Msaada: Anapost sana picha zake Insta na Facebook

Msaada: Anapost sana picha zake Insta na Facebook

Bado anatafuta mume wa kaliba yake,achana nae kama hasikii maoni/maonyo yako
 
Habarii wakuu
Nampenzi wangu nampenda sana tuna miaka miwili kwenye uhusiano yeye mwislamu na mimi mkristo ananipenda sana hilo sina mashaka nalo ila shida yake anapenda sanaa kupost picha instagram hata ambazo kwangu naona hazina tija au kupost kwa mwanamke alonampenzi na anatarajia kuwa mke wa mtu nishamuonya sanaa yaani hata akifumua nyewele yeye anapost tu.

Naombeni msaada wa mawazo nifanyaje manake hana privacy na ninwepesi kuomba msamaha ila lazima apost picha zake kama sio fb ni instagramu mpka nawazaga hizi " umependeza mpnz wangu huwa hazitoshi mpka likes na comment za mitandao"
Ulimpata katika mazingira gani?

Kama yuko below 25 age, enda nae taratibu

Inaoekana rafik zake wa karibu wote wako ivyo,hapo hawawez kushauriana

ISHI NAE KWA AKILI NYINGI
 
Mara nyingi watu wa hivyo hupenda attention za watu.Kwa kitendo hicho lazima atakuwa anatongozwa na kusumbuliwa na wanaume na jambo hilo linaonekana analipenda.Hivyo inamaanisha bado yupo kwenye mchakato wa kuwa available....mwenye nguvu ndio anapita,asipobadilika hafai huyo
 
Kuna wakati naweza Amin hilo...ila kunashida sehem mkuu na akija kwangu simu inakaaga kwenye mkoba mara nyingi ila nisikufiche sijawah hisi nasalitiwa wa dalili hata moja sijaona
Ndio uanze kuhisi sasa
 
Kuna wakati naweza Amin hilo...ila kunashida sehem mkuu na akija kwangu simu inakaaga kwenye mkoba mara nyingi ila nisikufiche sijawah hisi nasalitiwa wa dalili hata moja sijaona
Mhhh,,we nae bado!! umri wako una miaka mingapi?
 
Anatumia jina gani nataka nim follow nione picha zake then ntarudi kukushauri
 
Hivyo viashiria hana,asante princess.nitabia flani hivi inakera sanaaaa yan mtu hana privacy hata akifumua nywelee anapost
huo ndio unaitwa Ulimbukeni
ndio maana halisi ya limbukeni!

ndio maana waswahili wakasema "Limbukeni hana siri"
 
Back
Top Bottom