Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

Nahisi italuwa unastree za kazi za Leo ungesoma kwanza mwanzo ungejua nini kinaendelea na mpaka sasa pumzika mkuu na uckumwema

Hujanijibu swali, huyo frateri hujawa kumwona akihudu hapo kanisani mpaka alipo kwambia mwenyewe?
 
Hujanijibu swali, huyo frateri hujawa kumwona akihudu hapo kanisani mpaka alipo kwambia mwenyewe?

Me chawah ila yeye amesema ananionaga kama unaelewa vzuri kumbuka misa IPO ya mida tofaut labda yeye anaibgiaga ile ya SAA 12 asubuh that's y cjawah onana naye
 
kwani nani kabisha?...Je we unafkir hao wanaofanya huo upuuz hawaijui hiyo verse!?...
Akifany hivyo ni tabia yake na ujinga wake na wala sio kitabu kimeruusu..na watachomwa moto cku za mwisho...
Ivi hujui waarabu nd wanaongoza kwa.kulawiti wake zao!? na Nchi inayoongza kwa sex slave ni saudi arabia tena kweny root ya uislam!..
je tuseme waislam woote does the same!?...
vitu kma ivi inatakiwa kujiongeza sana sio kuandika uonekane unahoja kumbe haujafikir vizur

Wacha uongo.

Hata Tanzania ipo juu ya Saudi Arabia kwa utumwa.
 
Me chawah ila yeye amesema ananionaga kama unaelewa vzuri kumbuka misa IPO ya mida tofaut labda yeye anaibgiaga ile ya SAA 12 asubuh that's y cjawah onana naye

Haiwezekani yeye ibada zake ziwe za saa 12 tu, kwanza huo utaratibu haupo huwa wana-rotate. Sio frateri huyo anakuzingua ameshakuchoka chapa lapa.
 
kama una amini Mungu na unamwogopa basi utaacha... uswide dalali wa shetani

Hutafika mbali mwisho was siku ataitikia mwito wake na kukuacha solemba unapwelepweta

we unahisi kati ya hawa wawili ni nani hamwamini wala kumwogopa mungu? Na kati yao ni nani alimtongoza mwingine? Na nani ni wakala mkuu wa shetani maana hao wote ni wakala maana wanafanya uzinzi ila mkuu unahisi ni yup? Na assume huyu dada ana ujauzito wake wa mwezi 1 nani alaumiwe?
 
Pole sana labda hukumchunguza vizuri kabla ya kuwa nae.atakupotezea muda fanya maamuzi haraka.
 
Anataman nimzalie mtoto mmoja na maisha yakiwa mazur tuzae wa pili basi na nilimuulizaga swala LA ndoa akasema tusubiti baadae hapo ni kabla ya kusema kuwa yeye ni frater ila kwakweli anajali sana zaidi ya sana

kama unampenda kweli mshaur aachane na upadri hamna haja na kuishi maisha ya kinafiki kujifanya kondoo kumbe mbwa mwitu mwishowe aje achomwe moto bure kama mnapenda kweli mnaweza ishi maisha mazuri na ya kawaida hata kama mna kipato kidogo
 
kama unampenda kweli mshaur aachane na upadri hamna haja na kuishi maisha ya kinafiki kujifanya kondoo kumbe mbwa mwitu mwishowe aje achomwe moto bure kama mnapenda kweli mnaweza ishi maisha mazuri na ya kawaida hata kama mna kipato kidogo

Akishaachana na ufratel ana maisha gani ye mwenyewe jeuri yake ni kwa kuwa anatunzwa na kanisa hana lolote asikupotezee muda, come back to your senses binti hao watu wanatafta pa kupumzikia tu.
 
we unahisi kati ya hawa wawili ni nani hamwamini wala kumwogopa mungu? Na kati yao ni nani alimtongoza mwingine? Na nani ni wakala mkuu wa shetani maana hao wote ni wakala maana wanafanya uzinzi ila mkuu unahisi ni yup? Na assume huyu dada ana ujauzito wake wa mwezi 1 nani alaumiwe?

Naongea na mleta mada, hayo ya frateli hayanihusu, iwe katongozxwa, katongoza kuwa wakala etc. if mleta mada anamwogopa Mungu wake basi ataachana na huyo bwana, awe na mimba asiwe na na mimba

Kwenye suala la imani, unatoa kwanza boriti kwenye jicho la lako, the lady needs to soul search herself, redefine her life purpose, if she thinks she doesnt care about God na huyo padre to be aendelee, but if she thinks she has to make a RIGHT CHOICE then she should the needful

Kuhusu lawama... once again, sijasema mtu yoyote alaumiwe au asifiwe

learn to learn coz it will help you to shape you understanding... reading is not always learning
 
Anataman nimzalie mtoto mmoja na maisha yakiwa mazur tuzae wa pili basi na nilimuulizaga swala LA ndoa akasema tusubiti baadae hapo ni kabla ya kusema kuwa yeye ni frater ila kwakweli anajali sana zaidi ya sana
Kama anakupenda, basi achague moja, wewe au kanisa

Unajua sisi wanaume tuna shida sana, we sometimes treat you like soup/drink or a sport... mkijilegeza inakula kwenu, Askofu Bagonza (na uaskofu wake wote) keshatelekeza watoto wawili aliozaa nje ya ndoa, sasa anaeaibika ni mwamamke na watoto wanaokosa chakula na malezi, huo ni mfano mmoja tu

Hiyo ya kujali, kila mtu akiwa kwenye penzi lazima ajali, lakini haimaani shi hali itakua hivyo maisha yenu yote, anaweza kuwa padre, akaanza kuhamishwa, au akaamua kujuta na kurejea kwa wito wake rasmi... what will you do??

My advice, kaeni chini muweke kila kitu sawa, hiyo ya subirisubiri itakucost

afterall, kushiriki kumpindisha mtumishi wa bwana ni kujiweka katika kitanzi cha imani... how will you treat viongozi wa imani after that?
 
ujatuambia vzr sasa mnamalizanaga wapi guest, kwenu au kanisan siku za jmoc ukienda kufanya usafi
 
Jiandae kuandika majina ya kaka zako kwenye ubin wa wanao atakao kuzalisha huyompadre mtarajiwa, hao mafrateli,mapadre,nk ni watamu balaa ukimuonja umuachi ngo, wanayajua mapenzi na kuhonga kwao si haba si unajua zile nyimbo zetu tukielekea kwenye vikapu huku kwetu tunaviita visonso:
toa ndugu toaaa, Bwana anakuona mpaka moyoni mwako x4
jiwekeeni hazina mbinguniiiiiiiiiiiiii.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom