Msaada: Anapost sana picha zake Insta na Facebook

Msaada: Anapost sana picha zake Insta na Facebook

Hili linanipasua kichwa acha kila nikiwaza ila mwanamke yupo tayari kubadli dini nakuolewa na mimi ila nimemwambia mm siwezi kukuoa ndo ubadili dini kama unataka tuoane badili tukiwa wapenzi hadi ndugu zako wajue umebadilika ila sio kwenye ndoa ndo ubadili
Hapo ndo pakuwa makini sababu ninapaelewa vizuri mkuu, Mimi alinihakikishia ivo ivo lakn mwishoni ilishindikana sababu ya wazazi
 
Ohoooh, sisi kiukwel ilishindikana sababu wazazi wake hawakuafiki kabisa. Nisikukatishe tamaa mkuu labda wakwako ana msimamo na ushawishi mkubwa, kumbuka ndoa isiyo na baraka za wazazi hata kama mnapendana hainaga amani.
Hilo ni kweli ila hata watu wa karibu wote kila nayemwambia swala dini ananiambia hapana
 
Sasa Hapo tatzo nn? Simu ya kwake mwenyewe Hata kam ulimnunulia hutumii wewe,bando la kwake Hata Kama unamnunulia Ndio ushampa atumie yeye,yet unampangia cha kupost. Huo undezi
 
inaelekea bado utoto unamsumbua

Endelea kuongea nae iko siku atakuelewa
 
Kama hapost picha za uwazi sio mbaya
Let her be
 
Hili linanipasua kichwa acha kila nikiwaza ila mwanamke yupo tayari kubadli dini nakuolewa na mimi ila nimemwambia mm siwezi kukuoa ndo ubadili dini kama unataka tuoane badili tukiwa wapenzi hadi ndugu zako wajue umebadilika ila sio kwenye ndoa ndo ubadili
Hahahaa
Sioni future yenu hapo

Unless mmefight sanaaaa
 
Ohoooh, sisi kiukwel ilishindikana sababu wazazi wake hawakuafiki kabisa. Nisikukatishe tamaa mkuu labda wakwako ana msimamo na ushawishi mkubwa, kumbuka ndoa isiyo na baraka za wazazi hata kama mnapendana hainaga amani.
Wala huja mkatisha tamaa ni kweli asilimia 95 huwa hawafiki mwisho, hiyo moja hufika wakiwa wamechoka na wame poteza sehemu kubwa ya jamii zao au heshima za jamii zao
 
Kuna dem na mke..tatizo linalotukuta vijana wengi siku hizi tunaoa "demu" badala ya "mke" kwa hy utakuta mtu ameshaolewa lkn bado ujana bado anao kwa kiwango cha lami...demu hawezi kuwa mke japo kidoleni umemvisha pete ya ndoa..kwenye kipengele hicho hakuhusiani na umri bali tabia ya mtu na hulka zake..kabla ya kuoa,kwanza angalia je ana sifa za umama(yaani mke)au ndo wale wanakuja kutoa nuksi au kuolewa kwa fasheni??...asante mkuu
 
Back
Top Bottom