Mrejesho wangu baada ya kutumia Serengeti lite

Mad Max

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
19,036
49,650
Wakuu kwema.

Mi sio mdau sana wa kilevi. Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi.

Nilianza na St. Ann, Dompo ila izo uwa nagusa tu kidogo robo glass tu. Ila nilipojaribu Castle Lite Ijumaa niliona mabadiriko. Bia ina utamu wake.

Sasa leo nimepiga Serengeti Lite. Aisee kitu kinashuka kooni safi zaidi kuliko Castle. Yaani najiona kabisa sitakaa nikanywa Soda maisha yangu yote. Labda divai.

Asanteni.
 
jaribu na hiyo kitu hutajutia

Screenshot_20210811-154432_Chrome.jpg
 
Wakuu kwema.

Mi sio mdau sana wa kilevi. Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi.

Nilianza na St. Ann, Dompo ila izo uwa nagusa tu kidogo robo glass tu. Ila nilipojaribu Castle Lite Ijumaa niliona mabadiriko. Bia ina utamu wake.

Sasa leo nimepiga Serengeti Lite. Aisee kitu kinashuka kooni safi zaidi kuliko Castle. Yaani najiona kabisa sitakaa nikanywa Soda maisha yangu yote. Labda divai.

Asanteni.
Wewe lazima utakuwa she...

Vinywaji ulivyovitaja wanaume huwa hatuvigusi... ni mwendo wa K Vant, Konyagi na grants
 
Pombe za mademu hizo,Rijali huwezi kunywa Serengeti lite afadhali unywe safari,au bingwa
 
Situmii kilevi chochote ila ikatokea lazima nitumie nitatumia bangi
 
Wakuu kwema.

Mi sio mdau sana wa kilevi. Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi.

Nilianza na St. Ann, Dompo ila izo uwa nagusa tu kidogo robo glass tu. Ila nilipojaribu Castle Lite Ijumaa niliona mabadiriko. Bia ina utamu wake.

Sasa leo nimepiga Serengeti Lite. Aisee kitu kinashuka kooni safi zaidi kuliko Castle. Yaani najiona kabisa sitakaa nikanywa Soda maisha yangu yote. Labda divai.

Asanteni.
..,Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi. ...! MAKINIKA
 
Wakuu kwema.

Mi sio mdau sana wa kilevi. Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi.

Nilianza na St. Ann, Dompo ila izo uwa nagusa tu kidogo robo glass tu. Ila nilipojaribu Castle Lite Ijumaa niliona mabadiriko. Bia ina utamu wake.

Sasa leo nimepiga Serengeti Lite. Aisee kitu kinashuka kooni safi zaidi kuliko Castle. Yaani najiona kabisa sitakaa nikanywa Soda maisha yangu yote. Labda divai.

Asanteni.
Weraaaaa weraaaaa
 
Pombe za ukubwani watch oit(kwa saiti ya pombe)

Wenzako wanatafuta namna ya kujinasua
 
Back
Top Bottom