Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,952
- 10,590
Elimu pia.... uelewa.....hana vyoteeeNJAA & UMASKINI NI MBAYA SANA!!
Elimu pia.... uelewa.....hana vyoteeeNJAA & UMASKINI NI MBAYA SANA!!
Chadomo ni watu wa chuki, roho mbaya. Ni madikteta hatari sana.
Kuliko nyie wauwaji?Chadomo ni watu wa chuki, roho mbaya. Ni madikteta hatari sana.
Rubbish, watz wengi ndio wewe na hao wapumbavu wenzio? Nyie mmeshindwa kufanya siasa mnadandia mpk kwenye misiba? Aibu! Msimamo na mtazamo wa Mpoto huwezi kuulazamisha kuwa km wa kwako. Msilazimishe kupata wafuasi, msiba utapita na maisha yataendelea ila watanzania wamejua kuna wanaharamu km weweAcha upumbavu wa kupotosha kile kinaendelea, mkeo hajaguswa kuhusu sisiem, its you na utahira na njaa zako kufumba macho na kusifia non sense kitu ambacho watz wengi wanakikataa
Nakubali mkuu, masikini haaminiki.NJAA & UMASKINI NI MBAYA SANA!!
Wewe ndio rubbish na haram pamoja na aliekuzaa na aliyempa mimba akazaa rubbish, kwa akili zako unaona watz wanaweza kuelewa kinachoendelea? Taratibu umbwa zote na utawala wao dhalimu wataelewa tu. Watu hawana shida na msiba wa mpoto na sidhani kama kuna aliefurahia msiba wa mke wa mpoto au akili huna unatumia mduku kufikiriaRubbish, watz wengi ndio wewe na hao wapumbavu wenzio? Nyie mmeshindwa kufanya siasa mnadandia mpk kwenye misiba? Aibu! Msimamo na mtazamo wa Mpoto huwezi kuulazamisha kuwa km wa kwako. Msilazimishe kupata wafuasi, msiba utapita na maisha yataendelea ila watanzania wamejua kuna wanaharamu km wewe
Qu ma maaqko!!Mpotooo ni lipumbuwazi
hili jamaa ni lijinga ndio maana halivai viatu na linasuka nywele kama demu. kwanza mimi nilikuwa naamini halina hat amke. mbona anaonekana halina uchungu kabisa, upo msibani kwa wife kweli ndio uwe mkavu unaongea na vyombo vya habari? linapenda kiki hadi kwenye msiba wa mke wake. foolish.Msanii Mrisho Mpoto amekasirishwa na watu wanamtukana marehemu mke wake sababu za itikadi za chama chake
Acha jMsanii Mrisho Mpoto amekasirishwa na watu wanamtukana marehemu mke wake sababu za itikadi za chama chake
Mrisho Mpoto Acha Kutafuta Like Au kutaka kuTrend Mitandaoni Kutafuta Huruma ya Watanzania -Coment nyingi Watu wanakushambulia Wewe Sio Mkeo, Mwache Kumsingizia Marehemu Bule- Watanzania wanakushambulia Wewe kukwambia Acha Uchawa Kwa Umri Wako na Uvae Kandambili au Viatu,Msanii Mrisho Mpoto amekasirishwa na watu wanamtukana marehemu mke wake sababu za itikadi za chama chake
Tena na angekaa kimya kabisa...kwa busara angejifanya hajaona
UpuZ mtupuWatu wajinga ndio wanaofanya huo ujinga, binafsi sijawahi kukaa nikamtegemea msanii kwenye mabadiliko.
Yani watanzania M60+ tuwategemee wasanii ambao hawafiki hata 100k eti watusemee changamoto zetu au watuunge mkono, kwangu huu ni ujinga kwasababu kwa wingi huo tunayonguvu kuliko hao wasanii.
Kwasasa sanaa ni biashara sio tena jukwaa la kusemea watu, ukiona unaowito wa kuwasemea watu, studio zipo wadau tupo tutakuchangia uingie studio.