Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

jamaa kaogopa kumwambia live kwamba tuachane,mwanaume anayekupenda hawezi akaficha anakoishi,michepuko ndo huwa hawaonyeshi na hawaambii siri

ila mimi napenda utaratibu wa kuelezana how the game will be

niambie niko A,B,C alafu tukishindwana niache
habari za chenga chenga sipendi
mi napenda kibuti KIKAVU
 
ila mimi napenda utaratibu wa kuelezana how the game will be

niambie niko A,B,C alafu tukishindwana niache
habari za chenga chenga sipendi
mi napenda kibuti KIKAVU
kupokea kibuti kikavu kama una moyo mlaini lazima ufe
 
kupokea kibuti kikavu kama una moyo mlaini lazima ufe

hapana viol
ni bora kuuumia once na kumove on

Kuliko kuumia kidogo kidogo
leo anakwambia ni fraten ,kesho ni padre kesho kutwa kapelekwa kigangwe chake cha MATOMBO wakati nyinyi mpo ILEMELA
 
Hapana tatizo alinipenda mwenyewe nikamuuliza ulinionea wapi akasema alinionaga kanisani kila siku ya jumamosi na jumapili akavutiwa namimi nikamuuliza anafanya kazi wapi akasema mkoa flan (cwez usema)

sasa kama ulimwona.kanisani halafu unasema hukujua kama msemimari napata shaka na statement zako
 
Faiza bila kuongelea mambo ya kubaguana siku inakua haijapita kwako hivi wanaofirana hovyo huwajui?

Mkuu huyu mbibi nadhani huwa Hujawahi kumwelewa anapenda udini ni hamna mfano
Utafiti mdogo tu mashoga karibu wote tz wana majina yafuatayo anti bilal, anti Ali, anti abuu
Madrasa watoto wa kiume wanabikiriwa na maustadhi
Hatusemi neno
Naomba umwelewe tu nadhan psychological problems
 

Khaa sasa maandishi si hata ww unaweza kuandika ukapost online wakawa wanakunukuu kama ww unavyokuu wikipedia

Kwani yule jamaa m Pakistani alietunga kitabu kilicho mkashifu mtume Mohammad na uislam ni kweli aliyoyaandika?
Au ile filam ya kimisri iliyotungwa na mmarekani ikim portray mtume MTU Malaya tuitumie kama kielelezo?

Huna akili mabinti wadogo humu ndani wanakuzidi akili

Kila uchao wewe ni udini tu
Utakua umetumwa na shetan
 
Unastahili kufungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutoswa baharini.
 
Ole wako uzaenae ni laana an mambo yatakuwa kombo na ata ukimwacha hautoolewa tena achananae kabsa.
Mimi na mifano ya ndg zangu wawili wamezaa na mapadri ni laana tu.
 
Kamuombe mama au shangazi yako ushauri atakushauri vyema sana!

Asanteh Rubii ushauri wako nitaufanyoa kazi nitaenda kwa shangazi maana mama mmnh mkali balaa
 
na kibuti cha namna hii hakiumizi sana kwani anakumegea kidogo kidogo
kesho ataambiwa nimeamishwa nipo kigangwe cha MATOMBO
game is over

haya bwana ila mngejua wala msingesema haya yote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom