Msaada ameyakanyaga Bank ya ABC

Msaada ameyakanyaga Bank ya ABC

Msiba wa mzazi, mwenza au mtoto serikali/ofisi yake hugharamikia.
Ilikuwaje akakope au ni msiba usiotambulika ofisini kwake?
Au yuko local government?
Maana huko local government mambo yenu mnayajua wenyewe.
Mwajiri wake ndiye anaweza ku cancel huo mkopo within 5 minutes.
So, asisumbue madalali wa bank ABC
Ina gharamikia in what percentages. Msiba unambo mengi sana sidhani higo ela inayotolewa naweza cover kila kitu.
 
Pia inatakiwa misiba mingine ikitokea muwe mnatoa hela hata 5,000 au 10,000 kuwachangia watu wako wa karibu ukipata msiba hata uhitaji kiasi gani cha kusafirisha watu unaowachangia mara kwa mara watakuja na kukupa sapoti ukiona mtu kapata msiba harafu anahaha mbaya jua sio mtu wa watu...
 
Msiba wa mzazi, mwenza au mtoto serikali/ofisi yake hugharamikia.
Ilikuwaje akakope au ni msiba usiotambulika ofisini kwake?
Au yuko local government?
Maana huko local government mambo yenu mnayajua wenyewe.
Mwajiri wake ndiye anaweza ku cancel huo mkopo within 5 minutes.
So, asisumbue madalali wa bank ABC
Si kweli hayo mambo yalikuwa zamani sana siku hizi labda msiba wa mwenza na mtoto tu ndo unaweza kuambulia chochote lakini mzazi unakomaaa mwenyewe tu labda uwe ni KM au Waziri au Mkurugenzi ndo unaweza kupata lakini mtumishi wa kawaida tu hupati hata sanda msiba wa mzazi
 
Si kweli hayo mambo yalikuwa zamani sana siku hizi labda msiba wa mwenza na mtoto tu ndo unaweza kuambulia chochote lakini mzazi unakomaaa mwenyewe tu labda uwe ni KM au Waziri au Mkurugenzi ndo unaweza kupata lakini mtumishi wa kawaida tu hupati hata sanda msiba wa mzazi
Hapana.
Kazini kwetu ofisi ilitoa waraka wa maslahi ya watumishi na muundo wa utumishi.
Hata wa mkataba anahudumiwa kila kitu akifiwa na mzazi, mwenza au mtoto.
Takupigia picha baadaye uone
 
Nimepokea, taarifa usiku huu za rafiki yangu aliyepatwa na msiba mwishoni mwa mwaka jana na kuzika January mwaka huu.

Ni mtumishi wa serikalini kapatwa na msiba ghafla akaenda kukopa Bank ya ABC ili kumsaidia na masuala ya msiba, Tsh milioni 2 hiyo tarehe 29/12/2023.

Kaambiwa baada ya masaa 24 pesa itaingia ila hadi leo tarehe 8/01/2024 pesa hakuna na kwa taarifa ni kuwa, taarifa zake kwa mkuu wake wa kazi zimeishapita kasaini apewe mkopo ila kaambulia patupu hadi leo.

Msiba uliishaisha kwa msaada wa raia wema wakamkopesha akayamaliza huko kwao, sasa ndiyo naongea naye hapa anaomba ushauri jinsi ya kujitoa kwenye mkopo huu hewa.

Msaada kwa huyu ndugu kama ni wa kisheria ajitoe tu kwenye hili janga.
Ajinyonge tu akajumuike na huyo ndugu yake aliemtangulia
 
Nimepokea, taarifa usiku huu za rafiki yangu aliyepatwa na msiba mwishoni mwa mwaka jana na kuzika January mwaka huu.

Ni mtumishi wa serikalini kapatwa na msiba ghafla akaenda kukopa Bank ya ABC ili kumsaidia na masuala ya msiba, Tsh milioni 2 hiyo tarehe 29/12/2023.

Kaambiwa baada ya masaa 24 pesa itaingia ila hadi leo tarehe 8/01/2024 pesa hakuna na kwa taarifa ni kuwa, taarifa zake kwa mkuu wake wa kazi zimeishapita kasaini apewe mkopo ila kaambulia patupu hadi leo.

Msiba uliishaisha kwa msaada wa raia wema wakamkopesha akayamaliza huko kwao, sasa ndiyo naongea naye hapa anaomba ushauri jinsi ya kujitoa kwenye mkopo huu hewa.

Msaada kwa huyu ndugu kama ni wa kisheria ajitoe tu kwenye hili janga.
Mteja husaini makubaliano ya mkopo na benki, kama hajasaini hapo mkopo hakuna. Huu wasiwasi unatoka wapi?
 
Back
Top Bottom