hivi huo unafiki utawapeleka wapi hawa watu? kama anataka mtoto kwann anataka kuwa padri?? since bado hajawa padri, aache kuendelea na masomo na atoke huko seminari, awe tu raia wa kawaida muoane, mpate baraka za Mungu, mzae, watoto wapate malezi ya wazazi wote na amani tele! kuhusu kumtumikia Mungu..anaweza kumtumikia bado..anaweza kuwa katekista, muimba kwaya, kiongozi wa jumuiya na mengineyo mnajua wenyewe wakatoliki. Kuliko kutenda dhambi ya uasherati for the rest of his life. Mshauri hivyo.
-Na kuh wewe, umeridhika kuwa kimada wa mtu 4 the rest of ur life? yaan muasherati for life? khe! Haya, akishakuwa padri..Mungu atamtumije mtu ambaye anaishi maisha ya uasherati? maana kuna tofauti kati ya kutenda dhambi, na kuishi maisha ya dhambi! Kutenda dhambi, ni ile mtu anakosea then anatubu na kuacha. Bt kuishi maisha ya dhambi ni ile dhambi flani mf uasherati..unaifanya sehemu ya maisha yako! Mungu atakutumiaje hapo kuwapa soltn waamini?? MUOGOPENI MUNGU!
-Na kuh wewe, umeridhika kuwa kimada wa mtu 4 the rest of ur life? yaan muasherati for life? khe! Haya, akishakuwa padri..Mungu atamtumije mtu ambaye anaishi maisha ya uasherati? maana kuna tofauti kati ya kutenda dhambi, na kuishi maisha ya dhambi! Kutenda dhambi, ni ile mtu anakosea then anatubu na kuacha. Bt kuishi maisha ya dhambi ni ile dhambi flani mf uasherati..unaifanya sehemu ya maisha yako! Mungu atakutumiaje hapo kuwapa soltn waamini?? MUOGOPENI MUNGU!
Usemayo ni kweli hata mm nimeyaona tayar na huyu anataman apate mtoto siku moja ila sasa ngoja niongee tu na shangaz kwanza