Sijui wengine siwezi kuwasemea, kwa upande wangu nakemea kila muovu.
Lakini ukweli ubaki kuwa ukweli. Leo makanisa yanaruhusu ushoga, mpaka wanadiriki kusema ushoga ni kazi ya wachungaji, hujaliona hilo? Kuna scandal za ushoga mpaka kwa maaskofu wakubwa wa Vatican, Jee, nayo huyajuwi?
Huyo father Kit Cunningham ungemsoma, nimekuwekea link, badala ya kusema tu "kama kafanya kwa scale kubwa kiasi hicho", hiyo "kama" yako inaonesha bado hutaki kuamini! Huo ndiyo ukweli, ukiuamini usiuamini na ushahidi uko wazi kabisa. Fata link, nimekuwekea tena chini hapo. Ni hatari kubwa sana.
Soma kipande kidogo hiki, vijana 22 walioweza kujitokeza walifunguwa kesi ya madai. Hakuna aliye i ripoti hapa kwetu. Why?
A correspondence developed. I am not going to name the other party because he made clear he didn't want that. He is not part of the group of 22 ex-pupils of Soni pursuing a legal case for compensation against the Rosminians. But he was abused there, as was his brother, or so he believes. The two have never discussed it.
Chanzo: He was my priest and my friend. Then I found out he was a paedophile | Comment is free | The Guardian
Fikiri ni vijana wangapi wa Kitanzania walioharibiwa na huyo mchungaji kwa kulawitiana nao kwa miaka aliyokuwepo hapo Soni? Inatisha.
Na Muhammad aliyehalalisha kubaka katoto ka miaka sita akidai kaoa?