Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,255
- 88,201
Ana umri gani? Ana watoto?yuko vzr mno, kimaisha na kiimani, tatizo lipo hapo kwenye umri
Yes, lazima azishinde changamoto za maisha mkuuKwani anatafuta ushindi?
Kama pepo vile..watu wengine ..unakuta analishwa na shemeji yake wa KIUME huyo....Kwani anatafuta ushindi?
Nilitaka nishangae, maana Leonard anasoma comments zoteme nimeolewa bwana, ila nna rafiki yangu bado yuko single
Kiutani utani tu........yuko vzr mno, kimaisha na kiimani, tatizo lipo hapo kwenye umri
Akili za kuambiwa....Kila lakheri mkuu, nimejikuta navutiwa na harakati zako. Mungu akutiliwe wepesi inshaallah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo dawa ni kwenda navyo vyote kwa pamoja ili kunetralize.Kujiajiri sio ushind na kuacha kazi sio ushindi
Vyote vinamatokeo + na -
Sent using Jamii Forums mobile app
hana watoto ila age imeenda kidogo almost 40Ana umri gani? Ana watoto?
umejuaje mme wangu anaitwa leonard?
umejuaje mme wangu anaitwa leonard?
Huyo Dkt. Lutengwe ana mafanikio kama labda wakina Mengi/Bakhressa au ni nani mkuu?Haya ni maamuzi magumu sana ambayo kwangu si sahihi. Hata kwenye biashara tunafundishwa umuhimu wa portfolio mkuu, unaachaje kazi wakati huna pa kushika? Hukumsikia Dk Lutengwe? Ulitakiwa ukomae na ujasiriamali hivyo hivyo ukiwa umeajiliwa hadi pale utakaposimama ndo uache kazi, ipo siku utajuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alitumbuliwa na Rais alikuwa mkuu wa mkoa. Kwa hiyo unadhani kila anayejiajiri anakuwa kama Mengi au Bakhresa? Mengi kwanza alikuwa muajiliwa kama hujui.Huyo Dkt. Lutengwe ana mafanikio kama labda wakina Mengi/Bakhressa au ni nani mkuu?
Alitumbuliwa na Rais alikuwa mkuu wa mkoa. Kwa hiyo unadhani kila anayejiajiri anakuwa kama Mengi au Bakhresa? Mengi kwanza alikuwa muajiliwa kama hujui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha h ha ha ha a ha haaaaa... Mwenyekiti wewe ni MNYENYEKEVU sana...Hapo kwenye kusave boss unahitaji mwanamke mwenye akili, watu wengine tuna wanawake wako bright sana kwenye maswala ya uchumi ingawa darasani hawajaingia ila wanaume ndiyo makopo yanayokwamisha mambo.
Hata nahisi nampotezea muda wake tu.
Nadhani mengi ndo mtu wa kwanza kupata CPA.Kumbe unamuongelea mwanasiasa aliyekua analia lia eti"nimekosa mimi nimekosa sana" hahah,Mengi Sio tu alikua mwajiriwa malizia kusema alikua ni msomi,mwenye ACCA(kama ulienda shule utakua unaijua) na mwajiriwa wa one of the big 4 auditing firms.