Mrisho Mpoto: Kwanini wanamtukana Mke wangu?

Mrisho Mpoto: Kwanini wanamtukana Mke wangu?

Watu wajinga ndio wanaofanya huo ujinga, binafsi sijawahi kukaa nikamtegemea msanii kwenye mabadiliko.

Yani watanzania M60+ tuwategemee wasanii ambao hawafiki hata 100k eti watusemee changamoto zetu au watuunge mkono, kwangu huu ni ujinga kwasababu kwa wingi huo tunayonguvu kuliko hao wasanii.

Kwasasa sanaa ni biashara sio tena jukwaa la kusemea watu, ukiona unaowito wa kuwasemea watu, studio zipo wadau tupo tutakuchangia uingie studio.
Kwani wanamtukana kwa sababu hahawasemea matatizo yao?
 
Kama kucheka msibani dhambi, hata mi nilicheka 😀😀😀😀
Imagine kwenye comments mtu anaandika anajaribu kuvaa viatu vya mjomba 😄😄😄😄😄
Mjomba angekausha tu kama hajaona, au angefunga tu sehemu ya comments.
 
Kwa comments nilizoziona juu juu sidhani kama wamemtukana marehemu.

Hapa anapiga siasa
Marehemu hata akitukanwa hasikii!Hata voucher hataki,hata Njaa hasikii,Pole yake m mpito!
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Anapata wapi nguvu ya kusoma mitandaoni katika mapito magumu anayopita?
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Anasifia tu saivi hata amekuwa km amehasiwa nguvu zitatoka wapi juu ya bahasha anazopokea? Akili itatoka wapi ya kuyaona madhaifu?
Akisifia wewe kosoa,punguzeni ushamba kwenye maisha na maamuzi ya watu kwasababu kila mtu ana mtazamo wake.
 
Sipati picha siku akiondoka yeye, sijui kawakosea nini Watanzania maana huko nyuma alijengea heshima kubwa sana mbele ya jamii
 
Back
Top Bottom