Mrejesho wa mwezi mmoja baada ya kuacha kazi

Nadhani mengi ndo mtu wa kwanza kupata CPA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kibongo bongo nadhani ni yeye labda possibly sababu ya umaarufu wake tunahisi labda alikua wa 1,though hatunaga clear records/statistics za kueleweka za WaTanzania walioko nje na shughuli wanazofanya especially kwa miaka ile ya Kina Mengi.

Kuna familia nu wabongo tu wanaishi hapo Arusha naifahamu baba yao mkubwa alipata Phd mwaka 73 huko UK ni kitu cha kushtua miaka hio mtu kufika level na wala hakuna mtu anayem-recorgise labda pengine sababu sio watu maarufu.
 
Hongera mkuu,changamoto kwenye maisha hazikosekani,cha muhimu kuwa mbunifu na kuamini katika kile unachokifanya.Nina miaka 2 toka nimalize degree yangu ya kwanza,sijawah kuomba kazi ofisi yeyote,nafanya biashara zangu,na maisha yangu yanasonga namshukuru mungu..Tupambane mkuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani mengi ndo mtu wa kwanza kupata CPA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah sorry mkuu i thought umeongelea ACCA,kwa Tz Mengi sio wa 1 kupata CPA sababu alivyokuja Bongo na ACCA yake wkt anafanya CPA alifeli mara kibao mpk kuja kuipata imeshamchukua muda wa kutosha tu.,kulikua na watu wenye hizo CPA tayari.
 
Haya ni maamuzi magumu sana ambayo kwangu si sahihi. Hata kwenye biashara tunafundishwa umuhimu wa portfolio mkuu, unaachaje kazi wakati huna pa kushika? Hukumsikia Dk Lutengwe? Ulitakiwa ukomae na ujasiriamali hivyo hivyo ukiwa umeajiliwa hadi pale utakaposimama ndo uache kazi, ipo siku utajuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hell No,laana kama hizi mtoa mada zikemee kwa nguvu zote...uchawi huu👺
 
Ref my previous post

Namshukuru mwenyezi Mungu muumba wq mbingu na ardhi kwa pumzi na afya njema aliyonijaalia

ilinichukua miaka mitano na nusu kuacha kazi ya serikalini nashukuru Mungu kwa walionisupport juu ya uamuzi wangu huo

nliwakwepa wale wote ambao nlihic watanikatisha tamaa hasa wazazi wangu ilibidi nimtengenezee mazingira ya kutokuniomba hela ya kila mwezi kwa kumwekea pooltable linalomwingizia 150000 kila mwezi

Ninachofanya baada ya kuacha kazi

Ninalima matikiti maji,Zukini na pilipili za kuwasha nimeanza na tikiti maji heka 3 pilipili za kuwasha nusu heka na zukini nusu heka

Zukini na pilipili ndo zao ninalolitegemea kulifanya liwe zao la biashara nimelilima chache kwasababu ckuwahi kulima zukini na pilipili so natafuta experience

tikiti ziko poa ntawaonyesha picha za zilipofikia

Biashara

nimefanya biashara ya mbolea ya mavi ya kuku kwa muda wa week 2 nimeingiza faida ya laki4 though changamoto imekuja kwenye savings kila nkipata hela mahitaji ya shamba yanaongezeka mf dawa mbolea ya dukani kuwalipa posho vibarua nk

Uzuri wa kujiajiri

unaamua ufanye nini muda gani mwenyewe yaani kama nkiamua nisafiri hata nw naweka mipango sawa naenda popote inshort nipo huru

changamoto kuubwa nliyoiona

Savings na mifuko ya jamii

faida inapaswa ihifadhiwe kiac kikubwa kuliko kukitumia mara nyngi tunatumia hela pale tunapokua nazo tusipokua nazo ni ngumu sana kuzitumia natamani nijifunze mbinu ya kisave

natamani nijiunge na ule mfuko binafsi wa penshen tatizo huku Jaribu(kibiti) hakuna hicho kitu

View attachment 848013View attachment 848015View attachment 848016

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa kujiajiri mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora umekwenda kwenye kilimo ungefungua duka/biashara wangekukamua mpaka ufunge, anyway good start keep moving ahead and God bless you
 
Ref my previous post

Namshukuru mwenyezi Mungu muumba wq mbingu na ardhi kwa pumzi na afya njema aliyonijaalia

ilinichukua miaka mitano na nusu kuacha kazi ya serikalini nashukuru Mungu kwa walionisupport juu ya uamuzi wangu huo

nliwakwepa wale wote ambao nlihic watanikatisha tamaa hasa wazazi wangu ilibidi nimtengenezee mazingira ya kutokuniomba hela ya kila mwezi kwa kumwekea pooltable linalomwingizia 150000 kila mwezi

Ninachofanya baada ya kuacha kazi

Ninalima matikiti maji,Zukini na pilipili za kuwasha nimeanza na tikiti maji heka 3 pilipili za kuwasha nusu heka na zukini nusu heka

Zukini na pilipili ndo zao ninalolitegemea kulifanya liwe zao la biashara nimelilima chache kwasababu ckuwahi kulima zukini na pilipili so natafuta experience

tikiti ziko poa ntawaonyesha picha za zilipofikia

Biashara

nimefanya biashara ya mbolea ya mavi ya kuku kwa muda wa week 2 nimeingiza faida ya laki4 though changamoto imekuja kwenye savings kila nkipata hela mahitaji ya shamba yanaongezeka mf dawa mbolea ya dukani kuwalipa posho vibarua nk

Uzuri wa kujiajiri

unaamua ufanye nini muda gani mwenyewe yaani kama nkiamua nisafiri hata nw naweka mipango sawa naenda popote inshort nipo huru

changamoto kuubwa nliyoiona

Savings na mifuko ya jamii

faida inapaswa ihifadhiwe kiac kikubwa kuliko kukitumia mara nyngi tunatumia hela pale tunapokua nazo tusipokua nazo ni ngumu sana kuzitumia natamani nijifunze mbinu ya kisave

natamani nijiunge na ule mfuko binafsi wa penshen tatizo huku Jaribu(kibiti) hakuna hicho kitu

View attachment 848013View attachment 848015View attachment 848016

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan ndani ya mwezi tu yote hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom