Mmnh asanteh mkuu huyu ananitosha
Hapana tatizo alinipenda
mwenyewe nikamuuliza ulinionea wapi akasema alinionaga kanisani kila
siku ya jumamosi na jumapili akavutiwa namimi nikamuuliza anafanya kazi
wapi akasema mkoa flan (cwez usema)
Hadi sasa naona wale mnaoshindanisha Mapadri na Masheikh katika ulawiti mshapata mlawiti bora zaidi. How absurd!
1 Wakorintho 6
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Duuh nimeshaelewa
inabidi uwe msiri na uwe mbali kidogo kuzuia umbea. je yeye anasemaje kuhusu future?
Anataman
nimzalie mtoto
mmoja na maisha yakiwa mazur tuzae wa pili basi na nilimuulizaga swala
LA ndoa akasema tusubiti baadae hapo ni kabla ya kusema kuwa yeye ni
frater ila kwakweli anajali sana zaidi ya sana
Wote si Waislamu si Wakristo. Swali langu linabaki mshapata mshindi wa hayo madhambi?
uko tiyari kuishi maisha ya kujificha?
nina shoga yangu yuko moro ana padre ila tatizo ni kuoana
na shoga anataka ndoa ,padre anataka mtoto so ni sheeeda. na padre ana wivu mbaya
Hilo sio tatizo watu mbona
wapo wanaotaja baba wa uongo ili kuficha tu aibu zao hilo sio tatizo
mkuu mashoga zangu wengi kila mtu na mambo yaje u busy mwingi
Naam, mshindi ni Father Kit Cunningham wa Soni, kaharibu watoto wa shule nzima, dogo hilo? Au hujaisoma ile link?
uko tiyari kuishi maisha ya kujificha?
nina shoga yangu yuko moro ana padre ila tatizo ni kuoana
na shoga anataka ndoa ,padre anataka mtoto so ni sheeeda. na padre ana
wivu mbaya.
wewe roho yako inasemaje?
mm nilikuwa nimemaliza f6 i waz very young nilitokewaga na padre ila
nilikataa coz nilikuwa mdogo na yeye alikuwa mkubwa afu kwao wote
wanaume wanne walikuwa mapadre nikawaza itakuwajewenzie wakijua?
kwakuwa nilikuwa bado mambo ya lov nilimkataa may be kama ingekua sasa ivi ningekubali so ni wewe tu.