Inawezekana pia manake wanawake wa sasa ni hatari
Umeongea point mkuu sanaaaaaa na nikweliMe nadhani una panic bure
Labda hana kazi/ hajaajiriwa ndio maana social media inam keep buzy
Kingine ni hobby ya mtu, hauwezi change ila unaweza punguza
Nilipokuwa sina kazi nilikuwa kama GF wako nilipopata kazi mbona moto ulipungua kwanza saa ngap nashika simu na kazi za watu anafanya nani?!
Wife materialistic haipimwi na kupost picha on social media, mtafutie kazi au biashara atapunguza ila kuacha ni ngumu maana ni hobby yake
Ni hayo tu mkuu
Achana nae, tafuta mkristo mwenzako uoe!!Habarii wakuu
Nina mpenzi wangu nampenda sana tuna miaka miwili kwenye uhusiano yeye muislamu na mimi mkristo ananipenda sana hilo sina mashaka nalo
Ila shida yake anapenda sanaa kupost picha instagram hata ambazo kwangu naona hazina tija au kupost kwa mwanamke aliye na mpenzi na anatarajia kuwa mke wa mtu nishamuonya sanaa yaani hata akifumua nywele yeye anapost tu.
Naombeni msaada wa mawazo nifanyaje maana hana privacy na ni wepesi kuomba msamaha ila lazima apost picha zake kama sio fb ni instagramu mpka nawazaga hizi " umependeza mpnz wangu huwa hazitoshi mpaka likes na comment za mitandao"
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] bado anatafuta mwenzio wa kukusaidia, siku jaribu kumuomba simu yake, akikubali kukupa basi endelea nae maana atakuwa anajifurahisha tu kupost picha zake, akikataa basi jiongeze tuuKuna wakati naweza Amin hilo...ila kunashida sehem mkuu na akija kwangu simu inakaaga kwenye mkoba mara nyingi ila nisikufiche sijawah hisi nasalitiwa wa dalili hata moja sijaona
Simu haninyimiii ananipagaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] bado anatafuta mwenzio wa kukusaidia, siku jaribu kumuomba simu yake, akikubali kukupa basi endelea nae maana atakuwa anajifurahisha tu kupost picha zake, akikataa basi jiongeze tuu
Duh pole ana umri gani? Anakupiga kijembe hata wewe_?Nahisigi hilo ila inanipa taabu sana hawezi kustahimil vitu vidogo km kutopost picha ya ndan siitakuwa balaa na nikimudhi lazima aniweke DP ya ujumbe unaonihusu
well said!!NAWE POST ZAKO
absolutely rightAisee, usisahau kuna changamoto nyingine kubwa ya DINI wakati wa kuoana utakapofikia.
Njia gani inafaa kumsaidia mkuuKama anapenda sana kuonekana si atengeneze ile mibango mikubwa kama ya matangazo barabarani...
Ila kwa kifupi ni kuwa mtu yoyote awe mwaume au mwanamke anayependa kuweka iwe picha au maneno ya kila afanyalo mtandaoni ana matatizo ya akili...hii ni kwa mujibu wa matokeo ya tafiti za kisaikolojia.
Endelea kumpa ushauri nasaha tu wenye vielelezo vya madhara ya matumizi yaliyokithiri ya mitandao hiyo uliyoitaja...Njia gani inafaa kumsaidia mkuu