JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,967
Najitolea kuwatoa buibui bure.Mi nataka ya bui bui.
Nilisikia mende ni majini
Mm nina shida na dawa ya popo
Asante make makazi hayo huwa naenda mara moja moja lakini mara ya mwisho kulala ndan nilishindwaPopo ziba makazi yao hasa yale matundu nje ya nyumba
Mm kwangu tatizo ni mbu jamani yani kila siku lazima nipulize dawa ndani la sivyo silali kbs.
Natafuta dawa nzuri ile ya kupuliza nje kuzunguka nyumba
PANYA ANAKULA MAHINDI SEMBUSE UNGWA WA DONAWawekee kwenye unga wa dona mkuu. Hutawaaikia tena na wanakufa immediately wanapokula. Sikuamini mkuu
Hazifanyi kazi..
Nafikiri amemaanisha rungu zile za mbuIpoje
Hii sio nzuri..sasa ukimkuta mzima unampiga au unafanya nn...?bora ukute kajifia tukuna ile ya gundi akikanyaga tu wananasa, hatoki hapo. Unamkuta mzima.
Rungu inaua sana ila baada ya mda wanarud wanazaliana tena....kam ni jikon hakikisha ukimaliza kupika unasafisha usiache uchafuUkipata zinazofanya kazi tushirikishane,maana mende ni kero
Rungu inaua sana ila baada ya mda wanarud wanazaliana tena....kam ni jikon hakikisha ukimaliza kupika unasafisha usiache uchafu
Kweli mkuu mijusi hawanaga noma na mtu kwanza wao kukaa juu hawaingii hata kwenye misosi wala masufuria. Mimi sinaga time nao na nikiwa nataka kufunga mlango akawa yukl kwenye bawaba nikiona namtisha kwa atoke ndipo nifunge. Mijusi sina noma nao kabisa hawa ndugu zetuSijui hao mijusi hasa wale wa wanaopenda kukaa ndani makosa yao siyaoni, ni wapole hawana mashara kwa binaadamu, hawachafui nyumba na wanaua buibui na wadudu wasumbufu isipokuwa MFALME WA WADUDU WASUMBUFU NA WENYE ROHO NGUMU NDUGU KUNGUNI (LANA TULAH)
Uliitumiaje hiyo dawa ya maumivuWakuu hamjambo?
Nachukua fursa hii kuwashukuru wakuu wote waliyonisaidia mawazo ya kuwamaliza panya ndani mwangu.
Luna mkuu moja humu alinishauri niwape sumu ambaye ni dawa ya maumivu inayoitwa Indosin. Kwa kweli nimefanikiwa kupata hiyo dawa na wamekufa wote.
Kwa heshima kubwa nawashukuru wote waliyonipa mawazo yaliyosababisha kufanikiwa.
Asanteni sana
Unaofanyaje hiyo dawamkuu iyo dawa kiboko
panya wamezidi nshawanunulia dagaa hapa nasubiri muda niwawekee inawamaliza balaa
Huo mchanganyiko ukiliwa na kuku itakuwaje?Wawekee kwenye unga wa dona mkuu. Hutawaaikia tena na wanakufa immediately wanapokula. Sikuamini mkuu