Kweli ndugu yataka moyo kusimamia maamuzi yako, Ananifundisha kusimamia maamuzi na kutokatishwa tamaa tusonge mbele, hongera sanaHakuna raha hii dunia kama kujua na kupenda unacho kifanya, ubaya unaanzaga pale mtu hajui anapaswa kuanzia wapi na kuishia wapi kwa sababu ya kufuata mkumbo,, hii mbaya sana
Changamkia fursa.Umeoa?
hapana ila nilishawah kuishi na mwnke nlichokigundua ni lazma nipate hela kwanza ndo nioeUmeoa?
Oa mshirikishe nae ili kupanua wigo mpana wa ujasiriamali wa familiahapana ila nilishawah kuishi na mwnke nlichokigundua ni lazma nipate hela kwanza ndo nioe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati wote, Mungu yu MwemaMungu Ni Mwema Wakati Wote ππππ€π€π€
kuoa sio shida shida ni mke wa kuoa bro siku hizi kuoa ni kama kubet yaani unaweza pata atakayekushauri vizur na unaweza kupata atakayekufilisi sijaamua kuoa badoOa mshirikishe nae ili kupanua wigo mpana wa ujasiriamali wa familia
me nimeolewa bwana, ila nna rafiki yangu bado yuko singleChangamkia fursa.
Kama anajitambua hajazaa na hajafikisha 30, ni pm.me nimeolewa bwana, ila nna rafiki yangu bado yuko single
yuko vzr mno, kimaisha na kiimani, tatizo lipo hapo kwenye umriKama anajitambua hajazaa na hajafikisha 30, ni pm.