara.

Maeneo mazuri kwa hiyo biashara ni mitaa ya msikitini maana kuna pub nyingi na wapenda starehe sana,

Pia mtaa wa chaugingi nako panafaa sana

Na mtaa wa buguruni

Ambapo utahitajika kuwa na huduma safi kuvutia vijana na mabinti.
 
Kabla hujaanza hiyo biashara jaribu kuomba kazi kwa hao wauza chipsi hasa mtaa wa dhambi ( national, mgendera, kwivaha ) piga kazi kama wiki hivi ndiyo utajua mwenendo mzima wa biashara.

Maeneo mazuri kwa hiyo biashara ni mitaa ya msikitini maana kuna pub nyingi na wapenda starehe sana,

Pia mtaa wa chaugingi nako panafaa sana

Na mtaa wa buguruni

Ambapo utahitajika kuwa na huduma safi kuvutia vijana na mabinti.
Mkuu wew upo njombe
 
Kabla hujaanza hiyo biashara jaribu kuomba kazi kwa hao wauza chipsi hasa mtaa wa dhambi ( national, mgendera, kwivaha ) piga kazi kama wiki hivi ndiyo utajua mwenendo mzima wa biashara.

Maeneo mazuri kwa hiyo biashara ni mitaa ya msikitini maana kuna pub nyingi na wapenda starehe sana,

Pia mtaa wa chaugingi nako panafaa sana

Na mtaa wa buguruni

Ambapo utahitajika kuwa na huduma safi kuvutia vijana na mabinti.
Yeah of course naplan pawe pakishua
 
Back
Top Bottom