Mrejesho: Baada ya kusex na muathrika wa HIV, haya ndiyo majibu baada ya mwezi mmoja

Aramun

Senior Member
Nov 8, 2023
165
745
Nilileta uzi huu last month nikiwa kwenye lindi kubwa la mawazo baada ya kusex na mwanamke aliyeathirika.


Sasa baada ya mwezi mzima wa kutumia PEP, haya ndiyo majibu.

IMG_20231207_112605.jpg


Japo wanashauri upime siku 28 baada ya kumaliza PEP ila uvumilivu umenishinda nimeamua nicheki tuu, baada ya siku 28 zingine nitacheki tena.

Kama nilivyosema lengo la kuleta huu mkasa ni kuwapa fundisho watu kwamba UKIMWI upo na unaua, na mara nyingi watu wanaambukizwa kutoka kwa wale wanaowaamini sana kama ilivyonitokea mimi.

Jambo moja ambalo nimepata funzo baada ya huu mkasa ni hili: Maisha baada ya kuwa muathirika yatakuwaje?.

Hilo jambo ndilo ambalo huwa linatesa sana kuliko hata UKIMWI wenyewe. Imagine kama ulikuwa umeoa au kuolewa, stress ya kwanza kukupata ni je mwenzio itakuwaje? Umuambie ama usimuambie? Je usipomuambia na ukamuambukiza itakuwaje? Ukimuambia then akasema muachane itakuwaje?

Kama una watoto utaanza kuwawaza wanao maisha yao baada ya hapo yatakuwaje? Ukianza kuumwa na angali bado wadogo utawaweka katika situation gani? Au ukifa utawaacha wakiwa wameshasimama kimaisha au laah?

Kama ulikuwa hujaoa au kuolewa itakuwaje? Ina maana ndiyo mpango wa kuzaa umeishia hapo? Na kama ukampata mwenza ambaye wote mmeathirika mkaamua kuzaa huyo mtoto akizaliwa ameambukizwa itakuwaje? Si mnazidi kujiongezea mzigo na nafsi zitakuwa zinawasuta maana ni kama mmemleta huyo mtoto aje kuteseka tuu duniani?

Hivyo kinachotesa siyo UKIMWI wenyewe, ni mawazo ya maisha baada ya kuathirika yatakuwaje maana mambo mengi ya kijamii yanaparanganyika. Kama ulikuwa na watoto tayari inaweza isikupe stress sana, ila kama bado huna watoto amini usiamini itakutesa sana sana..
Hivyo ndugu zangu tuchukue tahadhari kabla ya hatari, usiruhusu nyege zikuendeshe kwani mwisho wa siku majuto ndiyo yatakayofuatia..


IMG-20231205-WA0027.jpg
 
Nilileta uzi huu last month nikiwa kwenye lindi kubwa la mawazo baada ya kusex na mwanamke aliyeathirika.


Sasa baada ya mwezi mzima wa kutumia PEP, haya ndiyo majibu.

View attachment 2835557

Japo wanashauri upime siku 28 baada ya kumaliza PEP ila uvumilivu umenishinda nimeamua nicheki tuu, baada ya siku 28 zingine nitacheki tena.

Kama nilivyosema lengo la kuleta huu mkasa ni kuwapa fundisho watu kwamba UKIMWI upo na unaua, na mara nyingi watu wanaambukizwa kutoka kwa wale wanaowaamini sana kama ilivyonitokea mimi.

Jambo moja ambalo nimepata funzo baada ya huu mkasa ni hili: Maisha baada ya kuwa muathirika yatakuwaje?.

Hilo jambo ndilo ambalo huwa linatesa sana kuliko hata UKIMWI wenyewe. Imagine kama ulikuwa umeoa au kuolewa, stress ya kwanza kukupata ni je mwenzio itakuwaje? Umuambie ama usimuambie? Je usipomuambia na ukamuambukiza itakuwaje? Ukimuambia then akasema muachane itakuwaje?

Kama una watoto utaanza kuwawaza wanao maisha yao baada ya hapo yatakuwaje? Ukianza kuumwa na angali bado wadogo utawaweka katika situation gani? Au ukifa utawaacha wakiwa wameshasimama kimaisha au laah?

Kama ulikuwa hujaoa au kuolewa itakuwaje? Ina maana ndiyo mpango wa kuzaa umeishia hapo? Na kama ukampata mwenza ambaye wote mmeathirika mkaamua kuzaa huyo mtoto akizaliwa ameambukizwa itakuwaje? Si mnazidi kujiongezea mzigo na nafsi zitakuwa zinawasuta maana ni kama mmemleta huyo mtoto aje kuteseka tuu duniani?

Hivyo kinachotesa siyo UKIMWI wenyewe, ni mawazo ya maisha baada ya kuathirika yatakuwaje maana mambo mengi ya kijamii yanaparanganyika. Kama ulikuwa na watoto tayari inaweza isikupe stress sana, ila kama bado huna watoto amini usiamini itakutesa sana sana..
Hivyo ndugu zangu tuchukue tahadhari kabla ya hatari, usiruhusu nyege zikuendeshe kwani mwisho wa siku majuto ndiyo yatakayofuatia..


View attachment 2835574
Kwenye hiyo chati ukanda wa nyanda za juu takwimu ziko juu sana ikifuatiwa na kanda ya ziwa. Zanzibar na Kigoma takwimu ni ndogo sana hongereni.
 
Na kama ukampata mwenza ambaye wote mmeathirika mkaamua kuzaa huyo mtoto akizaliwa ameambukizwa itakuwaje?
Asante kwa Bandiko Mkuu.

Sasaivi kuna njia za kumlinda Mtoto atakaezaliwa dhidi ya HIV, kwahyo hata kama both of you ni waathirika mtapata mtoto ambae ni Negative asie na maambukizi kabisa.

ASANTE KWA KUTUKUMBUSHA KUJALI AFYA MKUU.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Ukimwi unaweza kuwa hatari kwako ikiwa utaupata Kutokana na uzinzi na sio wakuletewa ndoani au kuzaliwa nao kinachomuua MTU na kumtesa huwa ni majuto ya matendo Yake. Na sio umeme
 
Aisee pep sio poa halaf ukitumia lazima ufumuke balaa(mwili unanenepa)

Nakumbuka ni mwaka huu mwanzoni pale buza maeneo ya savoy niliokota Pepo mmoja... Nikamchukua had mahala Fulani nikapaki gari nkavuta kiti Kwa nyuma dada wa wate kaniwekea kuchuma mboga NAMI nikamfumua, kama unavyojua pombe na condom havipatani hata siku Moja, nilienda mwendo mrefu bila kumaliza ikanibid nivue niende kavu napo Bado mwendo ukawa ni ulele, basi ikanilazimu niongeze speed Ili kuongeza msuguano utakao nifanya niwah kumaliza(nilimaliza ila Kwa mbinde sana). Bas tulivyomaliza nikamrudisha pale bar na mm nikahamia bar nyingne,,, mungu sio athumani nikamuona Tena kwenye Ile bar nyingne(sweet cona) yupo anadanga na wanapangana dau na mshikaj mwingine (hapo kimoyomoyo nikajisemea nimekwisha)

Nilimsubiri had arud nikachukua namba yake halaf asubuhi nikamtafuta Tena Ili Nile vizur bila kujilaumu( hapo ndo nilizid kuchanganyikiwa) . Ngozi yake ilikua inaonesha huyu mtu tayari amewaka(Kwa wadau ni rahs kuzitambua hizi ngozi za waathirika,, note nimesema wadau sio nyinyi msokuwa na experience ya kutosha


Nilipiga Tena then Kuna mwanangu nikampanga akaniletea pep, na nikaanza kuzitumia on the spot (Mimi nilianza ndani ya masaa nane baada ya mtifuano)


Kimbembe kilikuwa Kwa wife, akawa anashangaa sitaki kumuingilia na wakati sio kawaida yangu, Mimi ni wale watu tukiona tu mwanamke amejibinua kidogo lazma tule mzigo, nilijitahid kumkwepa mpaka nikamaliza dozi na nilivopima nikajikuta msafi
 
Back
Top Bottom