Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

Msaada: Amenishtua sana japo nampenda

Habari zenu wanajamvi,

Pole na uchovu wa leo nimekuwa na mahusiano na huyu mwanaume zaidi ya miezi kumi sasa ananipa kila kitu na mapenzi yote.

Tatizo lilianza pale nilipomuuliza yeye nikisema nikamsalimie kwake anakataa Mmh yani ajabu zaidi siku ya leo ameniweka wazi kuwa yeye ni Frateri.

Anasomea Upadri na anaishi Seminary anaposoma. Kweli nampenda sana kumuacha sio kirahisi na yeye hataki mwingine.

Nifanyeje jamani? Ushauri tafadhali

Kumbe ni padri!
 
Mwache asome upadri tu ukisema usikilize moyo mwisho wa cku utaambulia maumivu na kupoteza muda
 
Watu wanamna hiyo, njaa ndo huwa zinawapeleka kusoma upadri na si mapenzi ya Mungu!
 
Au na wewe ukasomee usista ili iwe rahisi kuonana na kupajua anakoishi. Wakati mwingine kama kusoma ramani umeshindwa angalia picha yenyewe.
 
Habari zenu wanajamvi,

Pole na uchovu wa leo nimekuwa na mahusiano na huyu mwanaume zaidi ya miezi kumi sasa ananipa kila kitu na mapenzi yote.

Tatizo lilianza pale nilipomuuliza yeye nikisema nikamsalimie kwake anakataa Mmh yani ajabu zaidi siku ya leo ameniweka wazi kuwa yeye ni Frateri.

Anasomea Upadri na anaishi Seminary anaposoma. Kweli nampenda sana kumuacha sio kirahisi na yeye hataki mwingine.

Nifanyeje jamani? Ushauri tafadhali
Sasa kama mnapendana kwanini msimalize kwa kufanya harusi/ndoa?
 
Mwanangu usiogope hata kidogo. Hakikisha akija tu mkalishe, mwambie huwa hawaruhusiwi kuoa, sasa tangu siku 30 zilizopita umejihisi una uja uzito wake, sasa unaomba ushauri wake, ufanye nini na weye hutaki kuua hicho kiumbe?? Akiwa ni kweli anakuthamini atakupa njia nzuri eg kukilinda na kukitunza kiumbe. Huyo, endelea tu naye ila ujue kuwa sometiyme to kam utajikuta single mother/parent.
Ukikaa naye vizuri, utapata bonge la hausi na mkoko mzuri na vidoido utakavyo viomba eg nguo za mtoto mtarajiwa. Baadaye waweza amua kumzalia.
Hao watu nakwambia wana njia nyingi tu za kukutunza ila uwe mwaminifu tu kwake. Nazungumzia haya nikiwa nawajua wanawake wengi tu waliofaidi kutoka kwa watu hao.

kwa ushauri huu unamwakikishia huyu dada aendelee kuwa mtenda dhambi ya uzinzi milele.Naomba umkumbushe kuwa Mungu anakuja,hivyo kwa style hiyo tayari anaioma nafasi yake ktk ufalme wa mbinguni.
ushauri wangu kwa mdada ni kuachana na huyo bwn aanzishe maisha mapya yatakayomtia amani na furaha ya milele
 
Kuna mbinu nyingi sana za kumdanganya mwanamke na akakubali. Kumbe nyuma ya pazia anajua kabisa ukweli siyo huo.
 
Habari zenu wanajamvi,

Pole na uchovu wa leo nimekuwa na mahusiano na huyu mwanaume zaidi ya miezi kumi sasa ananipa kila kitu na mapenzi yote.

Tatizo lilianza pale nilipomuuliza yeye nikisema nikamsalimie kwake anakataa Mmh yani ajabu zaidi siku ya leo ameniweka wazi kuwa yeye ni Frateri.

Anasomea Upadri na anaishi Seminary anaposoma. Kweli nampenda sana kumuacha sio kirahisi na yeye hataki mwingine.

Nifanyeje jamani? Ushauri tafadhali

Hii inareportiwa toka kanda ya kaskazini pole dada
 
kwa ushauri huu unamwakikishia huyu dada aendelee kuwa mtenda dhambi ya uzinzi milele.Naomba umkumbushe kuwa Mungu anakuja,hivyo kwa style hiyo tayari anaioma nafasi yake ktk ufalme wa mbinguni.
ushauri wangu kwa mdada ni kuachana na huyo bwn aanzishe maisha mapya yatakayomtia amani na furaha ya milele

xJoe;
Acha wivuuuu. Mwenzio kapata wa mradi naye kisha jazwa wataka aue?
 
Hapo pagumu aisee.ni kuchagua kuwa padre(na hivyo kuachan na wewe) au kuendelea na wewe na kuuacha upadre.ni option mbili tu mkuu.

Na akiacha upandri mjiandae kuishi maisha ya mahangaiko kama alivyowahi kutoa tathimini mkuu mmoja humu ndani juu ya dhambi ya kuacha upandri
 
contradiction ya nini au aaficha nini...aache hiyo padre aoe kama vpsio anaduuuu halafu hawezi tambulisha ...au mdatishe zaidi...hata akiwa padri mtakuwa mnalala tuu
 
Habari zenu wanajamvi,

Pole na uchovu wa leo nimekuwa na mahusiano na huyu mwanaume zaidi ya miezi kumi sasa ananipa kila kitu na mapenzi yote.

Tatizo lilianza pale nilipomuuliza yeye nikisema nikamsalimie kwake anakataa Mmh yani ajabu zaidi siku ya leo ameniweka wazi kuwa yeye ni Frateri.

Anasomea Upadri na anaishi Seminary anaposoma. Kweli nampenda sana kumuacha sio kirahisi na yeye hataki mwingine.

Nifanyeje jamani? Ushauri tafadhali

Pole dada,mi binafsi naona cha msingi kaa nae muongee na umwambie msimamo wako ulipo,na yeye achague kimoja kama ni kuwa na wewe au aendelee na upadre na asijihusishe na wewe tena though itakuwia vigumu kuishi maisha hayo mapya kwasabu ulimpenda na hukudhani kama litatokea hilo,but let God lead your way,mybe you have someone better than him out there. Na pia kama akitaka kuwa na wewe anaweza kuwa katekista,au kiongozi mwingine yeyote wa dini. But kama nadhiri yake ni upadre aende akatubu mara moja ili aache kumchezea na kumkwaza Mungu kwa dhambi ya kukusudia akati anazijua kabisa sheria za kanisa katoliki la Roma.
 
Habari zenu wanajamvi,

Pole na uchovu wa leo nimekuwa na mahusiano na huyu mwanaume zaidi ya miezi kumi sasa ananipa kila kitu na mapenzi yote.

Tatizo lilianza pale nilipomuuliza yeye nikisema nikamsalimie kwake anakataa Mmh yani ajabu zaidi siku ya leo ameniweka wazi kuwa yeye ni Frateri.

Anasomea Upadri na anaishi Seminary anaposoma. Kweli nampenda sana kumuacha sio kirahisi na yeye hataki mwingine.

Nifanyeje jamani? Ushauri tafadhali

Hiyo ya kusomea upadre na kuishi seminary umemsikia yeye au umehakikisha mwenyewe?? Isije ikawa huyo ni Mume wa Mtu mwenye familia yake na watoto, wewe kakufanya mchepuko wake ila kaamua kukudanganya upadre. Fanya uchunguzi zaidi umjue zaidi
 
Mh!!! kama huna ushaidi jaribu kutafuta jinsi ya kuwasilisha maneno yako bila kukwaza watu wengine kimwili na kiroho,umeongea kama mtu mwenye uhakika,au na wewe ni wa hukohuko????? Sijaelewa nia yako
 
kumbe akina dr Mihogo wengi eeehhh........nasikia hata dr mihogo mtoto wake wa kwanza alizaliwa mwaka 1985..........kuwa makini dada,usijefanywa km Rose alivyofanywa na dr mihogo!! 🙂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom