Umenena sawia mkuuuMkuu, moja katika vitu tunavyokosea sana ni kupenda nusu Package halafu tukitegemea kufurahia the whole package. Mwili wa mwenza wako ni nusu package, tabia yake ni nusu nyingine. Sasa huwa aidha tunavutiwa na tabia ama Urembo. Hapo wewe ni wazi, kinachokufunga ni urembo wake. Lakini tibia yake isha kukera. Mwenza mwema anatakiwa angalau akufurahishe nusu nusu kila upande(urembo na tabia).
Anapenda picha hatariiiiii yan nikiwa naye yeye ful kujiselfisha na mimi ila hapendelei hayo ya umodal sijui umiss hayupo huko khabisa na hapendiana umri gani mkuu?
anapenda kuwa modal au video queen anapenda sana kupiga picha!
me wa kwangu yupo kama wako tu nampenda ivoivo mwanzon nilihis kama ww lakini mwisho wa siku nilikuja kujua ukweli kwamba ni kwann yupo hivo. wapo watu wazima pia wana interest hizo za kupenda kupga pcha sana
ukiangalia hii picha unamuona pia mkuu wangu vile anavopenda kupiga picha![]()
kwaiyo huyo wa kwako mchunguze sana utapata jibu me kwa kwangu amenipa passwrd za insta na facebook kwaiyo nikiamua mda wwote huwa nachungulia dm na inbox kwake kuna nini![]()
Nahisi namjua huyo mtuHabarii wakuu
Nampenzi wangu nampenda sana tuna miaka miwili kwenye uhusiano yeye mwislamu na mimi mkristo ananipenda sana hilo sina mashaka nalo ila shida yake anapenda sanaa kupost picha instagram hata ambazo kwangu naona hazina tija au kupost kwa mwanamke alonampenzi na anatarajia kuwa mke wa mtu nishamuonya sanaa yaani hata akifumua nyewele yeye anapost tu.
Naombeni msaada wa mawazo nifanyaje manake hana privacy na ninwepesi kuomba msamaha ila lazima apost picha zake kama sio fb ni instagramu mpka nawazaga hizi " umependeza mpnz wangu huwa hazitoshi mpka likes na comment za mitandao"

PointKama unampenda nenda nae taratibu. Mwenzako bado hajakua, utoto unamsumbua.
tutumie hata picha yake moja tumuone alafu tutakupa jibuHabarii wakuu
Nampenzi wangu nampenda sana tuna miaka miwili kwenye uhusiano yeye mwislamu na mimi mkristo ananipenda sana hilo sina mashaka nalo ila shida yake anapenda sanaa kupost picha instagram hata ambazo kwangu naona hazina tija au kupost kwa mwanamke alonampenzi na anatarajia kuwa mke wa mtu nishamuonya sanaa yaani hata akifumua nyewele yeye anapost tu.
Naombeni msaada wa mawazo nifanyaje manake hana privacy na ninwepesi kuomba msamaha ila lazima apost picha zake kama sio fb ni instagramu mpka nawazaga hizi " umependeza mpnz wangu huwa hazitoshi mpka likes na comment za mitandao"
Habarii wakuu
Nampenzi wangu nampenda sana tuna miaka miwili kwenye uhusiano yeye mwislamu na mimi mkristo ananipenda sana hilo sina mashaka nalo ila shida yake anapenda sanaa kupost picha instagram hata ambazo kwangu naona hazina tija au kupost kwa mwanamke alonampenzi na anatarajia kuwa mke wa mtu nishamuonya sanaa yaani hata akifumua nyewele yeye anapost tu.
Naombeni msaada wa mawazo nifanyaje manake hana privacy na ninwepesi kuomba msamaha ila lazima apost picha zake kama sio fb ni instagramu mpka nawazaga hizi " umependeza mpnz wangu huwa hazitoshi mpka likes na comment za mitandao"