Umenena vyema. Kwa ufupi BOT ni watch dog wa taasisi zote zinazo jihusisha na biashara za kifedha.BOT inatoa leseni ya watoa huduma na taasisi zote za fedha nchini, hivyo kama BankABC wamekiuka huduma zao ni wazi kuwa leseni yao inaweza kufutwa.
Umenena vyema. Kwa ufupi BOT ni watch dog wa taasisi zote zinazo jihusisha na biashara za kifedha.BOT inatoa leseni ya watoa huduma na taasisi zote za fedha nchini, hivyo kama BankABC wamekiuka huduma zao ni wazi kuwa leseni yao inaweza kufutwa.
Mkuu Adolph Jr tupatie mrejesho wa hii ishu please!Mungu akubariki sana Dr hakika hii inaweza msaidia sana rafiki yangu, ubarikiwe mno....🙏🙏🙏
Kumbe hii ni bank mbaya kiasi hiki?BOT inatoa leseni ya watoa huduma na taasisi zote za fedha nchini, hivyo kama BankABC wamekiuka huduma zao ni wazi kuwa leseni yao inaweza kufutwa.