Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

Sijui wengine siwezi kuwasemea, kwa upande wangu nakemea kila muovu.

Lakini ukweli ubaki kuwa ukweli. Leo makanisa yanaruhusu ushoga, mpaka wanadiriki kusema ushoga ni kazi ya wachungaji, hujaliona hilo? Kuna scandal za ushoga mpaka kwa maaskofu wakubwa wa Vatican, Jee, nayo huyajuwi?

Huyo father Kit Cunningham ungemsoma, nimekuwekea link, badala ya kusema tu "kama kafanya kwa scale kubwa kiasi hicho", hiyo "kama" yako inaonesha bado hutaki kuamini! Huo ndiyo ukweli, ukiuamini usiuamini na ushahidi uko wazi kabisa. Fata link, nimekuwekea tena chini hapo. Ni hatari kubwa sana.

Soma kipande kidogo hiki, vijana 22 walioweza kujitokeza walifunguwa kesi ya madai. Hakuna aliye i ripoti hapa kwetu. Why?

A correspondence developed. I am not going to name the other party because he made clear he didn't want that. He is not part of the group of 22 ex-pupils of Soni pursuing a legal case for compensation against the Rosminians. But he was abused there, as was his brother, or so he believes. The two have never discussed it.

Chanzo: He was my priest and my friend. Then I found out he was a paedophile | Comment is free | The Guardian

Fikiri ni vijana wangapi wa Kitanzania walioharibiwa na huyo mchungaji kwa kulawitiana nao kwa miaka aliyokuwepo hapo Soni? Inatisha.

Na Muhammad aliyehalalisha kubaka katoto ka miaka sita akidai kaoa?
 
Huyo ana bahati kakutana ana kiongozi wa dini anayependa wanawake..angekutana na Muhammad angekuwa na punda as mke mwenzake!!!
 
Jiandae kuandika majina ya kaka zako kwenye ubin wa wanao atakao kuzalisha huyompadre mtarajiwa, hao mafrateli,mapadre,nk ni watamu balaa ukimuonja umuachi ngo, wanayajua mapenzi na kuhonga kwao si haba si unajua zile nyimbo zetu tukielekea kwenye vikapu huku kwetu tunaviita visonso:
toa ndugu toaaa, Bwana anakuona mpaka moyoni mwako x4
jiwekeeni hazina mbinguniiiiiiiiiiiiii.......

Umenichekesha mkuu
 
Kasome link, mwenyewe amekiri. Sasa sijui unataka kusema nini? kuupinga huu uozo? wewe unajuwa zaidi ya aliyekiri kufanya hayo makosa?

Tafuta na hii documentary ya BBC: Abused: Breaking the Silence ujionee mambo, hakuna aliyeipinga hadi hii leo.

Kinachonishangaza Soni ni Tanzania lakini hakuna aliyethubutu kuuongelea huu uozo wa kanisani mpaka wenzetu wameutengenezea dokyumentari sisi bado tunasea "kama". Hakuna cha "kama" hapo.

Hayo mengine yako wewe. Hapa nnamuongelea Father Kit Cunningham na ushahidi nimeweka.

weka ile link inayoelezea Muhammad alivyompa mahaba punda aliyekuwa anampeleka mbinguni kwenu

na ile aliyokuwa anapakuliwa na wenzake meddina na mekka
 
Mmmnh hivi kwani kumbe wapo pia wanaofanyanya wenyewe kwa wenyewe hawa watu wa kanisa?
 
Jiandae kuandika majina ya kaka zako kwenye ubin wa wanao atakao kuzalisha huyompadre mtarajiwa, hao mafrateli,mapadre,nk ni watamu balaa ukimuonja umuachi ngo, wanayajua mapenzi na kuhonga kwao si haba si unajua zile nyimbo zetu tukielekea kwenye vikapu huku kwetu tunaviita visonso:
toa ndugu toaaa, Bwana anakuona mpaka moyoni mwako x4
jiwekeeni hazina mbinguniiiiiiiiiiiiii.......

ndebile umetixha vibaya et nymbo za kwenye vinsoxo teh teh teh.
 
nakuonea huruma yatakayokuja huko mbeleni maana mwenzio ameshakula kiapo huyo
 
Kasome link, mwenyewe amekiri. Sasa sijui unataka kusema nini? kuupinga huu uozo? wewe unajuwa zaidi ya aliyekiri kufanya hayo makosa?

Tafuta na hii documentary ya BBC: Abused: Breaking the Silence ujionee mambo, hakuna aliyeipinga hadi hii leo.

Kinachonishangaza Soni ni Tanzania lakini hakuna aliyethubutu kuuongelea huu uozo wa kanisani mpaka wenzetu wameutengenezea dokyumentari sisi bado tunasea "kama". Hakuna cha "kama" hapo.

Hayo mengine yako wewe. Hapa nnamuongelea Father Kit Cunningham na ushahidi nimeweka.

Hayo ni makosa yake binafsi, kumbuka bible inakataza mambo ya ulawiti. Kila mtu atahukumiwa kwa makosa yake mwenyewe. Kwa kuwa Ponda alivamia kiwanja na kupora mali haiwafanyi Waislamu wote kuwa waporaji. Huyu mleta mada unamshaurije kuhusu suala lake?
 
Shoga kuachika kunakuhusu, ni bora ukajianzia zako mdogomdogo kuuguza maumivu utapata mwingine. Kama kweli ni wako huwezi hata kumepuka.
 
Kasome link, mwenyewe amekiri. Sasa sijui unataka kusema nini? kuupinga huu uozo? wewe unajuwa zaidi ya aliyekiri kufanya hayo makosa?

Tafuta na hii documentary ya BBC: Abused: Breaking the Silence ujionee mambo, hakuna aliyeipinga hadi hii leo.

Kinachonishangaza Soni ni Tanzania lakini hakuna aliyethubutu kuuongelea huu uozo wa kanisani mpaka wenzetu wameutengenezea dokyumentari sisi bado tunasea "kama". Hakuna cha "kama" hapo.

Hayo mengine yako wewe. Hapa nnamuongelea Father Kit Cunningham na ushahidi nimeweka.

Hizi ni propaganda za West.
 
Mmmnh hivi kwani kumbe wapo pia wanaofanyanya wenyewe kwa wenyewe hawa watu wa kanisa?

Unayo amani kuendelea kumegwa na huyu fratela alhali ukijua anachokifanya ni kinyume na wito wake? Unayo amani kuendelea naye?
 
Hii mijadala inayohusu imani na dini za watu mara nyingi inafanya watu waonekane like they may have attended school, but not the books. Noma sana
 
kama shida yako ni kuendelea kugegedwa njoo kwangu hakika utamsahau kwa sekunde tu ujue. kwanini unajinyima hivo njoo kwangu muda wote unajitawala home unachotaka unapewa mtoto mzuri,, utakuwa huru kwa lolote.

Pia si unajia ili ufaidi kugegedwa lazima umpate mtu ambae hajawekewa vikwazo vya kugegeda mfano yeye uyo padri akiwa yuko busy na upadri wake na huo muda unahitaji kupoozwa hapo chini itakuwaje ss??? therefore,, its better uje kwangu muda wote unajipimia tu msoloboko mama.

mwisho, sitaki kuona watoto wazuri kama nyie mapenzi yanawaumiza wakati nipo kwa ajili yenu nyie ambao huwa mnachafuliwa hizo k*m* zenu. hivyo basi kama unatatizo katika mapenzi mimi ndo suluhisho kwako.
 
Naongea na mleta mada, hayo ya frateli hayanihusu, iwe katongozxwa, katongoza kuwa wakala etc. if mleta mada anamwogopa Mungu wake basi ataachana na huyo bwana, awe na mimba asiwe na na mimba

Kwenye suala la imani, unatoa kwanza boriti kwenye jicho la lako, the lady needs to soul search herself, redefine her life purpose, if she thinks she doesnt care about God na huyo padre to be aendelee, but if she thinks she has to make a RIGHT CHOICE then she should the needful

Kuhusu lawama... once again, sijasema mtu yoyote alaumiwe au asifiwe

learn to learn coz it will help you to shape you understanding... reading is not always learning

kuongea na mleta mada tu si vizur sana ila mleta mada anaweza kuwa chanzo cha mabadiliko chanya kwa frate kulingana na ushauri wako pili koment yako ilikuwa na lawama za moja kwa moja kwa huyu dada tatu sio lazima waachane anaweza mshauri akaachana na upadri maana ni dhahiri influence zilizomfanya kutaka kuwa padri hazina mashiko kamili kama ilivyokuwa mwanzo hivyo ni bora aachane na maisha ya kinafik ya kujifanya kondoo kumbe mbwa mwitu mwisho sio kila kitu unachosoma unajifunza sometime you unlearn what you learn before
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom